Ajali ya lori yaua sita
Manyara. Watu sita wamefariki dunia papohapo na wengine zaidi ya ishirini kujeruhiwa vibaya baada ya gari aina ya Leyland lenye namba za usajili T 568 AEU lililokuwa likitokea mnadani kuacha njia na kupinduka.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo11 Apr
Ajali ya lori na pawatila yaua 7
WATU saba wamekufa na wengine saba kujeruhiwa katika ajali ya gari iliyotokea katika kijiji cha Endagau tarafa ya Endasaki wilayani Hanang’ mkoani Manyara baada ya lori aina ya Fuso kugongana na powatila.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/nd24W9ECLPMEFP--Tvw-ohKZgI3umtPQcDDiH1AWhfNxjFRpC8YgKAW*VPC324Jvw8dWFVlcchRFQG31zXFf9cwz3WcxjB40/IMG20140909WA0003.jpg)
AJALI YA LORI YAUA DEREVA SEKENKE, SINGIDA
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-mZfMYN2tI4s/VSiqHmtvlWI/AAAAAAAAaf8/EpfutDwFLzg/s72-c/2.jpg)
AJALI YA LORI NA PAWATILA YAUA WATU 7 MANYARA
![](http://1.bp.blogspot.com/-mZfMYN2tI4s/VSiqHmtvlWI/AAAAAAAAaf8/EpfutDwFLzg/s640/2.jpg)
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Manyara, Christopher Fuime alisema lori hilo yenye namba za usajili T 781 AAC likitokea Katesh kuelekea Babati liligongana na pawatila iliyokuwa imebeba wakulima waliokuwa wakitokea shambani kuvuna maharage katika kijiji cha Getasam.
Kamanda Fuime alisema kwamba...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/AZoGWVfWtlyAYZgh5*8vOdNtbqqcgibnrbOpbHoBW8O3bQA0SAuSB5c6NtJ0yrpmj6ueBx2mIeKV1D4gm5Wpy4-aNHi4LNYC/breakingnews.gif)
AJALI YA LORI NA DCM ENEO LA EXTERNAL JIJINI DAR YAUA
11 years ago
Uhuru Newspaper22 Jun
Ajali ya magari manne yaua sita Dar
WATU sita wamefariki dunia mjini Dar es Salaam na wengine 12 kujeruhiwa vibaya katika ajali iliyohusisha magari manne.
Ajali hiyo ambayo ilitokea saa 7:30 mchana, ilihusisha daladala mbili, lori na gari dogo aina ya Land Rover Discover ambapo ilitokea katika eneo la Lugalo njiapanda.
Mashuhuda wa ajali hiyo walisema, ajali hiyo ilisababishwa na daladala lililokuwa likitoka Ubungo kwenda Tegeta lenye namba za usajili T 441 CKT ambalo lilihama njia na kupanda tuta kisha...
10 years ago
Dewji Blog13 Jun
Ajali yaua sita na kujeruhi wengine 40 Singida
Basi la kampuni ya Nice Line Coach T.174 CAV mali ya Enock Mwita wa jijini Mwanza, limegonga lori kubwa RAC 317 N kwa nyuma na kukwanguliwa kushoto kuanzia mlangoni na kusababisha vifo vya abiria watano na kujeruhi wengine 39 waliolazwa katika hospitali ya mkoa mjini Singida.
![DSC06582](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/06/DSC06582.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-fac5wk09ebw/VJBkW05ZC5I/AAAAAAACUa8/qYRjxsZqpSk/s72-c/IMG-20141216-WA0046.jpg)
AJALI YA BASI LA MOHAMED TRANS YAUA WATU SITA NA KUJERUHI
![](http://3.bp.blogspot.com/-fac5wk09ebw/VJBkW05ZC5I/AAAAAAACUa8/qYRjxsZqpSk/s640/IMG-20141216-WA0046.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*tHd*uipNJAJnkWLtGejyig2eUK14jra4LHwyoPNaqjr3Fnd*eg2jNvyRz80i4VaGHz6Iu65t8PVBZpVchXdldv86if4C40n/ajali4.jpg)
AJALI LA LORI UBUNGO DARAJANI
11 years ago
Habarileo16 Dec
Noah yaua watu sita
WATU sita wamekufa papo hapo na wengine wawili wamejeruhiwa vibaya kutokana na ajali ya gari iliyotokea juzi usiku katika mji wa Longido mkoani Arusha.