Rais Kikwete aahidi Serikali kuajiri mahakimu 600
Rais Jakaya Kikwete amesema serikali inakusudia kuboresha utendaji wa mahakama nchini kwa kuongeza ajira na kuendelea kufanyia mabadiliko sheria ambazo zimepitwa na wakati.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-OhoPWIVNeds/Xtpoi_QxtWI/AAAAAAACMXk/OXwfI65dQ4QYOxVepjgz8P5aHr6QU7j-wCLcBGAsYHQ/s72-c/6.jpg)
RAIS MAGUFULI AAHIDI SERIKALI KUAJIRI WALIMU 13,526 KIPINDI CHA MWAKA HUU WA FEDHA
![](https://1.bp.blogspot.com/-OhoPWIVNeds/Xtpoi_QxtWI/AAAAAAACMXk/OXwfI65dQ4QYOxVepjgz8P5aHr6QU7j-wCLcBGAsYHQ/s400/6.jpg)
Dodoma, Tanzania
Rais Dk. John Magufuli amesema kati ya Watumishi 524,295 wa umma Watumishi 266,905 ni Walimu ambao ni sawa na asilimia 51 na kwamba pamoja na kuwaajiri walimu 22,342 katika kipindi hiki cha miaka mitano walimu wengine 13,526 wataajiriwa katika mwaka huu wa fedha.
Rais Dk. Magufuli amesema hayo leo...
9 years ago
VijimamboRais Kikwete afungua Mkutano wa Chama Cha Majaji na Mahakimu wa Afrika Mashariki
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-LsDwZetdvi0/VdypadLwP6I/AAAAAAAHz9Q/w55DEWdPSsg/s72-c/unnamed%2B%25289%2529.jpg)
Rais Kikwete afungua Mkutano wa Chama Cha Majaji na Mahakimu wa Afrika Mashariki jijini Mwanza
![](http://3.bp.blogspot.com/-LsDwZetdvi0/VdypadLwP6I/AAAAAAAHz9Q/w55DEWdPSsg/s640/unnamed%2B%25289%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-RiZ2O9RZw0E/VdypaelYQDI/AAAAAAAHz9U/fSL6DlFWv0g/s640/unnamed%2B%252810%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-da9CozSm8aE/VdypdzouTFI/AAAAAAAHz9g/WmjAY2uoP7Y/s640/unnamed%2B%25288%2529.jpg)
9 years ago
StarTV11 Oct
Rais Kikwete aahidi kumalizika kwa mgao wa umeme
Rais Jakaya Kikwete amezindua miundombinu ya kuchakata na kusafirisha gesi asilia toka Mtwara hadi Dar es Salaam, huku akilionya shirika la umeme nchini TANESCO, kuzingatia sheria za nchi wakati wa utekelezaji wa maagizo yake ya kuhakikisha kupatikana umeme wa dharura katika kipindi hiki ambacho uzalishaji wa nishati hiyo nchini umeshuka kwa kiwango kikubwa.
Shirika la TANESCO lipo kwenye mazungumzo na watu ambao Rais Kikwete amesema kulingana na taarifa alizopata toka TANESCO, wanaojadili...
10 years ago
Mwananchi10 Feb
Rais Kikwete akiri upungufu wa madaktari nchini, aahidi kutatua
10 years ago
Mwananchi21 Feb
Serikali kuajiri walimu 35,000 sekondari
11 years ago
Mwananchi20 Apr
Serikali kuajiri wapya 11,000 sekta ya afya
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-V5Ov98U2v1s/VOdugM4LC8I/AAAAAAAHE2Y/0RZJ6cVPhs4/s72-c/IMG_4991.jpg)
SERIKALI KUAJIRI WALIMU 35,000 - WAZIRI MKUU
![](http://1.bp.blogspot.com/-V5Ov98U2v1s/VOdugM4LC8I/AAAAAAAHE2Y/0RZJ6cVPhs4/s1600/IMG_4991.jpg)
Ametoa kauli hiyo jana jioni (Alhamisi, Februari 19, 2015) wakati akizungumza na mamia ya wakazi wa kata ya Kiwere, mara baada ya kukagua ujenzi wa maabara na kuzindua nyumba nne za walimu kwenye shule ya sekondari ya Kiwere, tarafa ya Kalenga, wilayani Iringa.
Waziri Mkuu alisema walimu hao watagawanywa kwenye shule kulingana...
11 years ago
Habarileo12 Jul
Wakandarasi waidai serikali bil 600/-
WAKANDARASI wanaojishughulisha na ujenzi wa barabara katika maeneo mbalimbali nchini wanaidai Serikali zaidi ya Sh bilioni 600, hali inayosababisha kuzorota kwa utekelezaji wa baadhi ya miradi hiyo na mingine kusimama.