MAITI YA MWANAMKE YAKUTWA KWENYE DIMBWI
Gresia Chilindo enzi za uhai wake. Na Gregory Nyankaira Gresia Chilindo, 74, mkazi wa Kijiji cha Singu, Kata ya Kukirango, Butiama, mkoani Mara ameokotwa akiwa amefariki dunia ndani ya dimbwi la kunyweshea mifugo lililopo katika kijiji hicho. Kwa mujibu wa mashuhuda, tukio hilo lilitokea Septemba 7, mwaka huu, walisema kwamba, awali bibi kizee huyo aliondoka nyumbani kwake Septemba 6 na kwenda mnadani Kiabakari kutafuta...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
CloudsFM08 Dec
MTOTO AOPOLEWA KWENYE DIMBWI LA MAJI MACHAFU
Mtoto mwenye umri ya miaka 5 afariki dunia kwenye dimbwi la maji machafu karibu na mtaa wa stendi ya mabasi Mafinga, wilayani Mufindi mkoani Iringa.
Mtoto huyo alipotea nyumbani takribani siku 3 zimepita ambapo mama mzazi alitoa taarifa jeshi la polisi liweze kumsaidia lakini juhudi hizo haikuzaa matunda ambapo hii leo amekutwa kwenye dimbwi la maji hayo.
10 years ago
Habarileo25 Nov
Wanaume 3 wagombea maiti ya mwanamke
KATIKA hali isiyo ya kawaida, wanaume watatu, wawili wakazi wa jijini hapa na mmoja mkazi wa Nyamongo wilayani Tarime juzi wakiwa katika Mtaa wa Isagenge B, Kata ya Nyakato wilayani Nyamagana, walizua tafrani baada ya kung’ang’ania maiti ya Happy Wangoge Mathias (33) aliyekufa siku chache baada ya kuolewa na Paschal Mayala, jijini hapa.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/SVfVaVsl8W1mCpgZkV1Co0LBa8Kz6wQ0GW6q2ifgzw9mZVmvx8NOO1EV0nBhEwYKMS9tzGuxhGnfRs3oNoyycBUDT*qZF2Wl/MWANAMKE.jpg)
MWANAMKE ATEKWA, AUAWA, MAITI YALIWA NA MBWA
10 years ago
Mwananchi15 Jan
Maiti ya mwanamke iliyofukuliwa Shinyanga yazikwa kwa mara ya pili
10 years ago
BBCSwahili13 Feb
Maiti za vichanga kwenye jokofu
11 years ago
BBCSwahili26 May
Maiti yatumwa kwenye Posta Japan
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/5SYuKLMNKFxY-iTG*Soq8iClDVlDOJxLhXCEXjXXhpdAUFwNAZ4CqptVFJ4UR6V8sMkQyRSwHGvgTm3abjmSu9PAP2Ot6Esw/4.jpg?width=650)
HIRIZI YAKUTWA KWA WEMA
9 years ago
Mwananchi03 Nov
Tunajenga dimbwi la ujinga kuelekea umaskini
10 years ago
BBCSwahili16 Sep
Mwanamke ajirusha kwenye bwawa la Mamba