Safisha jiji yawakera madiwani Arusha
BAADHI ya madiwani wa Jiji la Arusha, wameeleza kukerwa na zoezi la safisha safisha jiji hilo zilivyoendeshwa kwa misingi ya kukiuka haki za binadamu. Madiwani hao wametaka zoezi hilo lifanyike...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima27 May
Operesheni Safisha Jiji Arusha shubiri kwa mafundi nguo
OPERESHENI Safisha Jiji ya kuwaondoa machinga wanaouza bidhaa zao barabarani ilianza mwaka 2012 kama ilivyokubalika kwenye Baraza la Madiwani wa Jiji la Arusha. Licha ya mwaka jana operesheni hiyo kufanikiwa, mwaka...
9 years ago
Habarileo08 Dec
Jiji Arusha wazindua baraza la madiwani
BARAZA la kwanza la Madiwani waliochaguliwa katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25, mwaka huu katika Halmashauri ya Jiji la Arusha linatarajiwa kufanyika leo.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Gfi_2F-9b98/Xk0QZFKrGeI/AAAAAAAAIHs/NCj9Um7bAlkffrTw_W_fUn62JfoFOv3EQCEwYBhgL/s72-c/IMG_20200219_121056_052_1582103530257.jpg)
BARAZA LA MADIWANI HALMASHAURI YA JIJI LA ARUSHA YATAKA UWEKEZAJI KWENYE VILIMA Na MAENEO YA WAZI
![](https://1.bp.blogspot.com/-Gfi_2F-9b98/Xk0QZFKrGeI/AAAAAAAAIHs/NCj9Um7bAlkffrTw_W_fUn62JfoFOv3EQCEwYBhgL/s640/IMG_20200219_121056_052_1582103530257.jpg)
Aidha Baraza hilo likataka Taarifa za mikopo ilivyotolewa na fedha zilizorejeshwa na kuainishwa vikundi na kundi maalumu walionufaika na mikopo ya vijana na kinamama.
Akiongea kwenye kikao hicho Diwani wa kata ya Muriet Mbise alisema taarifa hiyo ipo sawa hivyo waendelee na mjadala...
11 years ago
Tanzania Daima07 Apr
Operesheni Safisha Jiji yalalamikiwa
WIKI moja baada ya Operesheni Safisha Jiji, baadhi ya wakazi wameomba Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Meck Sadiq kuingilia kati, kuzuia uvunjifu wa sheria wa kubomolewa baadhi...
11 years ago
Mwananchi03 May
Operesheni Safisha Jiji yaibua madudu
11 years ago
Tanzania Daima04 Apr
Operesheni safisha jiji yawageukia ombaomba
OPERESHENI ya kusafisha jiji ili kuwaondoa wafanyabiashara wadogo (wamachinga) kwenye maeneo yasiyo rasmi, imewageukia watoto wanaoishi kwenye mazingira magumu na ombaomba. Operesheni hiyo inaendeshwa na Halmashauri ya Wilaya ya Ilala,...
11 years ago
Tanzania Daima08 May
Walemavu walalamikia Operesheni Safisha Jiji
KIONGOZI wa Taasisi ya Haki za Binadamu Maendeleo ya Kiuchumi ya Walemavu (HREDP), Abubakar Rakesh, ameilalamikia Operesheni Safisha Jiji inayoendelea kwa kuwaondoa walemavu bila kuwapangia sehemu maalumu ya kwenda kufanyia...
11 years ago
Tanzania Daima11 Apr
Safisha Jiji yaathiri Hospitali ya Regency
MWENYEKITI wa Hospitali ya Regency, Dar es Salaam, Dk. Rajni Kanabar, amesikitishwa na kitendo cha wafanyakazi wa Manispaa ya Ilala kuharibu miundombinu ya umeme na internet katika tawi la hospitali...