AJALI BAMAGA
Coaster linalofanya safari zake Mwenge - Posta baada ya kugongana na Canter eneo la Bamaga, Mwenge. Wapita njia wakishuhudia ajali hiyo. Trafiki akifika eneo la ajali.…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLAJALI YATOKEA ENEO LA BAMAGA, DAR
Gari aina ya Nissan Navara lenye namba za usajili T 900 CEH likiwa eneo la Bamaga, Mwenge jijini Dar baada ya kugongana na daladala aina ya Coaster lenye namba za usajili T 869 AZU linalofanya safari zake kati ya Mwenge - Kariakoo jioni hii. Daladala aina ya Coaster lenye namba za usajili T 869 AZU…
10 years ago
GPLENEO LA BAMAGA MWENGE DAR LEO MCHANA
Taswila ya muonekano wa eneo la Bamaga baada ya mvua kunyesha. Watembea kwa miguu wakionekana kupita kwa taabu.
.. Maji yakionekana kupungua katikati ya…
11 years ago
GPLPOLISI WASAFISHA GEREJI BUBU BAMAGA, MWENGE
Gari aina ya Toyota Hilux yenye namba T 510 ADT ikitolewa na break-down.
Eneo la gereji bubu likiwa jeupe baada ya magari kadhaa kuondolewa.
Baadhi ya mafundi gereji bubu wakitahamaki.…
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/MoQW6swxykW4hGritIO2N1w6ibCawI-7L7AHdXvxUgWEcqsB8nrVnJP*ysKMCQiuJX-eQhdsbOexT1ty4n7cbw0Nx*kmLaip/MVUA9.jpg?width=650)
MADHARA YA MVUA KATIKA ENEO LA BAMAGA JIJINI DAR
Magari yakipita kwa tabu kwenye Barabara ya Shekilango eneo la Bamaga jijini Dar jana jioni. Hali ilivyokuwa katika eneo la mataa ya Bamaga, Mwenge. Maji…
10 years ago
GPLMVUA YAFURIKISHA MITARO MAENEO YA BAMAGA-MWENGE, DAR
Maji yakiwa yamejaa katika uelekeo wa kituo cha Sayansi kutokea Bamaga-Mwenge. Basi likipita kwenye maji yaliyofurika. Mkazi wa jiji akikatiza kwenye barabara iliyojaa maji eneo hilo.…
11 years ago
GPLMADEREVA WA BAJAJ, BODABODA WAGONGANA BAMAGA NA KUFANYIANA FUJO
Madereva wa Bajaj wakiwa wamemweka kati dereva bodaboda. Watu wakitawanyika baada ya muafaka. MADEREVA wa Bajaj wanaopaki maeneo ya Bamaga-Sinza jijini Dar es Salaam leo walimzingira dereva wa bodaboda na kuzua mzozo baada ya wote kugongana uso kwa uso na kusababisha mizigo iliyokuwa kwenye Bajaj izagae hovyo. Tukio hilo…
10 years ago
GPLREAL MADRID WATINGA TSN BAMAGA, MWENGE DAR
Wachezaji wa wakongwe wa Real Madrid wakiwa wanatoka kwenye ofisi za TSN, Bamaga, Mwenge jijini Dar es Salaam, muda mfupi uliopita. Wachezaji wakongwe wa Real Madrid ya Hispania wakiweka pozi kwa ajili ya picha baada ya…
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-H6MSh2afSHs/VVONb6WwIFI/AAAAAAAHXKA/Gusp9nDN30I/s72-c/1%2Bcopy.jpg)
BAMAGA -AFRIKA SANA SINZA TAABAN KWA MAFURIKO.!
![](http://3.bp.blogspot.com/-H6MSh2afSHs/VVONb6WwIFI/AAAAAAAHXKA/Gusp9nDN30I/s640/1%2Bcopy.jpg)
10 years ago
GPLCHEMBA ILIYOZIBA YAMWAGA MAJI BARABARANI BAMAGA-MWENGE DAR
Chemba husika ikimwaga maji nje wakati wa mvua. Maji yakitiririka sehemu za barabarani. WAKAZI wa maeneo ya Bamaga-Mwenge, jijini Dar es Salaam, wamelalamika chemba moja iliyo karibu na Chuo cha Ustawi wa Jamii ambayo imeziba na wakati wa mvua hutiririsha maji taka ambayo huenea katika maeneo ya barabara za Shekilango na Bagamoyo na hivyo kuleta adha na hatari kwa binadamu. Wakazi hao wamezitaka mamlaka… ...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania