Baraza la Madiwani Arusha lawavaa walimu wakuu
BARAZA la Madiwani la Halmashauri ya Jiji la Arusha jana lilikuja juu na kutaka kauli kutolewa juu ya ni hatua gani zichukuliwe kuhusu walimu wakuu wa shule za msingi na sekondari wanaowachangisha wazazi fedha kabla ya mtoto kuanza darasa la kwanza na wanaojiunga kidato cha kwanza.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo08 Dec
Jiji Arusha wazindua baraza la madiwani
BARAZA la kwanza la Madiwani waliochaguliwa katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25, mwaka huu katika Halmashauri ya Jiji la Arusha linatarajiwa kufanyika leo.
5 years ago
Michuzi
BARAZA LA MADIWANI HALMASHAURI YA JIJI LA ARUSHA YATAKA UWEKEZAJI KWENYE VILIMA Na MAENEO YA WAZI

Aidha Baraza hilo likataka Taarifa za mikopo ilivyotolewa na fedha zilizorejeshwa na kuainishwa vikundi na kundi maalumu walionufaika na mikopo ya vijana na kinamama.
Akiongea kwenye kikao hicho Diwani wa kata ya Muriet Mbise alisema taarifa hiyo ipo sawa hivyo waendelee na mjadala...
10 years ago
Michuzi.jpg)
Baraza la madiwani Wilaya ya Arusha mjini lakutana kujadili bajet ya halmashauri hiyo kwa mwaka 2015/16
.jpg)
10 years ago
Mwananchi22 Dec
Walimu wakuu washushwa vyeo
11 years ago
Tanzania Daima22 Dec
Baraza la Madiwani lamgomea waziri
BARAZA la Madiwani katika Halmashauri ya Manispaa ya Ilala, Dar es Salaam, limemgomea Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Aggrey Mwanri kuendelea...
11 years ago
Habarileo02 Aug
Mtafaruku wazuka Baraza la Madiwani
UTARATIBU wa kuchagua kamati mbalimbali za baraza la madiwani wa Halmashauri ya Mji wa Kibaha mkoani Pwani, limekumbwa na mtafaruku.
9 years ago
Mwananchi29 Nov
Baraza la Madiwani Iringa kufanyika bustanini
10 years ago
MichuziBARAZA LA MADIWANI MANISPAA YA ILALA LAVUNJWA
11 years ago
Tanzania Daima18 Sep
Baraza la madiwani lafanyika chini ya ulinzi
KIKAO cha Kamati ya Fedha na Uchumi cha Madiwani wa Halimashauri ya Jiji la Tanga, kimefanyika chini ya ulinzi wa polisi baada ya wanachama wa Chama Cha Wananchi (CUF) kuvami...