Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tunajenga dimbwi la ujinga kuelekea umaskini

Ni dhahiri kuwa watu maskini duniani ni wale wasiosoma. Watu maskini zaidi duniani ni wale waliopata elimu bandia na iliyowavuruga hata akili walizozaliwa nazo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Ujinga ni umaskini tosha usipobadilika

Nawakumbuka wapigania haki wa Kiafrika waliowahi kuliongoza ama kulitakia mema bara hili kwa uwezo wao.

 

11 years ago

Mwananchi

Ujinga wa zama zilizopita, si lazima uwe ujinga wa zama hizi

“Kila taifa lina ujinga wake,” haya ni maneno yaliyotolewa na Profesa Palamagamba Kabudi alipokuwa akitoa mada kuhusu Muungano wa Tanganyika na Zanzibar hivi karibuni.

 

5 years ago

Michuzi

TUNAWAHARIBU WATOTO WA KIUME TUNAJENGA TAIFA GANI: SAMIA

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan amekemea vitendo vya ukatili wa kijinsia kwa watoto hasa wakiume ambao wamekuwa wakidhalilishwa kwa kuwaingilia kinyume na maumbile.

Ameyasema hayo leo mkoani Simiyu wakati wa Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani yaliyofanyika Kitaifa mkoani humo.

Amewataka watanzania kusimama pampja kwa kila mmoja kuwa mlinzi wa mwenzie kila mmoja kuwa katika mapambano haya ya kuondokana na vitendo vya ukatili wa kijinsia.

"Sasa hii...

 

9 years ago

GPL

MAITI YA MWANAMKE YAKUTWA KWENYE DIMBWI

  Gresia Chilindo enzi za uhai wake. Na Gregory Nyankaira Gresia Chilindo, 74, mkazi wa Kijiji cha Singu, Kata ya Kukirango, Butiama, mkoani Mara ameokotwa akiwa amefariki dunia ndani ya dimbwi la kunyweshea mifugo lililopo katika kijiji hicho. Kwa mujibu wa mashuhuda, tukio hilo lilitokea Septemba 7, mwaka huu, walisema kwamba, awali bibi kizee huyo aliondoka nyumbani kwake Septemba 6 na kwenda mnadani Kiabakari kutafuta...

 

10 years ago

CloudsFM

MTOTO AOPOLEWA KWENYE DIMBWI LA MAJI MACHAFU

Mtoto mwenye umri ya miaka 5 afariki dunia kwenye dimbwi la maji machafu karibu na mtaa wa stendi ya mabasi Mafinga, wilayani Mufindi mkoani Iringa.Mtoto huyo alipotea nyumbani takribani siku 3 zimepita ambapo mama mzazi alitoa taarifa jeshi la polisi liweze kumsaidia lakini juhudi hizo haikuzaa matunda ambapo hii leo amekutwa kwenye dimbwi la maji hayo.

Source: fransis Godwin

 

10 years ago

Michuzi

KERO LA DIMBWI LISILOKAUKA MAJI NA BARARABA MBOVU HAPA MBOZI ROAD - CHANG'OMBE

Asalaam Aleykum Ankali, Pole na majukumu.  Ningeomba uupatie uzi huu nafasi ili nasi tupate sehemu ya kupazia sauti kuhusu hii kero tunayopata watumiaji wa Mbozi Road, Chang'ombe, hapa Dar es salaam. Hili tatizo sasa limekuwa ni la muda mrefu panyeshe mvua ama isinyesha huwa pamejaa maji hivyo hivyo. tunaomba mamlaka husika (Manispaa ya Temeke) watusaidie au kwa lugha nyingine watimize wajibu wao tuondokane na hii adha.Dimbwi lisilokauka barabara ya Mzozi Chang'ombe jijini Dar es salaam

 

9 years ago

Mwananchi

Tanzania inapoonja shubiri ya ujinga

Oktoba 29, mwaka huu, Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), ilitangaza matokeo ya urais yaliyoonyesha ushindi kwa mgombea wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk John Magufuli.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kifimbo cha malkia na ujinga wa utandawazi

IPO dhana ya kwamba kutawaliwa kulichangia maendeleo ya Bara la Afrika, ikiwemo  nchi yetu ya Tanzania. Vilevile wapo wanaodhani kwamba mawazo ya kupenda kutawala, yaani sehemu moja kuinyang’anya sehemu nyingine...

 

10 years ago

Tanzania Daima

UONGOZI WA TANZANIA: Udalali, ukuwadi na ujinga

ILI Tanzania iendelee, pamoja na mambo mengine, inahitaji uongozi bora (Mwalimu Nyerere, 1992). Hata hivyo, Tanzania imekwama kwenye uongozi! Uongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na serikali yake umeshindwa kujenga...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani