Jiji Arusha wazindua baraza la madiwani
BARAZA la kwanza la Madiwani waliochaguliwa katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25, mwaka huu katika Halmashauri ya Jiji la Arusha linatarajiwa kufanyika leo.
habarileo
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Gfi_2F-9b98/Xk0QZFKrGeI/AAAAAAAAIHs/NCj9Um7bAlkffrTw_W_fUn62JfoFOv3EQCEwYBhgL/s72-c/IMG_20200219_121056_052_1582103530257.jpg)
BARAZA LA MADIWANI HALMASHAURI YA JIJI LA ARUSHA YATAKA UWEKEZAJI KWENYE VILIMA Na MAENEO YA WAZI
![](https://1.bp.blogspot.com/-Gfi_2F-9b98/Xk0QZFKrGeI/AAAAAAAAIHs/NCj9Um7bAlkffrTw_W_fUn62JfoFOv3EQCEwYBhgL/s640/IMG_20200219_121056_052_1582103530257.jpg)
Aidha Baraza hilo likataka Taarifa za mikopo ilivyotolewa na fedha zilizorejeshwa na kuainishwa vikundi na kundi maalumu walionufaika na mikopo ya vijana na kinamama.
Akiongea kwenye kikao hicho Diwani wa kata ya Muriet Mbise alisema taarifa hiyo ipo sawa hivyo waendelee na mjadala...
11 years ago
Tanzania Daima26 May
Safisha jiji yawakera madiwani Arusha
BAADHI ya madiwani wa Jiji la Arusha, wameeleza kukerwa na zoezi la safisha safisha jiji hilo zilivyoendeshwa kwa misingi ya kukiuka haki za binadamu. Madiwani hao wametaka zoezi hilo lifanyike...
11 years ago
Habarileo27 Jan
Baraza la Madiwani Arusha lawavaa walimu wakuu
BARAZA la Madiwani la Halmashauri ya Jiji la Arusha jana lilikuja juu na kutaka kauli kutolewa juu ya ni hatua gani zichukuliwe kuhusu walimu wakuu wa shule za msingi na sekondari wanaowachangisha wazazi fedha kabla ya mtoto kuanza darasa la kwanza na wanaojiunga kidato cha kwanza.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-STXE8EEMZl4/VMqi28BsLiI/AAAAAAAHAPg/T8eIu_Ogjqw/s72-c/unnamed%2B(54).jpg)
Baraza la madiwani Wilaya ya Arusha mjini lakutana kujadili bajet ya halmashauri hiyo kwa mwaka 2015/16
![](http://1.bp.blogspot.com/-STXE8EEMZl4/VMqi28BsLiI/AAAAAAAHAPg/T8eIu_Ogjqw/s1600/unnamed%2B(54).jpg)
11 years ago
Habarileo29 Mar
Mkurugenzi awaasa madiwani wa Jiji
MADIWANI na watendaji wa kata 12 za halmashauri ya jiji la Mwanza, wametakiwa kuweka takwimu katika taarifa zao za utekelezaji wa shughuli za maendeleo ya kata kubaini ukubwa wa matatizo.
11 years ago
Habarileo11 Jan
Madiwani wakwamisha bajeti ya Jiji Mwanza
KIKAO cha Baraza la Madiwani jijini Mwanza jana kilikataa kupitisha bajeti ya mwaka 20014/15 kwa madai kuwa haijakidhi matakwa ya wananchi kwa kutoa kipaumbele zaidi kwa wafanyakazi.
11 years ago
Habarileo02 Aug
Mtafaruku wazuka Baraza la Madiwani
UTARATIBU wa kuchagua kamati mbalimbali za baraza la madiwani wa Halmashauri ya Mji wa Kibaha mkoani Pwani, limekumbwa na mtafaruku.
11 years ago
Tanzania Daima22 Dec
Baraza la Madiwani lamgomea waziri
BARAZA la Madiwani katika Halmashauri ya Manispaa ya Ilala, Dar es Salaam, limemgomea Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Aggrey Mwanri kuendelea...