NAPE AKABIDHI PIKIPIKI 20 KWA MAKATIBU KATA JIMBONI KWAKE
![](http://1.bp.blogspot.com/-3RJWpx1jRtw/Vmbj8nAFMUI/AAAAAAAAsFw/TQj7rahlJeg/s72-c/22.jpg)
Mbunge wa Jimbo la Mtama Ndugu Nape Nnauye akimkabidhi Katibu wa kata ya Mtua Kilimahewa Ndugu Maliki funguo ya pikipiki kwa niaba ya makatibu kata 20 wa jimbo hilo ambao wote wamewezeshwa usafiri wa pikipiki ili kurahisisha ufanisi wa kazi zao.
Mbunge wa Jimbo la Mtama (CCM) Nape Nnauye akijaribu moja ya pikipiki kati ya 20 alizowapa makatibu kata ili ziweze kuwasaidia kufanya kazi kwa ufanisi kwenye shughuli zao za kujenga na kuimarisha Chama Cha Mapinduzi.
Sehemu ya pikipiki zilizotolewa...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-iJmhBxWDFS4/VQLq-thCewI/AAAAAAADcDE/Uy0S2fbBRtM/s72-c/PIX%2B1.jpg)
WAZIRI CHIKAWE AKABIDHI PIKIPIKI 35 KWA MAKATIBU KATA WA CCM WILAYA YA NACHINGWEA LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-iJmhBxWDFS4/VQLq-thCewI/AAAAAAADcDE/Uy0S2fbBRtM/s1600/PIX%2B1.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Z3UUPussstE/VQMIiB-bG7I/AAAAAAAHKHE/jask2kPL2s8/s72-c/unnamed%2B(63).jpg)
WAZIRI CHIKAWE AKABIDHI PIKIPIKI 35 KWA MAKATIBU KATA WA CCM WILAYA YA NACHINGWEA LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-Z3UUPussstE/VQMIiB-bG7I/AAAAAAAHKHE/jask2kPL2s8/s1600/unnamed%2B(63).jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-3RJWpx1jRtw/Vmbj8nAFMUI/AAAAAAAAsFw/TQj7rahlJeg/s72-c/22.jpg)
NAPE AWAPA MAKATIBU KATA WA JIMBO LAKE PIKIPIKI
![](http://1.bp.blogspot.com/-3RJWpx1jRtw/Vmbj8nAFMUI/AAAAAAAAsFw/TQj7rahlJeg/s640/22.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-3K1PTmvvCWs/Vmbj-IulZoI/AAAAAAAAsF4/HNXc_Tbs1Dc/s640/20.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-JysEhhcV1YI/Vmbj-RzvVAI/AAAAAAAAsF8/yVG-5KHwkso/s640/23.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Y-sriCxrZ0A/UxOTXHtPYLI/AAAAAAAFQkk/1Irt0inKXiI/s72-c/1.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM AKABIDHI PIKIPIKI 9 NA BAISKELI 86 KWA KATA NA MATAWI YA CCM WILAYA YA KIBAHA VIJIJINI,PIA AKABIDHI KADI KWA WANACHAMA WAPYA ZAIDI YA 100
![](http://4.bp.blogspot.com/-Y-sriCxrZ0A/UxOTXHtPYLI/AAAAAAAFQkk/1Irt0inKXiI/s1600/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-LJzf6SHcIf8/UxOUclREtwI/AAAAAAAFQnY/WoJ0v18VwP8/s1600/3.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-iSHISPd2O7E/VXkwl7gFtQI/AAAAAAAHemY/rFIt7Co7-qk/s72-c/unnamed%2B%252824%2529.jpg)
Makalla akabidhi pikipiki 5 kwa kata mpya Mvomero
Akikambidhi pikipiki hizo, Mbunge wa Mvomero alimueleza mwenyekiti wa wilaya ya Mvomero ndg Abdalah Mtiga kuwa msaada huo ni muendelezo wa kukisaidia Chama wilaya ya Mvomero kwani awali alisaidia pikipiki 23 na hizo 5 inafanya jumla ya pikipiki alizosaidia Chama kuwa 28 zenye...
5 years ago
Michuzi![](https://4.bp.blogspot.com/-agGXGgOEjrc/XtDlv1DIEeI/AAAAAAACLzw/-Mob0omv7D0k7CAAnGKMBHd6F8pPWoHVQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200529_133539.jpg)
9 years ago
CCM Blog![](http://4.bp.blogspot.com/-mpm3i2ixWrc/VmfjNCpwpyI/AAAAAAAAsGw/M3Rj-4I5bKM/s72-c/1.jpg)
NAPE ASHIRIKI USAFI JIMBONI KWAKE MTAMA
![](http://4.bp.blogspot.com/-mpm3i2ixWrc/VmfjNCpwpyI/AAAAAAAAsGw/M3Rj-4I5bKM/s640/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-BGyHzPdi6MA/VmfjN4eMHAI/AAAAAAAAsG0/M2HP18CciGY/s640/2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-YwFeRxJR-Sw/VmfjOSkgAhI/AAAAAAAAsHA/QWm-dMT9pzM/s640/4.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-fLYKLgogI2c/VmfjO08CriI/AAAAAAAAsHI/IhU3fDE8JJI/s640/6.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-fLYKLgogI2c/VmfjO08CriI/AAAAAAAAsHI/IhU3fDE8JJI/s72-c/6.jpg)
MBUNGE WA JIMBO LA MTAMA NAPE NNAUYE ASHIRIKI KUFANYA USAFI NA WANANCHI JIMBONI KWAKE
![](http://4.bp.blogspot.com/-fLYKLgogI2c/VmfjO08CriI/AAAAAAAAsHI/IhU3fDE8JJI/s640/6.jpg)
Mkuu wa Wilaya ya Lindi Mhe. Yahaya Nawanda (mwenye fulana nyeusi) akishiriki usafi pamoja Mbunge wa Jimbo la Mtama Ndugu Nape Nnauye na wakazi wa jimbo hilo ikiwa sehemu ya kutekeleza agizo la Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. John Pombe Magufuli inayowataka wananchi kushiriki usafi wa mazingira kwenye siku ya kilele cha kusheherekea uhuru wa Tanzania, Desemba 9.
![](http://4.bp.blogspot.com/-iKvu9VyK1Bw/VmfjPhuoS8I/AAAAAAAAsHU/i8Lg2rqs9ag/s640/7.jpg)
Usafi ukiendelea Mtama ambapo wananchi wamesafisha mitaro yote pamoja na maeneo ya sokoni.
![](http://2.bp.blogspot.com/-CKcrEgeg4gc/VmfjNy2uZJI/AAAAAAAAsHE/u-5iiOf2B84/s640/11.jpg)
Mbunge wa Jimbo la...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-qh43sVVTvic/VPBhoEF4QjI/AAAAAAAHGMk/OjL29VnzpeU/s72-c/unnamed%2B(13).jpg)
Mh. Makalla aendelea na ziara jimboni kwake kwa usafiri wa bodaboda
Kutokana na kutokuwepo kwa barabara nzuri za kuelekea kwenye kijiji hicho,Mh. Makalla aliamua kutumia zaidi ya saa moja kufika kijiji cha Sewe kwa kutumia usafiri wa pikipiki ili mradi awafikie wananchi wake.
Mara baada ya kuwasili kijiji hicho,wananchi walifurahi na...