Ajali ya magari manne yaua sita Dar
NA MWANDISHI WETU
WATU sita wamefariki dunia mjini Dar es Salaam na wengine 12 kujeruhiwa vibaya katika ajali iliyohusisha magari manne.
Ajali hiyo ambayo ilitokea saa 7:30 mchana, ilihusisha daladala mbili, lori na gari dogo aina ya Land Rover Discover ambapo ilitokea katika eneo la Lugalo njiapanda.
Mashuhuda wa ajali hiyo walisema, ajali hiyo ilisababishwa na daladala lililokuwa likitoka Ubungo kwenda Tegeta lenye namba za usajili T 441 CKT ambalo lilihama njia na kupanda tuta kisha...
Uhuru Newspaper
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi07 Mar
Ajali yaua, magari yakwama kwa saa tatu Dar- Moro
11 years ago
Mwananchi05 Jul
Ajali ya lori yaua sita
10 years ago
Dewji Blog13 Jun
Ajali yaua sita na kujeruhi wengine 40 Singida
Basi la kampuni ya Nice Line Coach T.174 CAV mali ya Enock Mwita wa jijini Mwanza, limegonga lori kubwa RAC 317 N kwa nyuma na kukwanguliwa kushoto kuanzia mlangoni na kusababisha vifo vya abiria watano na kujeruhi wengine 39 waliolazwa katika hospitali ya mkoa mjini Singida.

10 years ago
Vijimambo
AJALI YA BASI LA MOHAMED TRANS YAUA WATU SITA NA KUJERUHI

10 years ago
Michuzi
Ligi Daraja la Pili kuanza Oktoba 7, kuchezwa makundi manne ya timu sita sita nyumbani na ugenini

11 years ago
Tanzania Daima22 Jun
Ajali yaua 6, yajeruhi 12 Dar
WATU sita wamefariki dunia papo hapo na zaidi ya 12 kujeruhiwa katika ajali mbaya iliyohusisha magari manne. Akizungumzia tukio hilo lililotokea jana eneo la Makongo, jijini Dar es Salaam, Kamanda...
10 years ago
GPL
AJALI YAUA WATATU BUNJU B, DAR
11 years ago
Mwananchi11 May
Ajali ya daladala yaua wawili Dar
10 years ago
GPL
AJALI YA DALADALA YAUA ABIRIA MKWAJUNI, DAR