Walimu wakuu washushwa vyeo
Walimu wakuu 16 wa shule za msingi mkoani hapa wameshushwa vyeo baada ya kushindwa kuwajibika vyema.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi21 Dec
Walimu wakuu Dodoma washushwa vyeo kwa kushindwa kuwajaibika
11 years ago
Habarileo10 Feb
Ofisa Elimu Wilaya, walimu 6 washushwa vyeo
NAIBU Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), anayeshughulikia Elimu, Kassim Majaliwa, amemvua madaraka kwa kumshusha cheo Ofisa Elimu wa Wilaya ya Mbinga mkoani Ruvuma, Hanji Godigodi. Godigodi anadaiwa kushindwa kutekeleza majukumu yake ya kazi na kufanya ubadhirifu wa Sh milioni 268 za maendeleo ya elimu ya sekondari wilayani humo.
10 years ago
Habarileo14 Nov
Washushwa vyeo kwa uzembe maabara za JK
MKUU wa Wilaya ya Mtwara, Wilman Ndile amemwagiza Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mtwara Vijijini, kutoa adhabu kali kwa Ofisa Mtendaji wa Kata ya Madimba na Mkuu wa Shule ya Sekondari ya Kutwa ya Mayanga wilayani humo kwa madai ya kushindwa kusimamia kikamilifu ujenzi wa maabara.
11 years ago
Mwananchi09 Feb
Waziri awashusha vyeo ofisa elimu, wakuu wa shule za sekondari
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-aqzzfdbp_RY/Xtez23srkLI/AAAAAAALshs/UTETNYaINM4RmycXUY-wbEASN3GZOnUrQCLcBGAsYHQ/s72-c/EDdEGvdWwAEj_j9-660x400.jpg)
RAIS DKT MAGUFULI AWAPANDISHA VYEO MAAFISA WAKUU KUWA BRIGEDIA JENERALI NA WENGINE MEJA JENARALI
![](https://1.bp.blogspot.com/-aqzzfdbp_RY/Xtez23srkLI/AAAAAAALshs/UTETNYaINM4RmycXUY-wbEASN3GZOnUrQCLcBGAsYHQ/s640/EDdEGvdWwAEj_j9-660x400.jpg)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Dkt. John Joseph Pombe Magufuli amewapandisha vyeo Maafisa Wakuu kuwa Brigedia Jenerali na wengine kuwa Meja Jenerali kuanzia tarehe 02 Juni, 2020.
Miongoni mwa waliopandishwa cheo kuwa Brigedia Jenerali ni pamoja na Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Kanali (Balozi) Wilbert Augustin Ibuge na Kamishna wa Kazi Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na wenye Ulemavu Kanali Francis Ronald...
11 years ago
Habarileo27 Jan
Baraza la Madiwani Arusha lawavaa walimu wakuu
BARAZA la Madiwani la Halmashauri ya Jiji la Arusha jana lilikuja juu na kutaka kauli kutolewa juu ya ni hatua gani zichukuliwe kuhusu walimu wakuu wa shule za msingi na sekondari wanaowachangisha wazazi fedha kabla ya mtoto kuanza darasa la kwanza na wanaojiunga kidato cha kwanza.
11 years ago
Mwananchi18 Jul
Matokeo yawachanganya walimu wakuu Sekondari ya Ufundi Iyunga, Tambaza
10 years ago
Vijimambo16 Apr
WAZIRI KIVULI WA ELIMU APINGA SERIKALI KUWATAKA WALIMU KUJIELEZA KWA WAKUU WA MIKOA
Na MwandishiWetu
WAZIRI kivuli wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Suzan Lymo, amepinga kitendo cha serikali cha kuwataka walimu waliofunga shule kutokana na uhaba wa chakula waende wakajieleze kwa Mkuu wa Mkoa kutokana na hatua hiyo.
Suzan, alitoa kauli hiyo baada ya serikali kudai...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-9WkhAIU9b3w/VZZT4gL1GEI/AAAAAAAAHDE/MirZK2en77w/s72-c/P7039546.jpg)
KAIMU KATIBU TAWALA MKOA WA RUKWA AFUNGUA RASMI MAFUNZO YA SIKU SITA YA WALIMU WAKUU NA WARATIBU ELIMU KATA
![](http://3.bp.blogspot.com/-9WkhAIU9b3w/VZZT4gL1GEI/AAAAAAAAHDE/MirZK2en77w/s640/P7039546.jpg)