Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hakutakuwa na mgao wa umeme - Muhongo

Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter MuhongoWAZIRI wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo, amesema hakutakuwa na mgawo wa umeme nchini na bei ya umeme itapungua.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

MAFURIKO HAYA YA LOWASA YAKIAMISHIWA KWENYE MITO YETU TANZANIA HAKUTAKUWA NA SHIDA YA UMEME TENA

Ni asubuhi tulivu kabisa ya Jumatatu tarehe 10/8/2015.Ni siku ya kihistoria katika Taifa letu.Hii ni kwa sababu Kamanda mpambanaji na asiyechoka mzee wa Maamuzi magumu Edward Ngoyai Lowassa akiwa na mgombea mwenza Juma Duni Haji watachukua rasmi fomu za kugombea Urais kupitia UKAWA katika ofisi ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi.

Timu ya wanahabari wa JF tayari iko hapa buguruni katika ofisi kuu za CUF ili kuwaletea kila kitakachojiri.Tunatarajia maanadamano haya makubwa yataanza saa 3 asubuhi hapa...

 

9 years ago

Mwananchi

Mgao wa umeme watesa wenye viwanda Arusha

Wamiliki wa viwanda mkoani Arusha, wameishauri Serikali kuingilia kati na kushughulikia tatizo la umeme nchini kutokana na kuathiri uzalishaji wa bidhaa za ndani.

 

10 years ago

GPL

TATIZO LA MGAO WA UMEME ARUSHA KUMALIZIKA JUNI

Mjumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini ambaye ni Mbunge wa Viti Maalum Jimbo la Singida, Martha Mlata (kushoto) akisalimiana na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Umeme Nchini (Tanesco) Dkt. Miganda Manyahi (kulia), jijini Arusha kabla ya kuanza kwa ziara kwenye miradi ya umeme. Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini inafanya ziara katika miradi ya umeme iliyopo katika mikoa ya Arusha na...

 

9 years ago

Vijimambo

MGAO WA UMEME HAUNA CHEMBE ZA KISIASA NI MASWALA YA KIUFUNDI

Mkurugenzi Mkuu wa Tanesco, Mhandisi FelchesmiMkurugenzi Mkuu wa Tanesco, Mhandisi Felchesmi Mramba
Dar es Salaam. Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) limesema mgawo wa umeme kwa sasa hauzuiliki nchini kutokana na mabwawa yanayotumika kuzalisha nishati hiyo nchini kukumbwa na ukame.

Mkurugenzi Mkuu wa Tanesco, Mhandisi Felchesmi Mramba aliwaambia waandishi wa habari jana kuwa uzalishaji wa umeme wa maji kwenye mabwawa hayo umeshuka hadi kufikia megawati 105 kutoka 561 kutokana na ukame unaoendelea majira haya ya kiangazi.

Mramba alisema...

 

9 years ago

StarTV

Rais Kikwete aahidi kumalizika kwa mgao wa umeme

Rais Jakaya Kikwete amezindua miundombinu ya kuchakata na kusafirisha gesi asilia toka Mtwara hadi Dar es Salaam, huku akilionya shirika la umeme nchini TANESCO, kuzingatia sheria za nchi wakati wa utekelezaji wa maagizo yake ya kuhakikisha kupatikana umeme wa dharura katika kipindi hiki ambacho uzalishaji wa nishati hiyo nchini umeshuka kwa kiwango kikubwa.

Shirika la TANESCO lipo kwenye mazungumzo na watu ambao Rais Kikwete amesema kulingana na taarifa alizopata toka TANESCO, wanaojadili...

 

5 years ago

Michuzi

WAZIRI WA NISHATI MARUFUKU MGAO WA UMEME, ABUBAKARI AKALIA KUTI KAVU

Waziri wa Nishati Dkt Medadi Kalemani akikagua miundombinu ya Dalaja la mto Kilombero kabla ya kufika katika kituo cha kuzalisha umeme cha kidatu Mkoani Morogoro.Waziri wa nishati Dkt Medard Kalemani akiwa na mkuu wa wilaya ya Iringa Mhe Richard Kasesela alipofanya ziara katika bwawa la Mtera.Waziri wa Nishati Dkt Medadi Kalemani akikagua mitambo katika kituo cha kuzalishia umeme cha kidatu Mkoani Morogoro,akiwa katika ziara yake ya kukagua vituo vya kuzarisha umeme hapa nchini.Waziri wa...

 

5 years ago

Michuzi

WAZIRI WA NISHATI SITAKI KUSIKIA MGAO WA UMEME,AAGIZA ABUBAKARI KUCHULIWA HATUA KALI


Waziriwa nishati Dkt Medard Kalemani akizungumza na waandishi wa habari mkoa wa Iringa katika bwawa la Mtera akitoa katazo la kuwepo kwa mgao wa umeme hapa nchini


Waziriwa nishati Dkt Medard Kalemani akiwa mkuu wa wilaya ya Iringa Richard Kasesela alipofanya ziara katika bwawa la Mtera


NA FREDY MGUNDA,IRINGA.

Waziriwa nishati Dkt Medard Kalemani amepiga marufuku kwa
uongozi wa TANESCO kutoa nishati ya umeme kwa mgao wakati hakuna tatizo lolote la uzalishaji katika vituo vyote...

 

9 years ago

Habarileo

Muhongo achoshwa umeme wa bei juu

WAZIRI wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo ameuagiza uongozi wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) Kanda ya Ziwa kuhakikisha wanauingiza mkoa wa Kagera katika Gridi ya Taifa baada ya kubainika nchi inaingia gharama kubwa kununua umeme kutoka Uganda.

 

9 years ago

Mtanzania

TANESCO wameshindwa kuzalisha umeme – Muhongo

muhongo_clipNA FLORENCE SANAWA, MTWARA

SHIRIKA la Umeme Tanzania (TANESCO), limeshindwa kuzalisha umeme na kusababisha Kiwanda cha Saruji cha Dangote kukodi genereta 75 kutoka nchini China kwa ajili ya kuzalisha umeme wa megawati 42.

Akizungumza wakati wa majumuisho ya ziara yake ya siku moja mkoani hapa, Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo, alisema shirika hilo limeshindwa na halina uwezo wa kuzalisha umeme wa megawati 45 zinazohitajika kwa uzalishaji kiwandani hapo.

“TANESCO wamekuwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani