NAPE AHIMIZA MSHIKAMANO MTAMA
![](http://4.bp.blogspot.com/-HYHNyC9fBek/VV2DapE9nfI/AAAAAAAAcEo/WtZLsxf_CAU/s72-c/mt1.jpg)
Katibu wa Itikadi na Uenezi CCM Taifa akisalimiana na Mzee Masoud Ali Chitende Mbunge Mstaafu wa Jimbo la Mtama mara baada ya kuwasili kwenye kata ya Mtama ambapo alipata nafasi ya kuwasalimu wajumbe wa Halmashauri Kuu za Kata Mtama na Majengo, Mtama mkoani Lindi.
Katibu wa Itikadi na Uenezi CCM Taifa Nape Nnauye akiteta jambo na Mwenyekiti wa CCM Kata ya Mtama Mzee Said H. Maluma,kushoto ni Mwenyekiti wa CCM kata ya Majengo Mzee Omari Mataka.
Baadhi ya Wajumbe wa Halmashauri Kuu za Kata ya...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo16 Oct
Makongoro Nyerere ahimiza umoja, mshikamano
MBUNGE wa Bunge la Afrika Mashariki (EALA) Makongoro Nyerere, ametaka Watanzania kumuenzi Baba wa Taifa, Hayati Mwalimu Julius Nyerere kwa kufuata misingi ya upendo, kujitolea na mshikamano.
10 years ago
Vijimambo16 Jul
Nape ajitosa kumrithi Membe Mtama.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Nape-16July2015.jpg)
Baadhi ya vigogo wa serikali, Chama Cha Mapinduzi (CCM), akiwamo Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye na waliokuwa baadhi ya wabunge wa majimbo nchini, jana walijikuta wakipigana vikumbo katika ofisi za chama hicho kuchukua fomu za kuomba ridhaa ya kuteuliwa kuwania ubunge katika uchaguzi Mkuu utakaofanyika nchini Oktoba 25, mwaka huu.
Hatua hiyo ilikuja baada ya Chama hicho kutangaza kuanza kutoa fomu hizo jana kwa wanachama wake...
10 years ago
Mwananchi13 Aug
Wananchi wacharukia ushindi wa Nape Mtama
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/rk6vT442nE8/default.jpg)
9 years ago
CCM Blog![](http://4.bp.blogspot.com/-mpm3i2ixWrc/VmfjNCpwpyI/AAAAAAAAsGw/M3Rj-4I5bKM/s72-c/1.jpg)
NAPE ASHIRIKI USAFI JIMBONI KWAKE MTAMA
![](http://4.bp.blogspot.com/-mpm3i2ixWrc/VmfjNCpwpyI/AAAAAAAAsGw/M3Rj-4I5bKM/s640/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-BGyHzPdi6MA/VmfjN4eMHAI/AAAAAAAAsG0/M2HP18CciGY/s640/2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-YwFeRxJR-Sw/VmfjOSkgAhI/AAAAAAAAsHA/QWm-dMT9pzM/s640/4.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-fLYKLgogI2c/VmfjO08CriI/AAAAAAAAsHI/IhU3fDE8JJI/s640/6.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-_43v_QGmFb8/U-k3r-i7jjI/AAAAAAAAQAM/h-ODO5LUGxA/s72-c/2.jpg)
MEMBE ,NAPE WATOA POLE MSIBANI MTAMA
![](http://2.bp.blogspot.com/-_43v_QGmFb8/U-k3r-i7jjI/AAAAAAAAQAM/h-ODO5LUGxA/s1600/2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-U89Xsb_DJ08/U-k3tDD9JiI/AAAAAAAAQAU/qbfhbC_aES0/s1600/3.jpg)
Mbunge wa Jimbo la Mtama mkoani Lindi ambaye pia ni Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mhe.Mhesimiwa...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ZKr5QOupEPM/Vkcn3hCoboI/AAAAAAAArUg/kej4rJCfD04/s72-c/2.jpg)
NAPE AANZA KULIFANYIA KAZI JIMBO LA MTAMA
![](http://4.bp.blogspot.com/-ZKr5QOupEPM/Vkcn3hCoboI/AAAAAAAArUg/kej4rJCfD04/s640/2.jpg)
Mbunge Mteule wa Jimbo la Mtama Ndugu Nape Nnauye ameanza kazi ya kuwatumikia wakazi wa jimbo hilo baada ya kusaini mkataba maalum na Ubalozi wa China nchini wa kusaidia vifaa vya huduma ya Afya kwa jimbo la Mtama.
Ikumbukwe katika kampeni...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-rjjH6yJLxI0/VdaFgPgFzdI/AAAAAAAAkkc/6DvOTrTMZDc/s72-c/1.jpg)
NAPE AWASHUKURU WAKAZI WA MAJENGO KATA YA MTAMA
![](http://4.bp.blogspot.com/-rjjH6yJLxI0/VdaFgPgFzdI/AAAAAAAAkkc/6DvOTrTMZDc/s640/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-rMq_p1o__Uk/VdaFigK1ItI/AAAAAAAAkl8/L7d6V8tZQLw/s640/2.jpg)
ubunge wa Jimbo la Mtama kwa tiketi ya CCM akiwasalimia viongozi mbali mbali wa CCM ngazi za kata na matawi waliojitokeza...
9 years ago
Vijimambo26 Oct
NAPE NNAUYE ASHINDA UBUNGE JIMBO LA MTAMA
![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/75f2NapeNnauye.jpg)
Katibu wa Itikadi na uenezi CCM Nape Nnauye ameshinda kiti cha Ubunge jimbo la Mtama, jimbo lililokua chini ya Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mhe. Bernard Membe.
Nape Nnauye ameweza kushinda kwa jumla ya kura 28,110, Methew mgombea wa CHADEMA amepata kura 13,918 na Mchinjika wa CUF amepata kura 10,547