Ajali yaua 6, yajeruhi 12 Dar
WATU sita wamefariki dunia papo hapo na zaidi ya 12 kujeruhiwa katika ajali mbaya iliyohusisha magari manne. Akizungumzia tukio hilo lililotokea jana eneo la Makongo, jijini Dar es Salaam, Kamanda...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo15 Oct
Habari kamili ya Ajali ya tenki la mafuta Dar- yaua, yajeruhi 20
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F1.bp.blogspot.com%2F-6GKETkL9_x0%2FVDzFldMvdSI%2FAAAAAAAGqZg%2F6YiEVuTpIqM%2Fs1600%2FIMG-20141014-WA0006.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
NIPASHE ilifika jana katika eneo na kushuhudia umati wa watu wakishangaa tukio, huku maduka sita, bar moja na nyumba ya kulala wageni vimeungua.
Mmoja wa mashuhuda hao, Shabani Mlawa alisema Majira ya saa 5:30 usiku, gari lilikuwa likitoka kujaza mafuta.
Alisema mara...
10 years ago
Habarileo20 Feb
Ajali yaua 2 yajeruhi 45
WATU wawili wamekufa papo hapo huku wengine 45 wakijeruhiwa baada ya basi la abiria lililokuwa likitokea Dar es Salaam kwenda Mwanza kugongana uso kwa uso na roli katika kijiji cha Vikonje wilayani Chamwino mkoani hapa.
11 years ago
Habarileo22 Apr
Ajali ya basi yaua 10, yajeruhi 30
WATU 10 wamekufa papo hapo na wengine 30 kujeruhiwa vibaya kutokana na ajali ya basi la Luhuye Express lililokuwa likitoka wilayani Tarime mkoani Mara kwenda jijini Mwanza jana.
10 years ago
Mwananchi27 Feb
Ajali yaua watatu, nyingine yajeruhi 21
10 years ago
Habarileo31 Dec
Ajali yaua 4 Moshi, yajeruhi 3 Handeni
WATU wanne wamekufa na watatu wamejeruhiwa katika ajali mbili tofauti, zilizotokea Moshi mkoani Kilimanjaro na Handeni mkoani Tanga.
11 years ago
Mwananchi08 Jul
Ajali yaua, yajeruhi watano Tabora
9 years ago
Mtanzania17 Sep
Ajali yaua watu watatu, yajeruhi 51
Victor Bariety na Emanuel Ibrahim, Geita
WATU watatu wamefariki dunia na wengine 51 kujeruhiwa mkoani Geita, baada ya basi walilokuwa wakisafiria kupasua gurudumu kisha kupinduka.
Akizungumza na waandishi wa habari jana, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Geita, Joseph Konyo alisema watu walifaki dunia katika ajali hiyo majina yao hajatambuliwa kutokana na miili yao kuharibika vibaya.
Alisema ajali hiyo, iliyotokea saa 3;30 asubuhi katika eneo la Nyantorotoro, ilihusisha basi la Sheraton lenye namba...
10 years ago
Mtanzania16 Apr
Ajali nyingine yaua mmoja, yajeruhi 28
Na Thomas Murugwa, Tabora
BASI la Kampuni ya Air Jordan lenye namba za usajili T 650 AQZ lililokuwa likitokea Mwanza kuelekea Arusha, limepata ajali katika Kijiji cha Ngonho, Kata ya Kitangili, Wilaya ya Nzega mkoani Tabora na kusababisha kifo cha mtu mmoja na majeruhi 28.
Taarifa iliyotolewa na Mkuu wa Wilaya ya Nzega, Jackline Liana, imemtaja aliyefariki dunia kwa jina moja la Emmanuel ambaye alikuwa ni fundi wa gari hilo.
Alisema sababu ya ajali hiyo ni mwendo kasi wa dereva ambaye jina...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/nII-N*HRVI1T32fLFr7znZK5kq0PABUJIF8i*1yUbQDjbxs93cK5tQiVYA6TOvFlBXVEqEZAIAJV42QlvGbWY0UWOZSC4G0H/ajalinew.jpg?width=650)
AJALI YAUA WAUJAJI 17 , YAJERUHI 27 NEPAL