Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ajali ya lori yaua sita

Manyara. Watu sita wamefariki dunia papohapo na wengine zaidi ya ishirini kujeruhiwa vibaya baada ya gari aina ya Leyland  lenye namba za usajili T 568 AEU lililokuwa likitokea mnadani kuacha njia na kupinduka.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Ajali ya lori na pawatila yaua 7

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Manyara, Christopher FuimeWATU saba wamekufa na wengine saba kujeruhiwa katika ajali ya gari iliyotokea katika kijiji cha Endagau tarafa ya Endasaki wilayani Hanang’ mkoani Manyara baada ya lori aina ya Fuso kugongana na powatila.

 

10 years ago

GPL

AJALI YA LORI YAUA DEREVA SEKENKE, SINGIDA

Wananchi wakishuhudia lori la saruji lililopinduka na kuua dereva wake leo eneo la Milima ya Sekenke mkoani Singida. Pichani juu na chini malori mengine ya mizigo yakipita karibu na eneo la tukio.…

 

10 years ago

Vijimambo

AJALI YA LORI NA PAWATILA YAUA WATU 7 MANYARA

Watu saba wamekufa na wengine saba kujeruhiwa katika ajali ya gari iliyotokea katika kijiji cha Endagau tarafa ya Endasaki wilayani Hanang’ mkoani Manyara baada ya lori aina ya Fuso kugongana na powatila.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Manyara, Christopher Fuime alisema lori hilo yenye namba za usajili T 781 AAC likitokea Katesh kuelekea Babati liligongana na pawatila iliyokuwa imebeba wakulima waliokuwa wakitokea shambani kuvuna maharage katika kijiji cha Getasam.
Kamanda Fuime alisema kwamba...

 

10 years ago

GPL

AJALI YA LORI NA DCM ENEO LA EXTERNAL JIJINI DAR YAUA

WATU kadhaa wanahofiwa kupoteza maisha katika ajali mbaya iliyotokea usiku huu katika maeneo ya Gereji, External - Ubungo jijini Dar es Salaam kati ya lori na daladala aina ya DCM.  Abiria wa daladala waliojeruhiwa ni wengi mno japo idadi kamili bado haijafahamika huku juhudi za uokoaji zikiendelea kwenye eneo hilo la ajali. Chanzo cha ajali hiyo kinadaiwa kuwa ni daladala kujaribu kuhama upande wake na kuingia upande wa...

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

Ajali ya magari manne yaua sita Dar

NA MWANDISHI WETU

WATU sita wamefariki dunia mjini Dar es Salaam na wengine 12 kujeruhiwa vibaya katika ajali iliyohusisha magari manne.
Ajali hiyo ambayo ilitokea saa 7:30 mchana, ilihusisha daladala mbili, lori na gari dogo aina ya Land Rover Discover ambapo ilitokea katika eneo la Lugalo njiapanda.
Mashuhuda wa ajali hiyo walisema, ajali hiyo ilisababishwa na daladala lililokuwa likitoka Ubungo kwenda Tegeta lenye namba za usajili T 441 CKT ambalo lilihama njia na kupanda tuta kisha...

 

10 years ago

Dewji Blog

Ajali yaua sita na kujeruhi wengine 40 Singida

DSC06556

Basi la kampuni ya Nice Line Coach T.174  CAV  mali ya Enock Mwita wa jijini Mwanza, limegonga lori kubwa RAC 317 N kwa nyuma na kukwanguliwa kushoto kuanzia mlangoni na kusababisha vifo vya abiria watano na kujeruhi wengine 39 waliolazwa katika hospitali ya mkoa mjini Singida.

DSC06566

Dereva wa lori kubwa RAC 317 N raia wa Uganda,Waguuma Mohammed, akizungumzia ajali ya lori lake kugongwa kwa nyuma na basi T.174 CAV mali ya Enock Mwita wa jijini Mwanza. DSC06582 Mganga mfawidhi wa hospitali ya mkoa wa...

 

10 years ago

Vijimambo

AJALI YA BASI LA MOHAMED TRANS YAUA WATU SITA NA KUJERUHI

Imeripotiwa kuwa ajali ya Basi la Mohamed Trans iliyotokea leo asubuhi huko maeneo ya IGUNGA mkoani TABORA.Aidha mashuhuda wa ajali hiyo mbaya wamesema kuwa chanzo cha ajali hiyo ni baada ya dereva wa basi hilo alipokuwa akijaribu kulipita roli lililokuwa mbele yake hali iliyo pelekea gari kukosa muelekeo na kumshinda dereva na kisha kuanguka."Basi hilo baada ya kukosa mwelekeo liliiingia kwenye shimo lililokua kando ya barabara hiyo na kupinduka ambapo jumla ya Watu sita wamethibitika...

 

11 years ago

GPL

AJALI LA LORI UBUNGO DARAJANI

Lori lililopata ajali eneo la Ubungo Darajani jijini Dar likifungwa ili liondolewe eneo la tukio. AJALI hii imetokea muda mfupi uliopita eneo la Ubungo, Darajani jirani na River Side katika Barabara ya Mandela jijini Dar baada ya lori hili kukatika ringi za tairi za mbele katikati ya barabara. Katika ajali hiyo, hakuna abiria…

 

11 years ago

Habarileo

Noah yaua watu sita

WATU sita wamekufa papo hapo na wengine wawili wamejeruhiwa vibaya kutokana na ajali ya gari iliyotokea juzi usiku katika mji wa Longido mkoani Arusha.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani