Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Operesheni Safisha Jiji Arusha shubiri kwa mafundi nguo

OPERESHENI Safisha Jiji ya kuwaondoa machinga wanaouza bidhaa zao barabarani ilianza mwaka 2012 kama ilivyokubalika kwenye Baraza la Madiwani wa Jiji la Arusha. Licha ya mwaka jana operesheni hiyo kufanikiwa, mwaka...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Operesheni Safisha Jiji yalalamikiwa

WIKI moja baada ya Operesheni Safisha Jiji, baadhi ya wakazi wameomba Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Meck Sadiq kuingilia kati, kuzuia uvunjifu wa sheria wa kubomolewa baadhi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Operesheni safisha jiji yawageukia ombaomba

OPERESHENI ya kusafisha jiji ili kuwaondoa wafanyabiashara wadogo (wamachinga) kwenye maeneo yasiyo rasmi, imewageukia watoto wanaoishi kwenye mazingira magumu na ombaomba. Operesheni hiyo inaendeshwa na Halmashauri ya Wilaya ya Ilala,...

 

11 years ago

Mwananchi

Operesheni Safisha Jiji yaibua madudu

>Operesheni ya kusafisha jiji la Dar es Salaam ya kuwaondoa wafanyabiashara wadogo maarufu kama Machinga imebainika kuwa ni sehemu ya mradi kwa maofisa maalumu wanaohusika na operesheni hiyo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Walemavu walalamikia Operesheni Safisha Jiji

KIONGOZI wa Taasisi ya Haki za Binadamu Maendeleo ya Kiuchumi ya Walemavu (HREDP), Abubakar Rakesh, ameilalamikia Operesheni Safisha Jiji inayoendelea kwa kuwaondoa walemavu bila kuwapangia sehemu maalumu ya kwenda kufanyia...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Operesheni Safisha Jiji mbona inabomoa nyumba za watu?

OPERESHENI Safisha Jiji ilianza kwa kuungwa mkono na wakazi wa jijini Dar es Salaam lakini kadiri siku zinavyosonga mbele imeanza kuingia dosari na kufananishwa na ile ya Tokomeza Ujangili. Dosari...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Safisha jiji yawakera madiwani Arusha

BAADHI ya madiwani wa Jiji la Arusha, wameeleza kukerwa na zoezi la safisha safisha jiji hilo zilivyoendeshwa kwa misingi ya kukiuka haki za binadamu. Madiwani hao wametaka zoezi hilo lifanyike...

 

10 years ago

Bongo5

Watu 2 wapigwa na kuvuliwa nguo nyumbani kwa Wema, ni mafundi wake waliodaiwa kuiba

Nyumbani kwa Miss Tanzania 2006 na muigizaji wa filamu, Wema Sepetu, kumetokea tukio la kushangaza la watu wawili wanaodaiwa kuwa mafundi, kupigwa na kudhalilishwa kwa kuachwa uchi wakidaiwa kuhusika na wizi. Wema akiwa ndani kwake Akizungumza na Bongo5 jana, jirani wa Wema aliyetambulika kwa jina la Mama Steve, alisema tukio hilo lilitokea Ijumaa majira ya […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani