Rais Kikwete aahidi kumalizika kwa mgao wa umeme
Rais Jakaya Kikwete amezindua miundombinu ya kuchakata na kusafirisha gesi asilia toka Mtwara hadi Dar es Salaam, huku akilionya shirika la umeme nchini TANESCO, kuzingatia sheria za nchi wakati wa utekelezaji wa maagizo yake ya kuhakikisha kupatikana umeme wa dharura katika kipindi hiki ambacho uzalishaji wa nishati hiyo nchini umeshuka kwa kiwango kikubwa.
Shirika la TANESCO lipo kwenye mazungumzo na watu ambao Rais Kikwete amesema kulingana na taarifa alizopata toka TANESCO, wanaojadili...
StarTV
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLTATIZO LA MGAO WA UMEME ARUSHA KUMALIZIKA JUNI
10 years ago
Dewji Blog09 Jan
Ridhiwani kikwete aahidi kutatua tatizo la umeme, maji Kiwangwa,Chalinze
Mbunge wa Jimbo la Chalinze, Ridhiwani Kikwete (kulia), akipata maelezo kutoka kwa Msimamizi wa ujenzi kutoka Kambi ya Mzinga ya JWTZ, Aloyce Mayunga (kushoto) alipokwenda kukagua ujenzi wa maabara ya Shule ya Sekondari ya Kiwangwa wakati wa ziara ya kikazi ya katika Kata ya Kiwangwa, wilayani Chalinze, Pwani jana Aliwataka wajenzi hao kujenga maabara hayo kwa kuzingatia viwango. Katikati ni Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Wilaya ya Bagamoyo, Saleh Mpimbwi.
Ridhiwani Kikwete...
11 years ago
Habarileo23 Jul
Hakutakuwa na mgao wa umeme - Muhongo
WAZIRI wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo, amesema hakutakuwa na mgawo wa umeme nchini na bei ya umeme itapungua.
9 years ago
Mwananchi07 Oct
Mgao wa umeme watesa wenye viwanda Arusha
10 years ago
MichuziTatizo la mgawo wa umeme Arusha kumalizika Juni
9 years ago
Vijimambo05 Oct
MGAO WA UMEME HAUNA CHEMBE ZA KISIASA NI MASWALA YA KIUFUNDI
![Mkurugenzi Mkuu wa Tanesco, Mhandisi Felchesmi](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2899064/highRes/1138196/-/maxw/600/-/x2cj1nz/-/taneskoo.jpg)
Dar es Salaam. Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) limesema mgawo wa umeme kwa sasa hauzuiliki nchini kutokana na mabwawa yanayotumika kuzalisha nishati hiyo nchini kukumbwa na ukame.
Mkurugenzi Mkuu wa Tanesco, Mhandisi Felchesmi Mramba aliwaambia waandishi wa habari jana kuwa uzalishaji wa umeme wa maji kwenye mabwawa hayo umeshuka hadi kufikia megawati 105 kutoka 561 kutokana na ukame unaoendelea majira haya ya kiangazi.
Mramba alisema...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-1puIwZd_2Fs/XnYXA7zwT6I/AAAAAAALkp8/aIgRbTO8qNU33ytKjYOofUyrbUvsRTPmQCLcBGAsYHQ/s72-c/PIX%2B03.jpg)
WAZIRI WA NISHATI MARUFUKU MGAO WA UMEME, ABUBAKARI AKALIA KUTI KAVU
![](https://1.bp.blogspot.com/-1puIwZd_2Fs/XnYXA7zwT6I/AAAAAAALkp8/aIgRbTO8qNU33ytKjYOofUyrbUvsRTPmQCLcBGAsYHQ/s640/PIX%2B03.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-F97bNPqg6_4/XnYXCeofDCI/AAAAAAALkqE/dl-phO18VCUKSm9YbU-y1hnCuuHB3zA6ACLcBGAsYHQ/s640/pix%2B01.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-Vt4RwkT464A/XnYXCIRcfWI/AAAAAAALkqA/GMcrVziagW427dhn21niespgtyccix1jwCLcBGAsYHQ/s640/PIX%2B04.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-CMTWe-JVi2U/XnYXA3LwJKI/AAAAAAALkp4/q82QCXZYb50_4lNLwAXsgeE7tj88lUPMACLcBGAsYHQ/s640/PIX%2B02%2Bb.jpg)
5 years ago
MichuziWAZIRI WA NISHATI SITAKI KUSIKIA MGAO WA UMEME,AAGIZA ABUBAKARI KUCHULIWA HATUA KALI
Waziriwa nishati Dkt Medard Kalemani akizungumza na waandishi wa habari mkoa wa Iringa katika bwawa la Mtera akitoa katazo la kuwepo kwa mgao wa umeme hapa nchini
Waziriwa nishati Dkt Medard Kalemani akiwa mkuu wa wilaya ya Iringa Richard Kasesela alipofanya ziara katika bwawa la Mtera
NA FREDY MGUNDA,IRINGA.
Waziriwa nishati Dkt Medard Kalemani amepiga marufuku kwa
uongozi wa TANESCO kutoa nishati ya umeme kwa mgao wakati hakuna tatizo lolote la uzalishaji katika vituo vyote...
11 years ago
Mwananchi06 May
Rais Kikwete aahidi Serikali kuajiri mahakimu 600