Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ajali ya lori na pawatila yaua 7

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Manyara, Christopher FuimeWATU saba wamekufa na wengine saba kujeruhiwa katika ajali ya gari iliyotokea katika kijiji cha Endagau tarafa ya Endasaki wilayani Hanang’ mkoani Manyara baada ya lori aina ya Fuso kugongana na powatila.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

AJALI YA LORI NA PAWATILA YAUA WATU 7 MANYARA

Watu saba wamekufa na wengine saba kujeruhiwa katika ajali ya gari iliyotokea katika kijiji cha Endagau tarafa ya Endasaki wilayani Hanang’ mkoani Manyara baada ya lori aina ya Fuso kugongana na powatila.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Manyara, Christopher Fuime alisema lori hilo yenye namba za usajili T 781 AAC likitokea Katesh kuelekea Babati liligongana na pawatila iliyokuwa imebeba wakulima waliokuwa wakitokea shambani kuvuna maharage katika kijiji cha Getasam.
Kamanda Fuime alisema kwamba...

 

11 years ago

Mwananchi

Ajali ya lori yaua sita

Manyara. Watu sita wamefariki dunia papohapo na wengine zaidi ya ishirini kujeruhiwa vibaya baada ya gari aina ya Leyland  lenye namba za usajili T 568 AEU lililokuwa likitokea mnadani kuacha njia na kupinduka.

 

11 years ago

GPL

AJALI YA LORI YAUA DEREVA SEKENKE, SINGIDA

Wananchi wakishuhudia lori la saruji lililopinduka na kuua dereva wake leo eneo la Milima ya Sekenke mkoani Singida. Pichani juu na chini malori mengine ya mizigo yakipita karibu na eneo la tukio.…

 

10 years ago

GPL

AJALI YA LORI NA DCM ENEO LA EXTERNAL JIJINI DAR YAUA

WATU kadhaa wanahofiwa kupoteza maisha katika ajali mbaya iliyotokea usiku huu katika maeneo ya Gereji, External - Ubungo jijini Dar es Salaam kati ya lori na daladala aina ya DCM.  Abiria wa daladala waliojeruhiwa ni wengi mno japo idadi kamili bado haijafahamika huku juhudi za uokoaji zikiendelea kwenye eneo hilo la ajali. Chanzo cha ajali hiyo kinadaiwa kuwa ni daladala kujaribu kuhama upande wake na kuingia upande wa...

 

11 years ago

GPL

AJALI LA LORI UBUNGO DARAJANI

Lori lililopata ajali eneo la Ubungo Darajani jijini Dar likifungwa ili liondolewe eneo la tukio. AJALI hii imetokea muda mfupi uliopita eneo la Ubungo, Darajani jirani na River Side katika Barabara ya Mandela jijini Dar baada ya lori hili kukatika ringi za tairi za mbele katikati ya barabara. Katika ajali hiyo, hakuna abiria…

 

10 years ago

Mwananchi

Abiria 18 wateketea ajali ya basi, lori

Watu 18 wameteketea kwa moto baada ya basi la Kampuni ya Nganga Express na lori aina ya Fuso kugongana uso kwa uso na kuwaka moto katika eneo la Iyovi, Milima ya Uduzungwa, Morogoro

 

9 years ago

Michuzi

NEWZ ALERT;AJALI YA BASI LA LUWINZO NA LORI

Chumba cha habari cha GLOBU ya Jamii kimepata taarifa kuwa Basi la abiria  la kampuni ya Luwinzo (ambalo namba zake za usajili hazijafahimika mapema),lifanyalo safari zake Dar-Njombe inaelezwa kuwa limepata ajali asubuhi hii likitokea Njombe kuelekea Dar kwa kuligonga Lori (ambalo nalo namba zake za usajili hazikufahamika mapema), kwa taarifa za awali ambazo bado hazithibitishwa na jeshi la Polisi zinaeleza kuwa kuna vifo vya watu kadhaa,ambayo idadi yake haijajulikana mpaka sasa sambamba na...

 

10 years ago

GPL

LORI LA MAFUTA LAPATA AJALI MBAYA TANGA

lori la mafuta likiteketea kwa moto mara baada ya kugonga ngozo ya umeme huko Handeni ,Tanga. Wananchi wakishuhudia…

 

11 years ago

GPL

TASWIRA ZA AJALI YA MIKESE ILIYOUA DEREVA WA LORI LA MAFUTA

Lori la mafuta baada ya kuteketea kwa moto kijiji cha Fulwe, wilayani Mikese mkoani Morogoro. Lori la mafuta na semitrela vikiteketea kwa moto baada ya ajali.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani