Hakutakuwa na mgao wa umeme - Muhongo
WAZIRI wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo, amesema hakutakuwa na mgawo wa umeme nchini na bei ya umeme itapungua.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-0AI6ISV-NZU/VcikfQcEUOI/AAAAAAAB-Mk/TjntQO3rPlA/s72-c/LOWASA%2B2.jpg)
MAFURIKO HAYA YA LOWASA YAKIAMISHIWA KWENYE MITO YETU TANZANIA HAKUTAKUWA NA SHIDA YA UMEME TENA
![](http://4.bp.blogspot.com/-0AI6ISV-NZU/VcikfQcEUOI/AAAAAAAB-Mk/TjntQO3rPlA/s640/LOWASA%2B2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-P5aE-rU7djI/Vcikg-zsH-I/AAAAAAAB-Ms/scbFhOYDloU/s640/LOWASA%2B3.jpg)
Timu ya wanahabari wa JF tayari iko hapa buguruni katika ofisi kuu za CUF ili kuwaletea kila kitakachojiri.Tunatarajia maanadamano haya makubwa yataanza saa 3 asubuhi hapa...
9 years ago
Mwananchi07 Oct
Mgao wa umeme watesa wenye viwanda Arusha
10 years ago
GPLTATIZO LA MGAO WA UMEME ARUSHA KUMALIZIKA JUNI
9 years ago
Vijimambo05 Oct
MGAO WA UMEME HAUNA CHEMBE ZA KISIASA NI MASWALA YA KIUFUNDI
![Mkurugenzi Mkuu wa Tanesco, Mhandisi Felchesmi](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2899064/highRes/1138196/-/maxw/600/-/x2cj1nz/-/taneskoo.jpg)
Dar es Salaam. Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) limesema mgawo wa umeme kwa sasa hauzuiliki nchini kutokana na mabwawa yanayotumika kuzalisha nishati hiyo nchini kukumbwa na ukame.
Mkurugenzi Mkuu wa Tanesco, Mhandisi Felchesmi Mramba aliwaambia waandishi wa habari jana kuwa uzalishaji wa umeme wa maji kwenye mabwawa hayo umeshuka hadi kufikia megawati 105 kutoka 561 kutokana na ukame unaoendelea majira haya ya kiangazi.
Mramba alisema...
9 years ago
StarTV11 Oct
Rais Kikwete aahidi kumalizika kwa mgao wa umeme
Rais Jakaya Kikwete amezindua miundombinu ya kuchakata na kusafirisha gesi asilia toka Mtwara hadi Dar es Salaam, huku akilionya shirika la umeme nchini TANESCO, kuzingatia sheria za nchi wakati wa utekelezaji wa maagizo yake ya kuhakikisha kupatikana umeme wa dharura katika kipindi hiki ambacho uzalishaji wa nishati hiyo nchini umeshuka kwa kiwango kikubwa.
Shirika la TANESCO lipo kwenye mazungumzo na watu ambao Rais Kikwete amesema kulingana na taarifa alizopata toka TANESCO, wanaojadili...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-1puIwZd_2Fs/XnYXA7zwT6I/AAAAAAALkp8/aIgRbTO8qNU33ytKjYOofUyrbUvsRTPmQCLcBGAsYHQ/s72-c/PIX%2B03.jpg)
WAZIRI WA NISHATI MARUFUKU MGAO WA UMEME, ABUBAKARI AKALIA KUTI KAVU
![](https://1.bp.blogspot.com/-1puIwZd_2Fs/XnYXA7zwT6I/AAAAAAALkp8/aIgRbTO8qNU33ytKjYOofUyrbUvsRTPmQCLcBGAsYHQ/s640/PIX%2B03.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-F97bNPqg6_4/XnYXCeofDCI/AAAAAAALkqE/dl-phO18VCUKSm9YbU-y1hnCuuHB3zA6ACLcBGAsYHQ/s640/pix%2B01.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-Vt4RwkT464A/XnYXCIRcfWI/AAAAAAALkqA/GMcrVziagW427dhn21niespgtyccix1jwCLcBGAsYHQ/s640/PIX%2B04.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-CMTWe-JVi2U/XnYXA3LwJKI/AAAAAAALkp4/q82QCXZYb50_4lNLwAXsgeE7tj88lUPMACLcBGAsYHQ/s640/PIX%2B02%2Bb.jpg)
5 years ago
MichuziWAZIRI WA NISHATI SITAKI KUSIKIA MGAO WA UMEME,AAGIZA ABUBAKARI KUCHULIWA HATUA KALI
Waziriwa nishati Dkt Medard Kalemani akizungumza na waandishi wa habari mkoa wa Iringa katika bwawa la Mtera akitoa katazo la kuwepo kwa mgao wa umeme hapa nchini
Waziriwa nishati Dkt Medard Kalemani akiwa mkuu wa wilaya ya Iringa Richard Kasesela alipofanya ziara katika bwawa la Mtera
NA FREDY MGUNDA,IRINGA.
Waziriwa nishati Dkt Medard Kalemani amepiga marufuku kwa
uongozi wa TANESCO kutoa nishati ya umeme kwa mgao wakati hakuna tatizo lolote la uzalishaji katika vituo vyote...
9 years ago
Habarileo28 Dec
Muhongo achoshwa umeme wa bei juu
WAZIRI wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo ameuagiza uongozi wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) Kanda ya Ziwa kuhakikisha wanauingiza mkoa wa Kagera katika Gridi ya Taifa baada ya kubainika nchi inaingia gharama kubwa kununua umeme kutoka Uganda.
9 years ago
Mtanzania21 Dec
TANESCO wameshindwa kuzalisha umeme – Muhongo
NA FLORENCE SANAWA, MTWARA
SHIRIKA la Umeme Tanzania (TANESCO), limeshindwa kuzalisha umeme na kusababisha Kiwanda cha Saruji cha Dangote kukodi genereta 75 kutoka nchini China kwa ajili ya kuzalisha umeme wa megawati 42.
Akizungumza wakati wa majumuisho ya ziara yake ya siku moja mkoani hapa, Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo, alisema shirika hilo limeshindwa na halina uwezo wa kuzalisha umeme wa megawati 45 zinazohitajika kwa uzalishaji kiwandani hapo.
“TANESCO wamekuwa...