Matokeo ya hivi punde zaidi ya uchaguzi Tanzania
Haya ndiyo matokeo ya uchaguzi wa urais Tanzania jimbo baada ya jimbo, kama yanavyotangazwa na Tume ya Uchaguzi Tanzania
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili28 Oct
Matokeo ya punde zaidi ya uchaguzi Tanzania
10 years ago
Dewji Blog12 Apr
Ajali ya gari la Nganga na Fuso huko Ruaha Mbuyuni taarifa zaidi zitawajia hivi punde
Basi la abiria la Nganga likionekana kuteketea kwa moto baada ya kugongana na Fuso majira ya saa mbili asubuhi leo Aprili 12, huko eneo la Ruaha Mbuyuni (Picha kwa mujibu wa mitandao ya kijamii).
Na Andrew Chale wa Modewji blog
Chumba cha habari cha Modewji blog makao makuu kinaendelea kuwasiliana na vyanzo mbalimbali vya habari kutoka eneo la tukio la ajali mbaya iliyotokea mapema asubuhi ya leo Aprili 12 katika eneo hilo baada ya basi la abiria la Nganga linalofanya safari za Iringaa...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-3tO5Ie398Qc/UyhG-R4VJuI/AAAAAAAFUiE/DehAB55wWp0/s72-c/image.jpg)
BREAKING NEWZZZZZZ:TUKIO LA AJALI MIKESE HIVI PUNDE.
![](http://1.bp.blogspot.com/-3tO5Ie398Qc/UyhG-R4VJuI/AAAAAAAFUiE/DehAB55wWp0/s1600/image.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Kxo8dNzMEB4/UyhG_kDU3II/AAAAAAAFUiU/5rsX72CDhTc/s1600/image_1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-iPRh6qd3ulE/UyhG-yTUC7I/AAAAAAAFUiI/7fvAw4dTa34/s1600/image_2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-5ee7rK-CZzE/UyhHQ8IgFgI/AAAAAAAFUik/AUzC2al2UfY/s1600/image_4.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-5g-jQw4a12g/UyhHTVEJwOI/AAAAAAAFUis/3t7ZkpWVlh0/s1600/image_5.jpg)
10 years ago
Dewji Blog31 Mar
HABARI ZILIZOTUFIKIA HIVI PUNDE: Muhammad Buhari ndiye rais mpya wa Nigeria
Pichani ni Jenerali Muhammadu Buhari akiwa katika wakati wa kampeni muda mfupi kabla ya kupiga kura.
Kiongozi wa wa chama cha upinzani cha Nigeria jenerali Muhammadu Buhari ameshinda kura za urais na kumuondoa rais aliyeko Goodluck Jonathan mamlakani.
Tayari rais anayeondoka madarakani Goodluck Jonathan amekwisha mpigia simu mpinzani wake Jenerali Buhari na kumpongeza kwa ushindi huo wa kihistoria.
Hii ndiyo mara kwanza katika historia ya taifa hilo kwa rais wa nchi hiyo kung’olewa...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-WhVxbUxL99o/Vbn9gOoC7XI/AAAAAAAHspA/AVwk9W_eWTY/s72-c/_MG_1504.jpg)
LOWASSA AWASILI MAKAO MAKUU YA CHADEMA KUCHUKUA FOMU YA KUWANIA URAIS NDANI YA CHAMA HICHO HIVI PUNDE JIJINI DAR
![](http://3.bp.blogspot.com/-WhVxbUxL99o/Vbn9gOoC7XI/AAAAAAAHspA/AVwk9W_eWTY/s640/_MG_1504.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Ou-kZyolRWs/Vbn9ezO31CI/AAAAAAAHsos/7_9hJctistg/s640/_MG_1408.jpg)
9 years ago
BBCSwahili26 Oct
Matokeo ya uchaguzi wa urais Tanzania yanavyopokelewa
10 years ago
MichuziNCHI ZAIDI ZADHAMIRIA KUJIFUNZA KWA TANZANIA KUHUSU MATOKEO MAKUBWA SASHA (BRN)
9 years ago
Dewji Blog28 Oct
Breaking News: Matokeo ya uchaguzi Zanzibar yamefutwa na Tume ya Uchaguzi Zanzibar ZEC na uchaguzi utarudiwa baada ya siku 90
Hii ni kutokana na takwimu za kisiwa cha Pemba zimekuwa ni tofauti na watu waliojiandikisha katika daftari la wapiga kura ndio kitu kilichopelekea mashaka na kuahirisha uchaguzi.
Taarifa hiyo imedhibitishwa na Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), Jecha Salim Jecha (Pichani) katika mkutano wake na waandishi wa habari hivi punde.
5 years ago
BBCSwahili26 May
Uchaguzi Burundi: Agathon Rwasa aapa kupinga matokeo ya uchaguzi wa Urais mahakamani