Makalla akabidhi pikipiki 5 kwa kata mpya Mvomero
![](http://2.bp.blogspot.com/-iSHISPd2O7E/VXkwl7gFtQI/AAAAAAAHemY/rFIt7Co7-qk/s72-c/unnamed%2B%252824%2529.jpg)
Naibu Waziri wa Maji na Mbunge wa Mvomero, Amos Makalla amekabidhi pikipiki tano kwa kata mpya tano za Chama cha Mapinduzi (CCM) ili kuwasaudia watendaji na viongozi wa Chama kufanya kazi za Chama kwa wepesi na ufanisi.
Akikambidhi pikipiki hizo, Mbunge wa Mvomero alimueleza mwenyekiti wa wilaya ya Mvomero ndg Abdalah Mtiga kuwa msaada huo ni muendelezo wa kukisaidia Chama wilaya ya Mvomero kwani awali alisaidia pikipiki 23 na hizo 5 inafanya jumla ya pikipiki alizosaidia Chama kuwa 28 zenye...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Y-sriCxrZ0A/UxOTXHtPYLI/AAAAAAAFQkk/1Irt0inKXiI/s72-c/1.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM AKABIDHI PIKIPIKI 9 NA BAISKELI 86 KWA KATA NA MATAWI YA CCM WILAYA YA KIBAHA VIJIJINI,PIA AKABIDHI KADI KWA WANACHAMA WAPYA ZAIDI YA 100
![](http://4.bp.blogspot.com/-Y-sriCxrZ0A/UxOTXHtPYLI/AAAAAAAFQkk/1Irt0inKXiI/s1600/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-LJzf6SHcIf8/UxOUclREtwI/AAAAAAAFQnY/WoJ0v18VwP8/s1600/3.jpg)
9 years ago
CCM Blog![](http://1.bp.blogspot.com/-3RJWpx1jRtw/Vmbj8nAFMUI/AAAAAAAAsFw/TQj7rahlJeg/s72-c/22.jpg)
NAPE AKABIDHI PIKIPIKI 20 KWA MAKATIBU KATA JIMBONI KWAKE
![](http://1.bp.blogspot.com/-3RJWpx1jRtw/Vmbj8nAFMUI/AAAAAAAAsFw/TQj7rahlJeg/s640/22.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-3K1PTmvvCWs/Vmbj-IulZoI/AAAAAAAAsF4/HNXc_Tbs1Dc/s640/20.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-JysEhhcV1YI/Vmbj-RzvVAI/AAAAAAAAsF8/yVG-5KHwkso/s640/23.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Z3UUPussstE/VQMIiB-bG7I/AAAAAAAHKHE/jask2kPL2s8/s72-c/unnamed%2B(63).jpg)
WAZIRI CHIKAWE AKABIDHI PIKIPIKI 35 KWA MAKATIBU KATA WA CCM WILAYA YA NACHINGWEA LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-Z3UUPussstE/VQMIiB-bG7I/AAAAAAAHKHE/jask2kPL2s8/s1600/unnamed%2B(63).jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-iJmhBxWDFS4/VQLq-thCewI/AAAAAAADcDE/Uy0S2fbBRtM/s72-c/PIX%2B1.jpg)
WAZIRI CHIKAWE AKABIDHI PIKIPIKI 35 KWA MAKATIBU KATA WA CCM WILAYA YA NACHINGWEA LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-iJmhBxWDFS4/VQLq-thCewI/AAAAAAADcDE/Uy0S2fbBRtM/s1600/PIX%2B1.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-KzMOUEwZg9I/VWGp7Gne2kI/AAAAAAAHZf4/6sRgIeEzpVI/s72-c/unnamed%2B%252862%2529.jpg)
Makalla afunika Mvomero
Akihutubia maelfu ya wananchi hao aliwaeleza kuwa katika kipindi cha uongozi wake amekuwa ni mdau mkubwa...
10 years ago
MichuziZiara ya Makalla jimboni kwake Mvomero
Katika ziara yake ya kichama amekagua kazi zinazotanywa na kikundi cha wakina mama wafinyanga vyungu, wakinamama wajasiriamali wauza kokoto na walima bustani.
Aidha amezindua Shina la ushindi ambalo wakinamama wafinyanga vyungu ndiyo wanachama wa Shina hilo, Katika kuunga Mkono...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-nAUNICkqzvo/VK1JpNuQxnI/AAAAAAAG71U/_8B_xNkSucY/s72-c/unnamed%2B(14).jpg)
Mh. Makalla ziarani kwenye Jimbo la Mvomero
![](http://3.bp.blogspot.com/-nAUNICkqzvo/VK1JpNuQxnI/AAAAAAAG71U/_8B_xNkSucY/s1600/unnamed%2B(14).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-qFwfM30qcLE/VK1JpUFKSRI/AAAAAAAG71Y/CdG9_H5IldQ/s1600/unnamed%2B(15).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/--mwYkJz_U7s/VK1Jrh4ZbhI/AAAAAAAG71s/9utWviGs-ZA/s1600/unnamed%2B(16).jpg)
11 years ago
MichuziMH. MAKALLA AFANYA ZIARA JIMBONI KWAKE MVOMERO
Mbunge wa Jimbo la Mvomero, Amos Makalla ,ambaye pia ni Naibu Waziri wa Maji,kuanzia Julai 3 hadi 7, mwaka huu, alifanya ziara ya kikazi iliyilenga kuhamasisha shughuli za maendeleo ya wananchi wake wa vijiji mbalimbali vya Tarafa ya Mlali, Turiani na Mvomero.
Katika ziara hiyo, ametoa misaada ya aina mbalimbali ya kifedha na vifaa kwa ajili ya kuharakisha maendeleo ya huduma za kijamii ikiwa ni pamoja na kuzundua vituo vya kuchota maji Kijiji cha Mgogo, Kata ya...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-lskup_PINdU/VMZELXj33JI/AAAAAAAG_lA/WnqKXASauyc/s72-c/unnamed%2B(40).jpg)
Mashindano ya Makalla Cup yafika tamati wilayani Mvomero
Mgeni rasmi na mdhamini wa Mashindano hayo ya Makalla Cup alikuwa Mbunge wa Mvomero na...