AJALI YA LORI NA DCM ENEO LA EXTERNAL JIJINI DAR YAUA
WATU kadhaa wanahofiwa kupoteza maisha katika ajali mbaya iliyotokea usiku huu katika maeneo ya Gereji, External - Ubungo jijini Dar es Salaam kati ya lori na daladala aina ya DCM. Abiria wa daladala waliojeruhiwa ni wengi mno japo idadi kamili bado haijafahamika huku juhudi za uokoaji zikiendelea kwenye eneo hilo la ajali. Chanzo cha ajali hiyo kinadaiwa kuwa ni daladala kujaribu kuhama upande wake na kuingia upande wa...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziLORI LAPIGA MWELEKEKA ENEO LA UKONGA JIJINI DAR LEO
11 years ago
Mwananchi05 Jul
Ajali ya lori yaua sita
10 years ago
Habarileo11 Apr
Ajali ya lori na pawatila yaua 7
WATU saba wamekufa na wengine saba kujeruhiwa katika ajali ya gari iliyotokea katika kijiji cha Endagau tarafa ya Endasaki wilayani Hanang’ mkoani Manyara baada ya lori aina ya Fuso kugongana na powatila.
11 years ago
GPLAJALI ENEO LA LUGALO JIJINI DAR
11 years ago
GPLAJALI ENEO LA AFRIKANA JIJINI DAR
10 years ago
GPLAJALI ENEO LA KIBADA, KIGAMBONI JIJINI DAR
10 years ago
GPLAJALI YA LORI YAUA DEREVA SEKENKE, SINGIDA
10 years ago
VijimamboAJALI YA LORI NA PAWATILA YAUA WATU 7 MANYARA
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Manyara, Christopher Fuime alisema lori hilo yenye namba za usajili T 781 AAC likitokea Katesh kuelekea Babati liligongana na pawatila iliyokuwa imebeba wakulima waliokuwa wakitokea shambani kuvuna maharage katika kijiji cha Getasam.
Kamanda Fuime alisema kwamba...
10 years ago
GPLAJALI YA GARI YAUA MBEZI JIJINI DAR