KWA NINI MAPENZI NI ASALI, VILEVILE NI SHUBIRI?
![](http://api.ning.com:80/files/9677Xpk6OnVjN4*mvJLsrGZRjuMhnhavKAy7TraRM35oHRmCGoX2YeRBL2ggyaImXJ4BcbiePJ3stM7dbJ*NjlZOGfB4DW-B/mahaba.jpg)
Kwa nini mapenzi ni tata? Unaweza kujiuliza swali hilo. Ni kwa faida ya kila mmoja kwa sababu yanamhusu kila mmoja wetu. Ni matamu lakini ndani yake hutokea kuwa na ukakasi kama siyo maumivu.Jiulize tena, kwa nini mapenzi yanasumbua? Mapenzi ni maumivu ya kichwa na moyo. Watu wengi waliomo ndani yake wanaweza kukupa ushuhuda wa mateso wanayoyapata kwenye uhusiano wao. Je, baada ya kuteseka huwa wanajiapiza kutorudi tena? La...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dbDz8bz8Q7nMu8a--xCzqUP50kKfu1aj9E0HpyJlTTR2Ux3SnVpT4kQiDmAwNjqF1dog8H08xGwWywHDCnZj1kbT37668UX9/KMAHABA.jpg)
KWA NINI MAPENZI NI ASALI, VILEVILE NI SHUBIRI?-2
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dzn4ICuAlE63C3ZInimb9MriOkMJBAyJRAFmScl5KlHKxJ6eQbMIIwu-EY8uCLc5qRGet9ChCRw2Jl61B*aU7HHXRIC67vN7/Couplemakinglove.jpg?width=650)
ANAKUPENDA, UNAMPENDA, KWA NINI MAPENZI YENU YAWE YA SIRI?- 2
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/iJVROLF4NIvhWeYgJyEx53hj6Tnjf7tJ4WHld*k66dxg0j4f39r8xbwDCXmlQLRmRLLB5XD0gKvLB3wE4UxoQqqmh20tDjru/2.jpg)
ANAKUPENDA, UNAMPENDA KWA NINI MAPENZI YENU YAWE YA SIRI?
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/2cgQuBR1Cog6P*b0AmXUarEeSt4wchvBgmekA1ZlfjYWNYEV7ckASgmkBGT5cZNqz1obXuanmJ-aljN9pENAdobPZN0HA0F*/couplehappilysleeping.jpg?width=650)
HIVI MAPENZI YAMEKUFANYIA NINI?
10 years ago
Tanzania Daima05 Nov
Tusipojifunza kwa matukio haya tusubirie shubiri
RAIS wangu wiki iliyopita ilikuwa na matukio mengi lakini leo tuangazie matukio matatu ambayo yalivuta hisia za watu wengi. Ni katika wiki iliyopita Afrika imeondokewa na marais wawili baada ya...
11 years ago
Tanzania Daima26 Apr
Miaka 50 ya Muungano yawa shubiri kwa wafanyabiashara Feri
“SHEREHE za miaka 50 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar eti zitufanye tuondoke Feri, hatukubaliani na hilo. “Kuna mahusiano gani kati ya shughuli zetu za ukaangaji wa samaki ambao tumeufanya...
10 years ago
Mwananchi22 Oct
Serikali ya Umoja Kitaifa yageuka shubiri kwa CCM
11 years ago
Tanzania Daima27 May
Operesheni Safisha Jiji Arusha shubiri kwa mafundi nguo
OPERESHENI Safisha Jiji ya kuwaondoa machinga wanaouza bidhaa zao barabarani ilianza mwaka 2012 kama ilivyokubalika kwenye Baraza la Madiwani wa Jiji la Arusha. Licha ya mwaka jana operesheni hiyo kufanikiwa, mwaka...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pezQEPsid2iCtHCl1VNyQUtVaYMhF5D7V*YFEQ4HngfSg*pNZLFMgBbatbpHayiyDdrn8GjZt6TS5JaA-ey3Y-nibiVs5Xj9/MariaLund.jpg?width=650)
SHOGA, NYUKI MKALI KWA ASALI YAKE