Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kwanini Chipukizi haina maana tena

KIAPO CHA CHIPUKIZI WA ROMANIA

Ezekiel Kamwaga

Raia Mwema

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Kwa hiyo Copa Coca Cola haina maana?

Ni matumaini yangu kila mmoja anadunda na shughuli za kila siku hasa baada ya mchakamchaka wa mwishoni mwa wiki.

 

11 years ago

GPL

MNAOCHUKIA HAINA MAANA, KUBALINI KUJIFUNZA KWA DIAMOND!

KWENU,
Wasanii wote wa Tanzania. Hongereni kwa kazi na namna mnavyojituma kupitia sanaa zenu. Ni jambo zuri tena la kujivunia maana mmetambua vipaji vilivyo ndani yenu na kuvitumia kujipatia riziki. Kwa upande wangu, naendelea vizuri. Nawatakia heri wasanii wote Waislam walio kwenye funga ya mwezi mtukufu wa Ramadhan. Ni mwezi ambao kwa hakika, tunahitaji kuwa na subira na utulivu wa hali ya juu. Nimeona ni vyema leo...

 

10 years ago

BBCSwahili

UN:Liberia haina Ebola tena

Shirika la Afya Duniani, WHO, limetangaza rasmi kwamba hakuna tena Ebola nchini Liberia.

 

10 years ago

GPL

DEAR, MPENZI: MANENO YASIYOKUWA NA MAANA TENA

NI Jumanne tena! Nawakaribisba wasomaji wangu wa safu hii makini kwa elimu ya mapenzi katika maisha.Wiki iliyopita tulikuwa na mada ya ‘wengi wanapenda harusi kuliko ndoa’. Wenye kuelewa walielewa.Wiki hii nina mada nyingine kabisa inayosema dear, mpenzi ni maneno yasiyokuwa na maana tena. Hapa namaanisha kwamba, miaka ya zamani, wapendanao au wapenzi waliyatumia sana maneno haya katika kuoneshana upendo wa dhati.
...

 

10 years ago

Mwananchi

Nimebaini miili yetu haina tena thamani-2

Nilipoandika wiki iliyopita kwamba kumbe miili yetu haina thamani tena, kwa hakika sikuwa natania.

 

10 years ago

Bongo5

Kwanini ni muhimu wasanii wa Tanzania waanze kutoa album tena!

Ninafahamu na ni ukweli usiopingika kuwa album haziuzi lakini hiyo si sababu tosha ya wasanii kuacha kabisa kutoa album. Tunakosa uhondo. Wakati ambapo tunaendelea kuumizwa kichwa kuhusu namna mpya ya kusambaza album za wasanii, nadhani wasanii hawapaswi kabisa kukaa na ngoma zao maghetoni. Kuna faida gani ya kukaa na nyimbo ndani ambazo baadaye unaishia kuzichukia […]

 

10 years ago

Bongo Movies

Thea Atetea Chipukizi

Ndumbangwe  Misayo  ‘THEA’ ametaka  wasanii  chipukizi  wathaminiwe  katika  fani  hiyo  kwani  wana umuhimu wao katika  utengenezaji wa Filamu pia.        

Akizungumza  na  safu  hii  katikati  ya  wiki,  Thea  alisema  kila msanii ana  thamani  yake  kutokana  na nafasi yake katika kazi ya Filamu . Hivyo ametaka wathaminiwe  kulingana na kazi zao  badala  ya  kuwawekea  vizuizi vinavyokwamisha  maendeleo  ya  vipaji  vyao .    

"MIMI nimeshirikishwa katika Filamu  na  wasanii  ambao ...

 

5 years ago

Michuzi

WATANZANIA NAOMBA KUANZIA SASA CORONA AWE RAFIKI YETU...KWELI TENA , ASIWE ADUI TENA


Na Said Mwishehe, Michuzi TV

CORONA mambo vipi? Natumai uko salama na unaendelea vema na majukumu yako ya kila siku hapa duniani tangu ulipokuja Desemba mwaka 2019.

Karibu Corona, karibu Duniani, karibu kila unapotaka kuingia. Ndio karibu Corona maana umekuja na malengo yako.

Malengo ya kuua maelfu ya binadamu. Sawa Corona maana ndicho unachoona kwetu sisi.

Dunia inalia tangu ulipokuja na kuanza kuua watu wasio na hatia. Umetutia majonzi makubwa sana,  tunalia kwa ajili yako, wengi wamepoteza...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani