Matokeo yawachanganya walimu wakuu Sekondari ya Ufundi Iyunga, Tambaza
Matokeo ya kidato cha sita yaliyotangazwa juzi na Baraza la Mitihani la Taifa (Necta), yamewashtua walimu wakuu wa shule za sekondari za Iyunga mkoani Mbeya na Tambaza jijini Dar es Salaam.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi22 Jul
Anguko la Sekondari ya Tambaza
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-oQy9YSOjY5s/U9gCITmBZJI/AAAAAAAF7t0/lzbsCKOJOT4/s72-c/MMGM0328.jpg)
shimozzz upanga mbele ya shule ya Sekondari Tambaza
![](http://2.bp.blogspot.com/-oQy9YSOjY5s/U9gCITmBZJI/AAAAAAAF7t0/lzbsCKOJOT4/s1600/MMGM0328.jpg)
9 years ago
StarTV21 Dec
Upatikanaji wa walimu wa ufundi stadi bado changamoto
Ukosefu wa ajira ya moja kwa moja kutoka Serikalini kwa walimu wenye taaluma ya ufundi stadi, imeelezwa bado ni changamoto kubwa inayowakabili walimu hao, hatua inayosababisha baadhi ya vyuo vya Ufundi stadi nchini, kuajiri walimu wasio na sifa zinazojitosheleza katika kada hiyo.
Mpaka sasa Tanzania ina chuo kimoja pekee, kinachofundisha ualimu wa ufundi stadi, huku changamoto ya soko la ajira kwa wahitimu wanaomaliza katika chuo hicho bado halijatafutiwa utatuzi.
Tanzania iko katika...
9 years ago
VijimamboVETA KANDA YA DAR ES SALAAM YAFANYA MKUTANO NA WAMILIKI PAMOJA NA WAKUU WA VYUO VYA UFUNDI STADI
9 years ago
MichuziVETA KANDA YA DAR ES SALAAM YAFANYA MKUTANO NA WAMILIKI PAMOJA NA WAKUU WA VYUO VYA UFUNDI STADI
10 years ago
Mwananchi22 Dec
Walimu wakuu washushwa vyeo
11 years ago
Habarileo27 Jan
Baraza la Madiwani Arusha lawavaa walimu wakuu
BARAZA la Madiwani la Halmashauri ya Jiji la Arusha jana lilikuja juu na kutaka kauli kutolewa juu ya ni hatua gani zichukuliwe kuhusu walimu wakuu wa shule za msingi na sekondari wanaowachangisha wazazi fedha kabla ya mtoto kuanza darasa la kwanza na wanaojiunga kidato cha kwanza.
10 years ago
Mwananchi21 Feb
Serikali kuajiri walimu 35,000 sekondari
11 years ago
Habarileo31 May
Walimu wanne Sekondari waamriwa kuhama
WALIMU wanne wa shule ya Sekondari Kindai, Manispaa ya Singida wametakiwa kuhama mara moja. Wamepewa agizo hilo baada ya kukiri kuwa walitoa adhabu ya udhalilishaji kwa wasichana wote wa shule hiyo, kwa madai kuwa mmoja wao alitupa chooni taulo ya kike iliyotumika.