AJALI ENEO LA KIBADA, KIGAMBONI JIJINI DAR
![](http://api.ning.com:80/files/RjUGj58MiaF66vGdvYamCoZRFnZiiUIHVweg2mxkv1sqqJtazE8F19Q5ERPyWBCfKMmfT71F7J82jalBVrjbu6ncjPQWXkNA/ajali2.jpg?width=650)
Magari mawili madogo yakiwa yamegongana eneo la Kibada, Kigamboni jijini Dar es Salaam jana. Wananchi wakiwa eneo la tukio baada ya ajali hiyo.…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jF779BPAXfZL-5BJ0OPbb3STk6edKQM-Lq3zfyCvyCw8m1IaHfOOHdLDss96bNV8mEl5WkHFdEFu-0tTAK*9hEGqAKRMWElr/mazikoaisha1.jpg)
MWILI WA AISHA MADINDA WAZIKWA MAKABURI YA KIBADA, KIGAMBONI JIJINI DAR
Maziko ya mwili wa marehemu Aisha Madinda yakifanyika katika makaburi ya Kibada, Kigamboni jioni hii. Mwili wa Aisha Madinda ukishushwa kaburini.…
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LzTY94yzCcIQOa3fKy9zEvY6ofmeyhn2e8UZDPEzkY1sL8rkx44OOS2HnVPrytNjkAq8MzvOHsR8hglSPmkj8SL3qOrbJk4g/AJALI.jpg?width=650)
AJALI ENEO LA LUGALO JIJINI DAR
Lori la mchanga likiwa limeangukia gari dogo eneo la Lugalo, Makongo jijini Dar mapema leo. Dereva wa gari dogo aina ya Toyota Cresta 'GX 100' akiwa amenasa katika gari lake baada ya kuangukiwa na lori. AJALI hii imetokea leo asubuhi baada ya magari kusimamishwa ghafla eneo la Lugalo, Makongo ili kuruhusu wanafunzi wavuke ndipo lori liliposhindwa kusimama na kuparamia kingo za barabarani kisha kuiangukia gari… ...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BY6VWIVrp23Y6ter*rYvNSh0e3a*zFaQeZxWeLYkJAiQ3vhcKjkGewqa0uUGCkVbbsdRJwRZzsGcFGslpIEMbSXwbt7OXAjX/IMG20140807WA0019.jpg)
AJALI ENEO LA AFRIKANA JIJINI DAR
Gari aina ya Nissan Hard Body lenye namba za usajili T524 ALW likiwa mtaroni baada ya ajali. Lori lililogonga gari ndogo likiwa mtaroni pia huku mvua ikinyesha. Lori…
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-QCmiSvxJkC0/U5rZLmg9dlI/AAAAAAACjXo/KDvehT9x8rg/s72-c/IMG_9432.jpg)
AJALI ILIYOTOKEA ENEO LA MOROCO-POSTA LEO JIJINI DAR
![](http://4.bp.blogspot.com/-QCmiSvxJkC0/U5rZLmg9dlI/AAAAAAACjXo/KDvehT9x8rg/s1600/IMG_9432.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-XM3TpABa5Ug/U5rY8S5x1pI/AAAAAAACjXQ/1XE-FRmYBFg/s1600/IMG_9401.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Vw_HUSog_zU/U5rY7S9WeRI/AAAAAAACjXI/OYNFAkh_8TM/s1600/IMG_9404.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/AZoGWVfWtlyAYZgh5*8vOdNtbqqcgibnrbOpbHoBW8O3bQA0SAuSB5c6NtJ0yrpmj6ueBx2mIeKV1D4gm5Wpy4-aNHi4LNYC/breakingnews.gif)
AJALI YA LORI NA DCM ENEO LA EXTERNAL JIJINI DAR YAUA
WATU kadhaa wanahofiwa kupoteza maisha katika ajali mbaya iliyotokea usiku huu katika maeneo ya Gereji, External - Ubungo jijini Dar es Salaam kati ya lori na daladala aina ya DCM. Abiria wa daladala waliojeruhiwa ni wengi mno japo idadi kamili bado haijafahamika huku juhudi za uokoaji zikiendelea kwenye eneo hilo la ajali. Chanzo cha ajali hiyo kinadaiwa kuwa ni daladala kujaribu kuhama upande wake na kuingia upande wa...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-2kx1r_deL3M/VRVF_KsqY4I/AAAAAAAARq0/E3ALjKJXons/s72-c/train_lory%2Bcolition.jpg)
AJALI YA ROLI KUGONGA TRENI ENEO LA KARUME JIJINI DAR LEO ASUBUHI
![](http://1.bp.blogspot.com/-2kx1r_deL3M/VRVF_KsqY4I/AAAAAAAARq0/E3ALjKJXons/s640/train_lory%2Bcolition.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-a048EoHiuh8/U6WEY01pEUI/AAAAAAAFsFY/_q3hHo6QSaE/s72-c/IMG-20140621-WA0003.jpg)
BREAKING NYUZZZZZZ....: WATU ZAIDI YA 10 WAPOTEZA MAISHA KWENYE AJALI YA GARI ILIYOTOKEA ENEO LA MAKONGO,JIJINI DAR MCHANA HUU
![](http://2.bp.blogspot.com/-a048EoHiuh8/U6WEY01pEUI/AAAAAAAFsFY/_q3hHo6QSaE/s1600/IMG-20140621-WA0003.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-lSLBy6XN-xw/U6WEZ0hXeMI/AAAAAAAFsFg/WDq6Nq5ofzo/s1600/IMG-20140621-WA0002.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-2mL638TC79I/U6WEbG-kYdI/AAAAAAAFsFo/_rI2H-fO7Gs/s1600/IMG-20140621-WA0004.jpg)
10 years ago
MichuziAISHA MADINDA AZIKWA LEO KIBADA,KIGAMBONI
WAKURUGENZI wa bendi hasimu za dansi Tanzania, African Stars, Asha Baraka na Extra Bongo, Ali Choki, leo wameongoza mamia ya waombolezaji kumzika aliyekuwa mnenguaji wa zamani wa bendi hizo, Aisha Mohamed Mbegu ‘Aisha Madinda’.
Mazishi ya Aisha Madinda yamefanyika leo kwenye Makaburi ya Kijiji cha Mikwambe, Kigamboni jijini Dar es Salaam, baada ya kukwama kufanyika jana kutokana na zuio la Jeshi la Polisi, kupisha uchunguzi wa sababu za kifo cha ghafla cha mnenguaji huyo.
Baada ya uchunguzi...
Mazishi ya Aisha Madinda yamefanyika leo kwenye Makaburi ya Kijiji cha Mikwambe, Kigamboni jijini Dar es Salaam, baada ya kukwama kufanyika jana kutokana na zuio la Jeshi la Polisi, kupisha uchunguzi wa sababu za kifo cha ghafla cha mnenguaji huyo.
Baada ya uchunguzi...
10 years ago
MichuziKAMPUNI YA AVIC TOWN YAANZA KUUZA NYUMBA ZAKE ILIYOZIJENGA MRADI WA KIBADA JIJINI DAR
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania