Makalla afunika Mvomero
![](http://2.bp.blogspot.com/-KzMOUEwZg9I/VWGp7Gne2kI/AAAAAAAHZf4/6sRgIeEzpVI/s72-c/unnamed%2B%252862%2529.jpg)
Naibu Waziri wa Maji na mbunge wa Mvomero, Amos makalla jana amehutubia maelfu ya wananchi wa mji Mdogo wa madizini na Vijiji vya jirani huku akikabidhi Fedha taslimu shilingi milioni 10 kwa vikundi 12 na mabati 200 yenye thamani ya shilingi milioni Tatu kwa ajili ya kupaua Jengo la Tawi la CCM madizini bati 100, misikiti wa lusanga road bati 50 na kanisa la full salvation church bati 50.
Akihutubia maelfu ya wananchi hao aliwaeleza kuwa katika kipindi cha uongozi wake amekuwa ni mdau mkubwa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-nAUNICkqzvo/VK1JpNuQxnI/AAAAAAAG71U/_8B_xNkSucY/s72-c/unnamed%2B(14).jpg)
Mh. Makalla ziarani kwenye Jimbo la Mvomero
![](http://3.bp.blogspot.com/-nAUNICkqzvo/VK1JpNuQxnI/AAAAAAAG71U/_8B_xNkSucY/s1600/unnamed%2B(14).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-qFwfM30qcLE/VK1JpUFKSRI/AAAAAAAG71Y/CdG9_H5IldQ/s1600/unnamed%2B(15).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/--mwYkJz_U7s/VK1Jrh4ZbhI/AAAAAAAG71s/9utWviGs-ZA/s1600/unnamed%2B(16).jpg)
10 years ago
MichuziZiara ya Makalla jimboni kwake Mvomero
Katika ziara yake ya kichama amekagua kazi zinazotanywa na kikundi cha wakina mama wafinyanga vyungu, wakinamama wajasiriamali wauza kokoto na walima bustani.
Aidha amezindua Shina la ushindi ambalo wakinamama wafinyanga vyungu ndiyo wanachama wa Shina hilo, Katika kuunga Mkono...
11 years ago
MichuziMH. MAKALLA AFANYA ZIARA JIMBONI KWAKE MVOMERO
Mbunge wa Jimbo la Mvomero, Amos Makalla ,ambaye pia ni Naibu Waziri wa Maji,kuanzia Julai 3 hadi 7, mwaka huu, alifanya ziara ya kikazi iliyilenga kuhamasisha shughuli za maendeleo ya wananchi wake wa vijiji mbalimbali vya Tarafa ya Mlali, Turiani na Mvomero.
Katika ziara hiyo, ametoa misaada ya aina mbalimbali ya kifedha na vifaa kwa ajili ya kuharakisha maendeleo ya huduma za kijamii ikiwa ni pamoja na kuzundua vituo vya kuchota maji Kijiji cha Mgogo, Kata ya...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-iSHISPd2O7E/VXkwl7gFtQI/AAAAAAAHemY/rFIt7Co7-qk/s72-c/unnamed%2B%252824%2529.jpg)
Makalla akabidhi pikipiki 5 kwa kata mpya Mvomero
Akikambidhi pikipiki hizo, Mbunge wa Mvomero alimueleza mwenyekiti wa wilaya ya Mvomero ndg Abdalah Mtiga kuwa msaada huo ni muendelezo wa kukisaidia Chama wilaya ya Mvomero kwani awali alisaidia pikipiki 23 na hizo 5 inafanya jumla ya pikipiki alizosaidia Chama kuwa 28 zenye...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-lskup_PINdU/VMZELXj33JI/AAAAAAAG_lA/WnqKXASauyc/s72-c/unnamed%2B(40).jpg)
Mashindano ya Makalla Cup yafika tamati wilayani Mvomero
Mgeni rasmi na mdhamini wa Mashindano hayo ya Makalla Cup alikuwa Mbunge wa Mvomero na...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-cJld9uKSJ1s/VR9xDiIxn1I/AAAAAAAHPRI/NRnk9HCEwnw/s72-c/unnamed%2B(39).jpg)
MH. MAKALLA ACHANGIWA FEDHA ZA KUCHUKUA FOMU KUWANIA UBUNGE JIMBO LA MVOMERO
Tukio la kuchangiwa fedha za kuchukulia fomu lilichagizwa na Naibu Waziri wa Afya, Dk. Stephen Kebwe aliyefanya ziara ya kukagua hospitali teule ya Bwagala na kisha kuongea na wananchi kwenye mkutano mkubwa wa hadhara.
Alipopanda jukwaani, Dk. Stephen Kebwe...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-jh6d8nbQ5Z8/VOl0bW9W6eI/AAAAAAAHFEY/2W0WeiijJ7k/s72-c/unnamed%2B(6).jpg)
Mbunge wa Mvomero,Mh. Amos Makalla atumia bodaboda kufanya ziara jimboni kwake
Mbunge huyo ambaye amesifika na kuweka rekodi ya kutembelea vijiji vyote 130 vya Jimbo lake hilo,aliona umuhimu kuwafikia wananchi na wana CCM wa Ifumbo kwa njia ya pikipiki ili ajionee changamoto na kuchukua...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-h1JZXy1Nro4/VUb-ip179AI/AAAAAAAHVCw/S_avItByED4/s72-c/unnamed%2B(2).jpg)
Makalla aendelea kuchangiwa fedha za kuchukua fomu ya kuwania Ubunge jimbo la Mvomero
Katika mkutano mkubwa wa kihistoria wanawake wa matawi walimtaka mbunge huyo wakati ukifika achukue fomu na wao wanamuahidi ushindi ndani ya chama na nje ya...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/QxYZWE5p2qvo8aqQxejO0ZU8nPTxX9iUsLlX63Q97XBVD1ySz1etRowcaFF5WNfUA2oLn2fCPjZNLS12x*T4vgCZi5y17Go7/unnamed6.jpg?width=650)
MBUNGE WA MVOMERO, MH. AMOS MAKALLA ATUMIA BODABODA KUFANYA ZIARA JIMBONI KWAKE