AJALI YATOKEA ENEO LA BAMAGA, DAR
Gari aina ya Nissan Navara lenye namba za usajili T 900 CEH likiwa eneo la Bamaga, Mwenge jijini Dar baada ya kugongana na daladala aina ya Coaster lenye namba za usajili T 869 AZU linalofanya safari zake kati ya Mwenge - Kariakoo jioni hii. Daladala aina ya Coaster lenye namba za usajili T 869 AZU…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLENEO LA BAMAGA MWENGE DAR LEO MCHANA
Taswila ya muonekano wa eneo la Bamaga baada ya mvua kunyesha. Watembea kwa miguu wakionekana kupita kwa taabu.
.. Maji yakionekana kupungua katikati ya…
10 years ago
GPL
MADHARA YA MVUA KATIKA ENEO LA BAMAGA JIJINI DAR
Magari yakipita kwa tabu kwenye Barabara ya Shekilango eneo la Bamaga jijini Dar jana jioni. Hali ilivyokuwa katika eneo la mataa ya Bamaga, Mwenge. Maji…
11 years ago
GPLAJALI BAMAGA
Coaster linalofanya safari zake Mwenge - Posta baada ya kugongana na Canter eneo la Bamaga, Mwenge.
Wapita njia wakishuhudia ajali hiyo.
Trafiki akifika eneo la ajali.…
11 years ago
GPL
AJALI ENEO LA LUGALO JIJINI DAR
Lori la mchanga likiwa limeangukia gari dogo eneo la Lugalo, Makongo jijini Dar mapema leo. Dereva wa gari dogo aina ya Toyota Cresta 'GX 100' akiwa amenasa katika gari lake baada ya kuangukiwa na lori. AJALI hii imetokea leo asubuhi baada ya magari kusimamishwa ghafla eneo la Lugalo, Makongo ili kuruhusu wanafunzi wavuke ndipo lori liliposhindwa kusimama na kuparamia kingo za barabarani kisha kuiangukia gari… ...
11 years ago
GPL
AJALI ENEO LA AFRIKANA JIJINI DAR
Gari aina ya Nissan Hard Body lenye namba za usajili T524 ALW likiwa mtaroni baada ya ajali. Lori lililogonga gari ndogo likiwa mtaroni pia huku mvua ikinyesha. Lori…
10 years ago
GPL
AJALI ENEO LA KIBADA, KIGAMBONI JIJINI DAR
Magari mawili madogo yakiwa yamegongana eneo la Kibada, Kigamboni jijini Dar es Salaam jana. Wananchi wakiwa eneo la tukio baada ya ajali hiyo.…
11 years ago
Michuzi
BASI LA DAR EXPRESS LAPATA AJALI ENEO LA WAMI


10 years ago
GPL
AJALI YA LORI NA DCM ENEO LA EXTERNAL JIJINI DAR YAUA
WATU kadhaa wanahofiwa kupoteza maisha katika ajali mbaya iliyotokea usiku huu katika maeneo ya Gereji, External - Ubungo jijini Dar es Salaam kati ya lori na daladala aina ya DCM. Abiria wa daladala waliojeruhiwa ni wengi mno japo idadi kamili bado haijafahamika huku juhudi za uokoaji zikiendelea kwenye eneo hilo la ajali. Chanzo cha ajali hiyo kinadaiwa kuwa ni daladala kujaribu kuhama upande wake na kuingia upande wa...
11 years ago
Michuzi
AJALI ILIYOTOKEA ENEO LA MOROCO-POSTA LEO JIJINI DAR



Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
06-May-2025 in Tanzania