MTOTO AOPOLEWA KWENYE DIMBWI LA MAJI MACHAFU
Mtoto mwenye umri ya miaka 5 afariki dunia kwenye dimbwi la maji machafu karibu na mtaa wa stendi ya mabasi Mafinga, wilayani Mufindi mkoani Iringa.
Mtoto huyo alipotea nyumbani takribani siku 3 zimepita ambapo mama mzazi alitoa taarifa jeshi la polisi liweze kumsaidia lakini juhudi hizo haikuzaa matunda ambapo hii leo amekutwa kwenye dimbwi la maji hayo.
CloudsFM
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-rsEue5UF2nM/VENiQNpzHHI/AAAAAAAAOjc/H4ihx09KdcU/s72-c/IMG-20141019-WA0006.jpg)
NEWS ALERT: MAITI YAOKOTWA KWENYE MAJI MACHAFU KARIBU NA KIWANDA CHA KAHAWA (COFFEE CURING), MKOANI KILIMANJARO MUDA HUU
![](http://4.bp.blogspot.com/-rsEue5UF2nM/VENiQNpzHHI/AAAAAAAAOjc/H4ihx09KdcU/s1600/IMG-20141019-WA0006.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-kQaROm3WVhA/VENiP3PKRhI/AAAAAAAAOjY/5nZuLpIjRZc/s1600/IMG-20141019-WA0007.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-YuGzhkVBckM/VENiUWVZJXI/AAAAAAAAOjw/sFdV56-EUNM/s1600/IMG-20141019-WA0009.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-jpGrIUAgCOo/VENwGcLI67I/AAAAAAAAOnk/6w2U9MByyoY/s1600/IMG-20141019-WA0012.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3WL4yNYnOoaYF5iwi91*fFWtXRyu8Sa9mK3lBOxWNL9QZDVYyfCHmUWZdVbZQBiYQJC-qYTlvLvFBtkRTyNHu1jt2aTh0J78/pendo.jpg)
MAJI MACHAFU YAMLAZA PENDO KITANDANI
11 years ago
GPLCHEMBA ITIRIRISHAYO MAJI MACHAFU BARABARANI MWENGE
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-nJKo5tLR0mk/VHxrBuddU6I/AAAAAAAG0iM/z0V81y2J-VA/s72-c/unnamed%2B(56).jpg)
KERO LA DIMBWI LISILOKAUKA MAJI NA BARARABA MBOVU HAPA MBOZI ROAD - CHANG'OMBE
![](http://1.bp.blogspot.com/-nJKo5tLR0mk/VHxrBuddU6I/AAAAAAAG0iM/z0V81y2J-VA/s1600/unnamed%2B(56).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-mf5sOP5h1Jo/VHxrCAzmsSI/AAAAAAAG0iQ/_xtER2oKT_E/s1600/unnamed%2B(57).jpg)
9 years ago
GPLMAITI YA MWANAMKE YAKUTWA KWENYE DIMBWI
10 years ago
MichuziKERO YA MAJI MACHAFU MTAA WA NZASA ZAMANI UMOJA STREET MWENGE
9 years ago
VijimamboUCHAFU WA MAGANDA YA MIWA WAZIBA MTARO WA MAJI MACHAFU SOKO LA MIEMBENI MJINI DODOMA
Maji machafu ambayo yamekuwa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-W1k4MJH2WZA/XmoglY1UcXI/AAAAAAALivA/00b2PAyKvyQoA1fODI77njBqSR82TUU0ACLcBGAsYHQ/s72-c/4aac1299-751c-415f-95fc-6b3099c9b322.jpg)
CHANGAMOTO ZA MAJI NA USAFI WA MAZINGIRA KUJADILIWA KWENYE MAADHIMISHO YA WIKI YA MAJI
Charles James, Michuzi TV
TANZANIA itaungana na Mataifa mengine duniani kuadhimisha wiki ya maji ambayo itaanza Machi 16 hadi 22 mwaka huu huku kauli mbiu ikiwa ni " Maji na mabadiliko ya tabia nchi, uhakika wa maji salama kwa wote".
Wiki ya maji itaenda sambamba na siku ya maji ambapo ndio itakua kilele cha maadhimisho hayo ambayo yalianza kuadhimishwa rasmi mwaka 1993 kupitia azimio na.47/193 ililofikiwa mwaka 1992 na Umoja wa Mataifa.
Akizungumza na wandishi wa habari leo jijini Dodoma,...
10 years ago
Dewji Blog20 Mar
Maadhimisho wiki ya maji, Mpiji Magohe watoa ardhi bila fidia kupata umeme wa uhakikia kwenye chanzo cha maji
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Said Meck Sadiki na Mbunge wa Ubungo Mhe. John Mnyika wakifungua maji ya bomba kwenye Zahanati ya Kijiji cha Mpiji Magohe mara baada ya kuzindua mradi wa maji katika kijiji hicho manispaa ya Kinondani jijini Dar es salaam.
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Said Meck Sadiki akizindua Tenki la kuhifadhia maji katika kijiji cha Mpiji Magohe, manispaa ya Kinondoni jijini Dar es salaam leo wakati wa mwendelezo wa maadhimisho ya Wiki ya Maji yanayoendelea...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10