AJALI ILIYOTOKEA ENEO LA MOROCO-POSTA LEO JIJINI DAR
![](http://4.bp.blogspot.com/-QCmiSvxJkC0/U5rZLmg9dlI/AAAAAAACjXo/KDvehT9x8rg/s72-c/IMG_9432.jpg)
Majeruhi akipewa huduma ya kwanza na mmoja wa akina mama aliyekuwa akifanya usafi kando kando ya barabara mapema leo asubuhi,katika ajali hiyo hakuna aliyepoteza maisha.
Baadhi ya Watu wakitazama ajali ya magari mawili kama yaonekanavyo pichani,iliyotokea mapema leo asubuhi eneo la Moroco-Posta jijini Dar,katika ajali hiyo ambayo chanzo chake hakikufahamika mara moja,mtu mmoja alijeruhiwa na kukimbizwa hospitali kwa huduma ya kwanza,hakuna aliyepoteza maisha.
Mama ambaye jina lake...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-a048EoHiuh8/U6WEY01pEUI/AAAAAAAFsFY/_q3hHo6QSaE/s72-c/IMG-20140621-WA0003.jpg)
BREAKING NYUZZZZZZ....: WATU ZAIDI YA 10 WAPOTEZA MAISHA KWENYE AJALI YA GARI ILIYOTOKEA ENEO LA MAKONGO,JIJINI DAR MCHANA HUU
![](http://2.bp.blogspot.com/-a048EoHiuh8/U6WEY01pEUI/AAAAAAAFsFY/_q3hHo6QSaE/s1600/IMG-20140621-WA0003.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-lSLBy6XN-xw/U6WEZ0hXeMI/AAAAAAAFsFg/WDq6Nq5ofzo/s1600/IMG-20140621-WA0002.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-2mL638TC79I/U6WEbG-kYdI/AAAAAAAFsFo/_rI2H-fO7Gs/s1600/IMG-20140621-WA0004.jpg)
11 years ago
Michuzi31 Jan
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-2kx1r_deL3M/VRVF_KsqY4I/AAAAAAAARq0/E3ALjKJXons/s72-c/train_lory%2Bcolition.jpg)
AJALI YA ROLI KUGONGA TRENI ENEO LA KARUME JIJINI DAR LEO ASUBUHI
![](http://1.bp.blogspot.com/-2kx1r_deL3M/VRVF_KsqY4I/AAAAAAAARq0/E3ALjKJXons/s640/train_lory%2Bcolition.jpg)
10 years ago
MichuziAJALI YA GARI ILIYOTOKEA HIVI SASA KWENYE KIPITA SHOTO CHA SAMORA NA AZIKIWE JIJINI DAR
11 years ago
Dewji Blog01 Aug
Rais Kikwete aomboleza vifo vya watu 18 kufuatia ajali iliyotokea eneo la Pandambili, Dodoma
Rais Jakaya Mrisho Kikwete amemtumia salamu za rambirambi Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dkt. Rehema Nchimbi kufuatia ajali iliyotokea tarehe 30 Julai, 2014 katika eneo la Pandambili, Wilayani Kongwa na kuua watu wapatao 18.
Katika ajali hiyo, watu 13 walifariki katika eneo la ajali, na majeruhi wapatao 56 walifikishwa hospitalini. Kati ya majeruhi hao hadi sasa waliolazwa ni 30 na wengine wameruhusiwa baada ya kupata matibabu.
Rais amemuomba Dkt. Nchimbi kumfikishia rambirambi zake za dhati kwa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BY6VWIVrp23Y6ter*rYvNSh0e3a*zFaQeZxWeLYkJAiQ3vhcKjkGewqa0uUGCkVbbsdRJwRZzsGcFGslpIEMbSXwbt7OXAjX/IMG20140807WA0019.jpg)
AJALI ENEO LA AFRIKANA JIJINI DAR
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LzTY94yzCcIQOa3fKy9zEvY6ofmeyhn2e8UZDPEzkY1sL8rkx44OOS2HnVPrytNjkAq8MzvOHsR8hglSPmkj8SL3qOrbJk4g/AJALI.jpg?width=650)
AJALI ENEO LA LUGALO JIJINI DAR
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/RjUGj58MiaF66vGdvYamCoZRFnZiiUIHVweg2mxkv1sqqJtazE8F19Q5ERPyWBCfKMmfT71F7J82jalBVrjbu6ncjPQWXkNA/ajali2.jpg?width=650)
AJALI ENEO LA KIBADA, KIGAMBONI JIJINI DAR
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/AZoGWVfWtlyAYZgh5*8vOdNtbqqcgibnrbOpbHoBW8O3bQA0SAuSB5c6NtJ0yrpmj6ueBx2mIeKV1D4gm5Wpy4-aNHi4LNYC/breakingnews.gif)
AJALI YA LORI NA DCM ENEO LA EXTERNAL JIJINI DAR YAUA