Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CHEMBA ILIYOZIBA YAMWAGA MAJI BARABARANI BAMAGA-MWENGE DAR

Chemba husika ikimwaga maji nje wakati wa mvua. Maji yakitiririka sehemu za barabarani. WAKAZI wa maeneo ya Bamaga-Mwenge, jijini Dar es Salaam,  wamelalamika  chemba moja iliyo karibu na Chuo cha Ustawi wa Jamii ambayo imeziba na wakati wa mvua hutiririsha maji taka ambayo huenea katika maeneo ya barabara za Shekilango na Bagamoyo na hivyo kuleta adha na hatari kwa binadamu.  Wakazi hao wamezitaka mamlaka… ...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

CHEMBA ITIRIRISHAYO MAJI MACHAFU BARABARANI MWENGE

Chemba  hii mbovu iliyo nje ya Zahanati ya Mwenge, kwa muda wa zaidi ya miaka 20 imekuwa ni kero kubwa kwa wakazi wa eneo hilo na wapita njia kwani hutirisisha maji machafu yakiwemo ya vyooni nyakati za kiangazi na masika, maji ambayo hutoa harufu mbaya na ambayo ni tishio la kusambaza magonjwa hasa kwa wakazi jirani na eneo hilo.  Chemba hiyo imeendelea kuwa katika hali hiyo mbaya  kwa miaka nenda-rudi bila kufanyiwa...

 

10 years ago

GPL

ENEO LA BAMAGA MWENGE DAR LEO MCHANA

Taswila ya muonekano wa eneo la Bamaga baada ya mvua kunyesha. Watembea kwa miguu wakionekana kupita kwa taabu.
.. Maji yakionekana kupungua katikati ya…

 

10 years ago

GPL

REAL MADRID WATINGA TSN BAMAGA, MWENGE DAR

Wachezaji wa wakongwe wa Real Madrid wakiwa wanatoka kwenye ofisi za TSN, Bamaga, Mwenge jijini Dar es Salaam, muda mfupi uliopita. Wachezaji wakongwe wa Real Madrid ya Hispania wakiweka pozi kwa ajili ya picha baada ya…

 

10 years ago

GPL

MVUA YAFURIKISHA MITARO MAENEO YA BAMAGA-MWENGE, DAR

Maji yakiwa yamejaa katika uelekeo wa kituo cha Sayansi kutokea Bamaga-Mwenge. Basi likipita kwenye maji yaliyofurika. Mkazi wa jiji akikatiza kwenye barabara iliyojaa maji eneo hilo.…

 

11 years ago

GPL

POLISI WASAFISHA GEREJI BUBU BAMAGA, MWENGE

Gari aina ya Toyota Hilux yenye namba T 510 ADT ikitolewa na break-down.
Eneo la gereji bubu likiwa jeupe baada ya magari kadhaa kuondolewa.
Baadhi ya mafundi gereji bubu wakitahamaki.…

 

10 years ago

GPL

WANANCHI WAGOMA KULIPA USHURU KWASABABU YA CHEMBA YA MAJI TAKA – AFRIKA SANA DAR

Chemba iliyowazi kwa muda mrefu maeneo ya Afrika sana.…

 

10 years ago

GPL

MAJI TAKA, BARABARA MBOVU NI KERO KWA WAKAZI WA MWENGE DAR

Mkazi wa Mwenge akipita kwa kwa taabu katika moja ya barabara za Mwenge ambazo zimejaa maji taka na ambazo ni mbovu. MAJI taka yaliyovamia sehembu mbalimbali na barabara mbovu vimekuwa ni kero kubwa kwa wakazi wa Mwenge jijini Dar es Salaam hasa katika maeneo ya wafanyabiashara ndogondogo.  Matokeo ya adha hiyo ni kupitika kwa taabu sehemu hiyo na harufu mbaya inayotokana na maji hayo hususan kwa watembea kwa miguu....

 

11 years ago

GPL

CHEMBA ILIYOBOMOKA ENEO LA MWENGE YAWA KERO KWA WATUMIAJI WA BARABARA INAYOELEKEA AFRIKA SANA‏

Chemba iliyobomoka ikiwa wazi maeneo ya Mwenge. Mawe yakiwa yamewekwa kuzuia magari yasipite baada ya chemba hiyo kubomoka. CHEMBA iliyobomoka maeneo ya Mwenge Jijini Dar imekuwa kero kwa watumiaji wa barabara ya kutoka Mwenge kuelekea Afrika Sana. Chemba hiyo ilibomoka baada ya gari…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani