CHEMBA ITIRIRISHAYO MAJI MACHAFU BARABARANI MWENGE
Chemba hii mbovu iliyo nje ya Zahanati ya Mwenge, kwa muda wa zaidi ya miaka 20 imekuwa ni kero kubwa kwa wakazi wa eneo hilo na wapita njia kwani hutirisisha maji machafu yakiwemo ya vyooni nyakati za kiangazi na masika, maji ambayo hutoa harufu mbaya na ambayo ni tishio la kusambaza magonjwa hasa kwa wakazi jirani na eneo hilo. Chemba hiyo imeendelea kuwa katika hali hiyo mbaya kwa miaka nenda-rudi bila kufanyiwa...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLCHEMBA ILIYOZIBA YAMWAGA MAJI BARABARANI BAMAGA-MWENGE DAR
10 years ago
MichuziKERO YA MAJI MACHAFU MTAA WA NZASA ZAMANI UMOJA STREET MWENGE
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3WL4yNYnOoaYF5iwi91*fFWtXRyu8Sa9mK3lBOxWNL9QZDVYyfCHmUWZdVbZQBiYQJC-qYTlvLvFBtkRTyNHu1jt2aTh0J78/pendo.jpg)
MAJI MACHAFU YAMLAZA PENDO KITANDANI
11 years ago
GPL![](http://3.bp.blogspot.com/-ABxss8JQZbo/UzAJOoD2rvI/AAAAAAAALt0/HB6Tgmvun3s/s1600/Photo3477.jpg)
CHEMBA ILIYOBOMOKA ENEO LA MWENGE YAWA KERO KWA WATUMIAJI WA BARABARA INAYOELEKEA AFRIKA SANA
10 years ago
CloudsFM08 Dec
MTOTO AOPOLEWA KWENYE DIMBWI LA MAJI MACHAFU
Mtoto mwenye umri ya miaka 5 afariki dunia kwenye dimbwi la maji machafu karibu na mtaa wa stendi ya mabasi Mafinga, wilayani Mufindi mkoani Iringa.
Mtoto huyo alipotea nyumbani takribani siku 3 zimepita ambapo mama mzazi alitoa taarifa jeshi la polisi liweze kumsaidia lakini juhudi hizo haikuzaa matunda ambapo hii leo amekutwa kwenye dimbwi la maji hayo.
10 years ago
GPLMAJI YA CHEMBA YA UCHAFU YAZAGAA SOKONI MANZESE
9 years ago
VijimamboUCHAFU WA MAGANDA YA MIWA WAZIBA MTARO WA MAJI MACHAFU SOKO LA MIEMBENI MJINI DODOMA
Maji machafu ambayo yamekuwa...
10 years ago
GPLWANANCHI WAGOMA KULIPA USHURU KWASABABU YA CHEMBA YA MAJI TAKA – AFRIKA SANA DAR