MAFURIKO HAYA YA LOWASA YAKIAMISHIWA KWENYE MITO YETU TANZANIA HAKUTAKUWA NA SHIDA YA UMEME TENA
![](http://4.bp.blogspot.com/-0AI6ISV-NZU/VcikfQcEUOI/AAAAAAAB-Mk/TjntQO3rPlA/s72-c/LOWASA%2B2.jpg)
Ni asubuhi tulivu kabisa ya Jumatatu tarehe 10/8/2015.Ni siku ya kihistoria katika Taifa letu.Hii ni kwa sababu Kamanda mpambanaji na asiyechoka mzee wa Maamuzi magumu Edward Ngoyai Lowassa akiwa na mgombea mwenza Juma Duni Haji watachukua rasmi fomu za kugombea Urais kupitia UKAWA katika ofisi ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi.
Timu ya wanahabari wa JF tayari iko hapa buguruni katika ofisi kuu za CUF ili kuwaletea kila kitakachojiri.Tunatarajia maanadamano haya makubwa yataanza saa 3 asubuhi hapa...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi31 Oct
Umeme ni shida, Uchunguzi wabaini mikoa mingi iko kwenye hali tete
11 years ago
Habarileo23 Jul
Hakutakuwa na mgao wa umeme - Muhongo
WAZIRI wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo, amesema hakutakuwa na mgawo wa umeme nchini na bei ya umeme itapungua.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Pt2AuAl-HHQ/XoyEUqiODrI/AAAAAAALmX0/LNCm_l0rCaQxLBcdslIoCjoLBilxyZufQCLcBGAsYHQ/s72-c/0940101c-b948-4930-bbd8-51cd450684d9.jpg)
CHONGOLO AAGIZA POLISI KUWA CHUKULIA HATUA WATAKAOBAINIKA KUCHIMBA MCHANGA KWENYE MITO.
![](https://1.bp.blogspot.com/-Pt2AuAl-HHQ/XoyEUqiODrI/AAAAAAALmX0/LNCm_l0rCaQxLBcdslIoCjoLBilxyZufQCLcBGAsYHQ/s640/0940101c-b948-4930-bbd8-51cd450684d9.jpg)
Meneja wa TARURA wa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni, Mhandisi Leopold Runji akitoa maelezo kwa mkuu wa Wilaya hiyo ,Mhe. Daniel Chongolo kuhusu miundombinu ya barabara katika makazi ya TBA muda mfupi baada ya kutoka kukagua mito inayochimbwa mchanga
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/a2e842eb-98b3-44e5-a388-f2aacdf81353.jpg)
Kamati ya Ulinzi na usalama ya Wilaya ikiongozwa na Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Mhe. Daniel Chongolo wakiwa wameshuka kwenye gari na kuelekea kwenye mto salasala kuangalia namna ya kuwadhibiti wananchi wanaochimba mchanga katika mto huo.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-DsSJUFIPPtc/Xq7WHqwzv8I/AAAAAAALo84/qnVgaiOfIDI8MHXTwl3Nq28RgETUkwouQCLcBGAsYHQ/s72-c/acastro_200311_3936_coronavirus_0002.0.7.jpg)
WATANZANIA NAOMBA KUANZIA SASA CORONA AWE RAFIKI YETU...KWELI TENA , ASIWE ADUI TENA
![](https://1.bp.blogspot.com/-DsSJUFIPPtc/Xq7WHqwzv8I/AAAAAAALo84/qnVgaiOfIDI8MHXTwl3Nq28RgETUkwouQCLcBGAsYHQ/s640/acastro_200311_3936_coronavirus_0002.0.7.jpg)
Na Said Mwishehe, Michuzi TV
CORONA mambo vipi? Natumai uko salama na unaendelea vema na majukumu yako ya kila siku hapa duniani tangu ulipokuja Desemba mwaka 2019.
Karibu Corona, karibu Duniani, karibu kila unapotaka kuingia. Ndio karibu Corona maana umekuja na malengo yako.
Malengo ya kuua maelfu ya binadamu. Sawa Corona maana ndicho unachoona kwetu sisi.
Dunia inalia tangu ulipokuja na kuanza kuua watu wasio na hatia. Umetutia majonzi makubwa sana, tunalia kwa ajili yako, wengi wamepoteza...
11 years ago
Mwananchi05 Feb
Mikasa, vitimbi na shida mafuriko ya Magole-Dumila
9 years ago
Bongo509 Oct
Hakutakuwa na button ya dislike kwenye Facebook bali emojis kuashiria hisia mbalimbali
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-jmGrp1volbk/VaSi7hidWKI/AAAAAAAAxs0/89pi1cMhwZ8/s72-c/Lowassa%2B%25281%2529.jpg)
Baada ya Jina Lake Kukatwa, Haya Ndiyo Yanayomsumbua Edward Lowasa Mpaka Anashindwa Kula
![](http://4.bp.blogspot.com/-jmGrp1volbk/VaSi7hidWKI/AAAAAAAAxs0/89pi1cMhwZ8/s640/Lowassa%2B%25281%2529.jpg)
Nimepata taarifa kutoka kwa watu walio karibu na Lowasa kuwa tangu juzi chakula hakijapanda kwa mzee. Kwamba kila akiwekewa chakula mezani, anachokonoa kidogo tu na inachukua muda mrefu kati ya tonge moja hadi jingine. Pia mdau huyo kanidokeza kuwa Mzee Lowasa kwa sasa ana mawazo mengi sana na hajui afanye nini. Wapo waliomshauri kuwa akae kimya katika kipindi hiki kigumu ili apate muda wa kutosha kutafakari na kufanya maamuzi. Hata hivyo, ushauri huo ameutupa kwani anahisi kwamba muda...
10 years ago
Mwananchi18 May
Mafuriko yetu, ajali pia zetu zitumalize, tuna nini!
10 years ago
Mwananchi03 Sep
Serikali yetu sikivu ijibu maswali haya muhimu
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10