WATANZANIA NAOMBA KUANZIA SASA CORONA AWE RAFIKI YETU...KWELI TENA , ASIWE ADUI TENA
![](https://1.bp.blogspot.com/-DsSJUFIPPtc/Xq7WHqwzv8I/AAAAAAALo84/qnVgaiOfIDI8MHXTwl3Nq28RgETUkwouQCLcBGAsYHQ/s72-c/acastro_200311_3936_coronavirus_0002.0.7.jpg)
Na Said Mwishehe, Michuzi TV
CORONA mambo vipi? Natumai uko salama na unaendelea vema na majukumu yako ya kila siku hapa duniani tangu ulipokuja Desemba mwaka 2019.
Karibu Corona, karibu Duniani, karibu kila unapotaka kuingia. Ndio karibu Corona maana umekuja na malengo yako.
Malengo ya kuua maelfu ya binadamu. Sawa Corona maana ndicho unachoona kwetu sisi.
Dunia inalia tangu ulipokuja na kuanza kuua watu wasio na hatia. Umetutia majonzi makubwa sana, tunalia kwa ajili yako, wengi wamepoteza...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo530 Nov
Amini: Sitokaa kimya tena kuanzia sasa
![Amini Cover Furaha](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Amini-Cover-Furaha1-300x194.jpg)
Amini amewahakikisha mashabiki wake kuwa hatokaa tena kimya kama zamani kuanzia sasa.
Hivi karibuni aliachia wimbo wake mpya uitwao Furaha.
“Unajua nashukuru kwanza mashabiki wangu wamepokea vizuri huu ujio wangu na nimefanya interview ile siku ambayo wimbo umetoka mikoa 23 ya Tanzania. Huko nyuma haikuwahi kutokea kwangu. Hii inaonyesha jinsi gani sasa hivi muziki umekuwa. Na sasa hivi nawaahidi mashabiki wangu kuwa sitokaa kimya sana. Itakuwa ni ngoma juu ya ngoma tu,” Amini ameiambia...
9 years ago
Mzalendo Zanzibar05 Oct
Kweli NEC na ZEC Itaibeba Tena CCM Kwakuiba Kura za Watanzania??
By Daniel Mjema, Mwananchi Taveta, Kenya. Rais Jakaya Kikwete amemweleza Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya kwamba Chama cha Mapinduzi (CCM), kitashinda katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25. Rais Kenyatta kwa upande wake bila kutaja CCM, alisema […]
The post Kweli NEC na ZEC Itaibeba Tena CCM Kwakuiba Kura za Watanzania?? appeared first on Mzalendo.net.
9 years ago
Mwananchi13 Sep
MATUKIO CHUMA : ‘Nilimwezesha Sitti awe na furaha tena’
9 years ago
Mwananchi06 Oct
Lowassa: Sina tena rafiki CCM
11 years ago
Tanzania Daima09 Jul
Mola atujalie rais ajaye awe kiongozi asiwe mtawala
RAIS wangu, waliosoma kitabu cha Mwalimu Mkuu wa Watu ukurasa wa 96 imeandikwa; ‘Kijana mmoja mwenye hasira akamuuliza, sasa mheshimiwa unakwenda kwenu, ule uzalendo uliokuwa unaupigia baragumu unamwachia nani? Aliyekuwa...
10 years ago
Mwananchi22 Jun
Nimebaini miili yetu haina tena thamani-2
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-akUSMuMoELE/VLYtEZkZc2I/AAAAAAAAmcQ/AHNbTksNfQc/s72-c/LEMUTUZII899.jpg)
Utajua Marafiki wa kweli na Mburulazzz, Lulu Michael Ndio Rafiki wa Kweli
![](http://2.bp.blogspot.com/-akUSMuMoELE/VLYtEZkZc2I/AAAAAAAAmcQ/AHNbTksNfQc/s640/LEMUTUZII899.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-0AI6ISV-NZU/VcikfQcEUOI/AAAAAAAB-Mk/TjntQO3rPlA/s72-c/LOWASA%2B2.jpg)
MAFURIKO HAYA YA LOWASA YAKIAMISHIWA KWENYE MITO YETU TANZANIA HAKUTAKUWA NA SHIDA YA UMEME TENA
![](http://4.bp.blogspot.com/-0AI6ISV-NZU/VcikfQcEUOI/AAAAAAAB-Mk/TjntQO3rPlA/s640/LOWASA%2B2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-P5aE-rU7djI/Vcikg-zsH-I/AAAAAAAB-Ms/scbFhOYDloU/s640/LOWASA%2B3.jpg)
Timu ya wanahabari wa JF tayari iko hapa buguruni katika ofisi kuu za CUF ili kuwaletea kila kitakachojiri.Tunatarajia maanadamano haya makubwa yataanza saa 3 asubuhi hapa...