Serikali kuajiri walimu 35,000 sekondari
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda amesema Serikali imepanga kuajiri walimu zaidi ya 35,000 kwa ajili ya shule za sekondari ili kukabiliana na tatizo la uhaba wa walimu nchini.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-V5Ov98U2v1s/VOdugM4LC8I/AAAAAAAHE2Y/0RZJ6cVPhs4/s72-c/IMG_4991.jpg)
SERIKALI KUAJIRI WALIMU 35,000 - WAZIRI MKUU
![](http://1.bp.blogspot.com/-V5Ov98U2v1s/VOdugM4LC8I/AAAAAAAHE2Y/0RZJ6cVPhs4/s1600/IMG_4991.jpg)
Ametoa kauli hiyo jana jioni (Alhamisi, Februari 19, 2015) wakati akizungumza na mamia ya wakazi wa kata ya Kiwere, mara baada ya kukagua ujenzi wa maabara na kuzindua nyumba nne za walimu kwenye shule ya sekondari ya Kiwere, tarafa ya Kalenga, wilayani Iringa.
Waziri Mkuu alisema walimu hao watagawanywa kwenye shule kulingana...
11 years ago
Mwananchi20 Apr
Serikali kuajiri wapya 11,000 sekta ya afya
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-OhoPWIVNeds/Xtpoi_QxtWI/AAAAAAACMXk/OXwfI65dQ4QYOxVepjgz8P5aHr6QU7j-wCLcBGAsYHQ/s72-c/6.jpg)
RAIS MAGUFULI AAHIDI SERIKALI KUAJIRI WALIMU 13,526 KIPINDI CHA MWAKA HUU WA FEDHA
![](https://1.bp.blogspot.com/-OhoPWIVNeds/Xtpoi_QxtWI/AAAAAAACMXk/OXwfI65dQ4QYOxVepjgz8P5aHr6QU7j-wCLcBGAsYHQ/s400/6.jpg)
Dodoma, Tanzania
Rais Dk. John Magufuli amesema kati ya Watumishi 524,295 wa umma Watumishi 266,905 ni Walimu ambao ni sawa na asilimia 51 na kwamba pamoja na kuwaajiri walimu 22,342 katika kipindi hiki cha miaka mitano walimu wengine 13,526 wataajiriwa katika mwaka huu wa fedha.
Rais Dk. Magufuli amesema hayo leo...
10 years ago
GPLSERIKALI YATANGAZA AJIRA ZA WALIMU 30,000
11 years ago
Mwananchi30 Jun
Kiwanda cha nguo cha Tooku kuajiri 3,000
11 years ago
Mwananchi06 May
Rais Kikwete aahidi Serikali kuajiri mahakimu 600
11 years ago
Tanzania Daima01 Jun
Zawadi Sekondari yapungukiwa walimu, vifaa
WAKATI tukitegemea mafanikio yetu katika swala la elimu, shule za kata zimezidi kuwa na hali mbaya na upungufu mkubwa wa vifaa. Akizungumza na Tanzania Daima Jumapili juzi, Kaimu Mkuu wa...
11 years ago
Habarileo31 May
Walimu wanne Sekondari waamriwa kuhama
WALIMU wanne wa shule ya Sekondari Kindai, Manispaa ya Singida wametakiwa kuhama mara moja. Wamepewa agizo hilo baada ya kukiri kuwa walitoa adhabu ya udhalilishaji kwa wasichana wote wa shule hiyo, kwa madai kuwa mmoja wao alitupa chooni taulo ya kike iliyotumika.
10 years ago
Tanzania Daima22 Sep
Sekondari ya Nainokanoka yalia uhaba walimu wa sayansi
SHULE ya Sekondari ya Nainokanoka wilayani hapa Mkoa wa Arusha inakabiliwa na ukosefu wa walimu wa masomo ya sayansi licha ya kuwa na mchepuo huo. Hayo yamebainishwa na Kaimu Mkuu...