Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tanzania inapoonja shubiri ya ujinga

Oktoba 29, mwaka huu, Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), ilitangaza matokeo ya urais yaliyoonyesha ushindi kwa mgombea wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk John Magufuli.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Ujinga wa zama zilizopita, si lazima uwe ujinga wa zama hizi

“Kila taifa lina ujinga wake,” haya ni maneno yaliyotolewa na Profesa Palamagamba Kabudi alipokuwa akitoa mada kuhusu Muungano wa Tanganyika na Zanzibar hivi karibuni.

 

10 years ago

Tanzania Daima

UONGOZI WA TANZANIA: Udalali, ukuwadi na ujinga

ILI Tanzania iendelee, pamoja na mambo mengine, inahitaji uongozi bora (Mwalimu Nyerere, 1992). Hata hivyo, Tanzania imekwama kwenye uongozi! Uongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na serikali yake umeshindwa kujenga...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Sitta aonja shubiri

MWENYEKITI wa Bunge Maalumu la Katiba, na Waziri wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, Samuel Sitta, jana alipata wakati mgumu baada ya kulakiwa na kundi kubwa la watu, wengi wao wakiwa...

 

10 years ago

Mwananchi

Bunge la Katiba ni Sukari, Shubiri

Hatimaye safari ya siku 125 za Bunge maalumu la Katiba imefikia tamati, baada ya Bunge hilo kumkabidhi Rais Jakaya Kikwete Katiba inayopendekezwa, kama sehemu ya hatua ya kuipeleka kwa wananchi kwa ajili ya kura ya maoni.

 

10 years ago

Mwananchi

Warioba alivyoonja shubiri ya Katiba

Wengi hawakutarajia kuwa mdahalo muhimu wa kuichambua Katiba inayopendelezwa ungevunjika takriban nusu saa tu baada ya kuanzishwa kwake.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Viongozi wamegeuza kilimo kuwa shubiri

WAKULIMA wa Tanzania ambao kwa wingi wao ni zaidi ya asilimia 85 ya idadi ya wananchi wote wapatao milioni 45 kwa mujibu wa sensa ya Taifa ya mwaka 2012 ni...

 

11 years ago

GPL

KWA NINI MAPENZI NI ASALI, VILEVILE NI SHUBIRI?

Kwa nini mapenzi ni tata? Unaweza kujiuliza swali hilo. Ni kwa faida ya kila mmoja kwa sababu yanamhusu kila mmoja wetu. Ni matamu lakini ndani yake hutokea kuwa na ukakasi kama siyo maumivu.Jiulize tena, kwa nini mapenzi yanasumbua? Mapenzi ni maumivu ya kichwa na moyo. Watu wengi waliomo ndani yake wanaweza kukupa ushuhuda wa mateso wanayoyapata kwenye uhusiano wao. Je, baada ya kuteseka huwa wanajiapiza kutorudi tena? La...

 

10 years ago

GPL

KWA NINI MAPENZI NI ASALI, VILEVILE NI SHUBIRI?-2

kabla sijaendelea na mada yetu ambayo leo inatuweka sehemu ya pili, ni vizuri kukumbushana kuwa msingi nambari moja wa penzi bora lenye uaminifu ni kushika njia inayompendeza Muumba.
Migogoro mingi ya kimapenzi ni makosa ya watu kupita mlango wa Shetani. Tukiendelea na mada yetu; Mapenzi siku zote yanaweza kuwa asali kama wahusika wataamini katika nguvu ya maneno. Imetokea kuamini kuwa maneno ni mhimili wa kudumu kwa uhusiano...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Tusipojifunza kwa matukio haya tusubirie shubiri

RAIS wangu wiki iliyopita ilikuwa na matukio mengi lakini leo tuangazie matukio matatu ambayo yalivuta hisia za watu wengi. Ni katika wiki iliyopita Afrika imeondokewa na marais wawili baada ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani