NAPE ASHIRIKI USAFI JIMBONI KWAKE MTAMA
![](http://4.bp.blogspot.com/-mpm3i2ixWrc/VmfjNCpwpyI/AAAAAAAAsGw/M3Rj-4I5bKM/s72-c/1.jpg)
Mbunge wa Jimbo la Mtama Ndugu Nape Nnauye akishiriki kufanya usafi jimboni kwake ikiwa sehemu ya kutekeleza agizo la Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. John Pombe Magufuli inayowataka wananchi kushiriki usafi wa mazingira kwenye siku ya kilele cha kusheherekea uhuru wa Tanzania, Desemba 9.
Wakazi wa jimbo la Mtama wakijitokeza kufanya usafi
Wakazi wa jimbo la Mtama wakishiriki usafi
Mkuu wa Wilaya ya Lindi Mhe. Yahaya Nawanda (mwenye fulana nyeusi) akishiriki usafi pamoja Mbunge...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-fLYKLgogI2c/VmfjO08CriI/AAAAAAAAsHI/IhU3fDE8JJI/s72-c/6.jpg)
MBUNGE WA JIMBO LA MTAMA NAPE NNAUYE ASHIRIKI KUFANYA USAFI NA WANANCHI JIMBONI KWAKE
![](http://4.bp.blogspot.com/-fLYKLgogI2c/VmfjO08CriI/AAAAAAAAsHI/IhU3fDE8JJI/s640/6.jpg)
Mkuu wa Wilaya ya Lindi Mhe. Yahaya Nawanda (mwenye fulana nyeusi) akishiriki usafi pamoja Mbunge wa Jimbo la Mtama Ndugu Nape Nnauye na wakazi wa jimbo hilo ikiwa sehemu ya kutekeleza agizo la Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. John Pombe Magufuli inayowataka wananchi kushiriki usafi wa mazingira kwenye siku ya kilele cha kusheherekea uhuru wa Tanzania, Desemba 9.
![](http://4.bp.blogspot.com/-iKvu9VyK1Bw/VmfjPhuoS8I/AAAAAAAAsHU/i8Lg2rqs9ag/s640/7.jpg)
Usafi ukiendelea Mtama ambapo wananchi wamesafisha mitaro yote pamoja na maeneo ya sokoni.
![](http://2.bp.blogspot.com/-CKcrEgeg4gc/VmfjNy2uZJI/AAAAAAAAsHE/u-5iiOf2B84/s640/11.jpg)
Mbunge wa Jimbo la...
9 years ago
Dewji Blog15 Nov
#HapaKaziTu: Mbunge mteule wa jimbo la Mtama, Nape Nnauye aanza kutekeleza kwa vitendo jimboni
Mbunge mteule wa Jimbo la Mtama, Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape akisaini mkataba wa kupata vifaa vya huduma za afya mbele ya Mwambata wa Siasa wa Ubalozi wa China nchini Tanzania Mis Song Rui katika ofisi za Ubalozi wa Jamhuri ya Watu wa China.
Na Andrew Chale, Modewjiblog
Mbunge Mteule wa Jimbo la Mtama Ndugu Nape Nnauye ameanza kazi ya kuwatumikia wakazi wa jimbo hilo baada ya kusaini mkataba maalum na Ubalozi wa China nchini wa kusaidia vifaa vya huduma ya Afya kwa jimbo la...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-w0mxKycD2Ec/VYiG0pVXwWI/AAAAAAAAS88/E_hW6f_qGSI/s72-c/USAFI%2BTAKA%2BIMG-20150620-WA0007.jpg)
MWENYEKITI WA CHADEMA TAIFA MHESHIMIWA FREEMAN MBOWE ASHIRIKI KUFANYA USAFI JIMBONI HAI
![](http://2.bp.blogspot.com/-w0mxKycD2Ec/VYiG0pVXwWI/AAAAAAAAS88/E_hW6f_qGSI/s640/USAFI%2BTAKA%2BIMG-20150620-WA0007.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-8_DqrIh76WQ/VYiG3SkgY1I/AAAAAAAAS9E/TtRiiEFi2s8/s640/IMG_20150619_143944_1.jpg)
11 years ago
MichuziWAZIRI CHIKAWE ASHIRIKI MAPOKEZI YA MWENGE WA UHURU JIMBONI KWAKE NACHINGWEA LEO
9 years ago
CCM Blog![](http://1.bp.blogspot.com/-3RJWpx1jRtw/Vmbj8nAFMUI/AAAAAAAAsFw/TQj7rahlJeg/s72-c/22.jpg)
NAPE AKABIDHI PIKIPIKI 20 KWA MAKATIBU KATA JIMBONI KWAKE
![](http://1.bp.blogspot.com/-3RJWpx1jRtw/Vmbj8nAFMUI/AAAAAAAAsFw/TQj7rahlJeg/s640/22.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-3K1PTmvvCWs/Vmbj-IulZoI/AAAAAAAAsF4/HNXc_Tbs1Dc/s640/20.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-JysEhhcV1YI/Vmbj-RzvVAI/AAAAAAAAsF8/yVG-5KHwkso/s640/23.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-HYHNyC9fBek/VV2DapE9nfI/AAAAAAAAcEo/WtZLsxf_CAU/s72-c/mt1.jpg)
NAPE AHIMIZA MSHIKAMANO MTAMA
![](http://4.bp.blogspot.com/-HYHNyC9fBek/VV2DapE9nfI/AAAAAAAAcEo/WtZLsxf_CAU/s640/mt1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-2JdTOb2gsqU/VV2Dbmx9lDI/AAAAAAAAcEw/AcDNVTkmwcE/s640/mt2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-UPVPQnN2Wz8/VV2DcU_y8GI/AAAAAAAAcE4/2sWgQh9HOoE/s640/mt4.jpg)
10 years ago
Vijimambo16 Jul
Nape ajitosa kumrithi Membe Mtama.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Nape-16July2015.jpg)
Baadhi ya vigogo wa serikali, Chama Cha Mapinduzi (CCM), akiwamo Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye na waliokuwa baadhi ya wabunge wa majimbo nchini, jana walijikuta wakipigana vikumbo katika ofisi za chama hicho kuchukua fomu za kuomba ridhaa ya kuteuliwa kuwania ubunge katika uchaguzi Mkuu utakaofanyika nchini Oktoba 25, mwaka huu.
Hatua hiyo ilikuja baada ya Chama hicho kutangaza kuanza kutoa fomu hizo jana kwa wanachama wake...
10 years ago
Mwananchi13 Aug
Wananchi wacharukia ushindi wa Nape Mtama
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-rjjH6yJLxI0/VdaFgPgFzdI/AAAAAAAAkkc/6DvOTrTMZDc/s72-c/1.jpg)
NAPE AWASHUKURU WAKAZI WA MAJENGO KATA YA MTAMA
![](http://4.bp.blogspot.com/-rjjH6yJLxI0/VdaFgPgFzdI/AAAAAAAAkkc/6DvOTrTMZDc/s640/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-rMq_p1o__Uk/VdaFigK1ItI/AAAAAAAAkl8/L7d6V8tZQLw/s640/2.jpg)
ubunge wa Jimbo la Mtama kwa tiketi ya CCM akiwasalimia viongozi mbali mbali wa CCM ngazi za kata na matawi waliojitokeza...