Baraza la madiwani Wilaya ya Arusha mjini lakutana kujadili bajet ya halmashauri hiyo kwa mwaka 2015/16
![](http://1.bp.blogspot.com/-STXE8EEMZl4/VMqi28BsLiI/AAAAAAAHAPg/T8eIu_Ogjqw/s72-c/unnamed%2B(54).jpg)
Mbunge wa Jimbo la Arumeru Magharibi,Goodluck Ole Medeye akifafanua jambo katika kikao cha Baraza la madiwani kilichojadili bajeti ya Halmashauri ya Wilaya ya Arusha mjini kwa mwaka 2015/2016 ambapo kiasi cha shilingi bilioni 42.7 zimetengwa kusaidia upatikanaji wa huduma za maji,afya na elimu kama vipaumbele vikuu.Kushoto ni Mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya ya Arusha,Fidelis Lumato,Mwenyekiti wa Halmashauri Saimon Saning`o na kaimu Mwenyekiti Anna Agatha Msuya.Kikao hicho kilifanyika...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-1Dbb2lQ_wxc/XoXQTHY7vgI/AAAAAAAAI9c/P5XRKJoX7TsMezH4656EuuVoG1NY7v_9QCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200401-WA0035.jpg)
BARAZA LA MADIWANI MERU LAPENDEKEZA HALMASHAURI HIYO KUWA YA MJI
![](https://1.bp.blogspot.com/-1Dbb2lQ_wxc/XoXQTHY7vgI/AAAAAAAAI9c/P5XRKJoX7TsMezH4656EuuVoG1NY7v_9QCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200401-WA0035.jpg)
Madiwani wa halmashauri ya wilaya ya Meru wakifuatilia kikao chao kikiendelea kwenye ukumbi wa halmashauri hiyo na kupendekeza halmashauri hiyo kuwa na hadhi ya mji picha zote na Ahmed Mahmoud Arusha
![](https://1.bp.blogspot.com/-ByRcNAfXUEg/XoXQTZfjFFI/AAAAAAAAI9g/WSxcf-d4SXs8EcUPSzKWBjo8wLkh_Y1-wCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200401-WA0044.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-f4CFYXu8a6U/XoXQTTaIuBI/AAAAAAAAI9k/4vtQ8dabJ5QGSuMS_WolSxEqG-1-qPQ2gCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200401-WA0045.jpg)
Kikao kikiendelea na kupendekeza halmashauri hiyo kuwa ya Mji badala ya Sasa wilaya.
![](https://1.bp.blogspot.com/-cyFkPAamKS0/XoXQT_73fFI/AAAAAAAAI9o/ZKnr569gex4hkJ1AmPb8GgkqovNMFtd8ACLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200401-WA0046.jpg)
Mwenyekiti wa halmashauri ya Meru Akiongoza kikao cha baraza la madiwani kwenye halmashauri ya Meru akiwa na Mkurugenzi wake Emmanuel Mkongo
![](https://1.bp.blogspot.com/-5ZUbaU-KwKI/XoXQUIpVtcI/AAAAAAAAI9s/53Nfzd_5Q1U9e9EzoH8e8s-nL2dVEZR3QCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200401-WA0047.jpg)
Diwani Malula Mafie akichangia kwenye kikao hicho Cha Baraza la...
11 years ago
MichuziMh. Magufuli akutana na baraza la madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Chato
Mbunge wa jimbo la Chato na waziri wa Ujenzi Mhe. Dk. John Pombe Magufuli leo amekutana na baraza la madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Chato kwenye ukumbi wa Halamshauri na kutoa zaidi ya Shilingi Milioni 80 za mfuko wa Jimbo kwa kila kata kwa style mpya ambapo kila diwani ametaja mahitaji yake na kupewa kiasi hicho kwa ajili ya kukamilisha miradi yenye nguvu za wa wananchi.
Tofauti na miaka mingine ambapo fedha hizo zimekuwa zikitolewa na kamati maalumu...
9 years ago
MichuziRC DODOMA AZINDUA BARAZA LA MADIWANI LA HALMASHAURI YA WILAYA KONGWA
9 years ago
BBCSwahili17 Dec
Baraza la UN lakutana kujadili Burundi
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Gfi_2F-9b98/Xk0QZFKrGeI/AAAAAAAAIHs/NCj9Um7bAlkffrTw_W_fUn62JfoFOv3EQCEwYBhgL/s72-c/IMG_20200219_121056_052_1582103530257.jpg)
BARAZA LA MADIWANI HALMASHAURI YA JIJI LA ARUSHA YATAKA UWEKEZAJI KWENYE VILIMA Na MAENEO YA WAZI
![](https://1.bp.blogspot.com/-Gfi_2F-9b98/Xk0QZFKrGeI/AAAAAAAAIHs/NCj9Um7bAlkffrTw_W_fUn62JfoFOv3EQCEwYBhgL/s640/IMG_20200219_121056_052_1582103530257.jpg)
Aidha Baraza hilo likataka Taarifa za mikopo ilivyotolewa na fedha zilizorejeshwa na kuainishwa vikundi na kundi maalumu walionufaika na mikopo ya vijana na kinamama.
Akiongea kwenye kikao hicho Diwani wa kata ya Muriet Mbise alisema taarifa hiyo ipo sawa hivyo waendelee na mjadala...
10 years ago
MichuziBARAZA LA WAFANYAKAZI WA OFISI YA RAIS, TUME YA MIPANGO LAKUTANA MJINI KIBAHA, PWANI
5 years ago
MichuziUTUMISHI YAFANYA KIKAO CHA BARAZA LA WAFANYAKAZI KUJADILI TAARIFA YA MAPITIO YA UTEKELEZAJI WA MPANGO WA BAJETI WA MWAKA 2019/20 NA MPANGO WA BAJETI KWA MWAKA 2020/21
Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Dkt. Laurean Ndumbaro (katikati) akiongoza kikao cha Baraza la Wafanyakazi kujadili taarifa ya Mapitio ya Utekelezaji wa Mpango wa Bajeti wa Mwaka 2019/20 na Mpango wa Bajeti kwa Mwaka 2020/21 kilichofanyika leo katika Ukumbi wa Kituo cha Kumbukumbu na Nyaraka za Taifa jijini Dodoma.
Baadhi ya Wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi la Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora wakimsikiliza Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais,...
10 years ago
MichuziBARAZA LA MADIWANI LA HALMASHAURI YA MANISPAA YA KINONDONI LAAHIRISHWA RASMI