Nimebaini miili yetu haina tena thamani-2
Nilipoandika wiki iliyopita kwamba kumbe miili yetu haina thamani tena, kwa hakika sikuwa natania.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/HEN55I5DKDM/default.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-DsSJUFIPPtc/Xq7WHqwzv8I/AAAAAAALo84/qnVgaiOfIDI8MHXTwl3Nq28RgETUkwouQCLcBGAsYHQ/s72-c/acastro_200311_3936_coronavirus_0002.0.7.jpg)
WATANZANIA NAOMBA KUANZIA SASA CORONA AWE RAFIKI YETU...KWELI TENA , ASIWE ADUI TENA
![](https://1.bp.blogspot.com/-DsSJUFIPPtc/Xq7WHqwzv8I/AAAAAAALo84/qnVgaiOfIDI8MHXTwl3Nq28RgETUkwouQCLcBGAsYHQ/s640/acastro_200311_3936_coronavirus_0002.0.7.jpg)
Na Said Mwishehe, Michuzi TV
CORONA mambo vipi? Natumai uko salama na unaendelea vema na majukumu yako ya kila siku hapa duniani tangu ulipokuja Desemba mwaka 2019.
Karibu Corona, karibu Duniani, karibu kila unapotaka kuingia. Ndio karibu Corona maana umekuja na malengo yako.
Malengo ya kuua maelfu ya binadamu. Sawa Corona maana ndicho unachoona kwetu sisi.
Dunia inalia tangu ulipokuja na kuanza kuua watu wasio na hatia. Umetutia majonzi makubwa sana, tunalia kwa ajili yako, wengi wamepoteza...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-d5CEgGxFUvg/Xk6YN7XPxuI/AAAAAAALejU/jQMm-AUP3vcebeMvBWE0zm8le1m4nnMIACLcBGAsYHQ/s72-c/PICHA%2B2.jpg)
Mbaga: Fedha haina thamani kama haijawekezwa, UTT yatoa fursa
![](https://1.bp.blogspot.com/-d5CEgGxFUvg/Xk6YN7XPxuI/AAAAAAALejU/jQMm-AUP3vcebeMvBWE0zm8le1m4nnMIACLcBGAsYHQ/s640/PICHA%2B2.jpg)
UTAJIRI sio fedha ambazo mtu anakusanya bali ni fedha zinazowekwa na kufanya kazi. Tamaduni zetu zimeifanya jamii kubwa kuhifadhi fedha ndani katika vyungu, magodoro, vibubu. Uwekaji akiba na uwekezaji ni dhana mbili tofauti. Uwekaji akiba ni mzuri lakini bila kuziwekeza ni bure. Ili uwe muwekaji akiba mzuri, unapaswa kuwa na nidhamu ya kujizoesha muda mrefu.
Nchini Tanzania...
10 years ago
Mwananchi06 Jul
MAONI :Tuipe thamani soka yetu izae matunda
Mwezi mmoja kabla ya Ligi Kuu ya soka Tanzania Bara kuanza rasmi msimu mpya, bado wapenzi na mashabiki wameendelea kushuhudia usajili ambao umekuwa ukifanywa na klabu 16 zinazotarajiwa kushiriki ligi hiyo.
10 years ago
BBCSwahili09 May
UN:Liberia haina Ebola tena
Shirika la Afya Duniani, WHO, limetangaza rasmi kwamba hakuna tena Ebola nchini Liberia.
5 years ago
Raia Mwema12 Mar
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-4iwCsUJEffw/XrP0uvUqMLI/AAAAAAALpYE/Hhs6FwXCoiEgXNYX60Q2y8zXla5ZyPpjgCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-07%2Bat%2B2.26.02%2BPM.jpeg)
MAZIKO YA SHEIKH KILEMILE YATUFANYE TUJITAFAKARI THAMANI YETU KWA BINADAMU WENGINE
![](https://1.bp.blogspot.com/-4iwCsUJEffw/XrP0uvUqMLI/AAAAAAALpYE/Hhs6FwXCoiEgXNYX60Q2y8zXla5ZyPpjgCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-07%2Bat%2B2.26.02%2BPM.jpeg)
Wakati nikiitazama machozi yalikua yakinitoka. Imani yangu ilikua ikisulubika, nikijitafakari kama mimi ni binadamu mwenye thamani mbele ya wanadamu wengi.
Video niliyokua naitazama ni ya Maziko ya mmoja wa Masheikh mashuhuri na Mwanazuoni nguli wa Dini ya Kiislamu, Sheikh...
10 years ago
Vijimambo17 Oct
MUNGU AZIDI KUILINDA AMANI YA NCHI YETU YA TANZANIA NASI KWA PAMOJA TUIONE THAMANI YAKE
wimbo wa Tanzania by Milca Kakete
10 years ago
BBCSwahili12 Aug
Thamani ya Yuan yapunguzwa tena
Uchina kwa mara nyengine imepunguza thamani ya sarafu yake, Yuan, ikilinganishwa na dola, kwa siku ya pili mfululizo.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania