Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DEAR, MPENZI: MANENO YASIYOKUWA NA MAANA TENA

NI Jumanne tena! Nawakaribisba wasomaji wangu wa safu hii makini kwa elimu ya mapenzi katika maisha.Wiki iliyopita tulikuwa na mada ya ‘wengi wanapenda harusi kuliko ndoa’. Wenye kuelewa walielewa.Wiki hii nina mada nyingine kabisa inayosema dear, mpenzi ni maneno yasiyokuwa na maana tena. Hapa namaanisha kwamba, miaka ya zamani, wapendanao au wapenzi waliyatumia sana maneno haya katika kuoneshana upendo wa dhati.
...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Bongo5

Dear Harmorapa, Acha Maneno Weka Muziki!

Harmorapa kwa sasa siyo jina geni tena katika masikio ya mashabiki wa muziki na burudani Tanzania, japo kutokueleweka kasi ya kupenya katika kipindi kifupi.

Rapper huyo kwa sasa amekuwa machachari huku akiteka vichwa vya habari kila kukicha, huku akiendelea kujitengenezea fan base.

Napenda kuzungumzia jinsi harmorapa huenda akapotea, endapo ataendelea kufanya hiki anchokifanya sasa hivi, ingawa ni dhahiri ana watu wenye nguvu ya fedha nyuma yake na upeo mkubwa wa tasnia ya muziki akiwemo...

 

11 years ago

GPL

MPENZI WAKO AKIKUAMBIA MANENO HAYA, ZINDUKA! - 2

NINA furaha sana moyoni mwangu maana ninakwenda kuzungumza na wewe kuhusu mambo muhimu sana katika maisha yetu ya kimapenzi. Rafiki zangu, nazungumza juu ya kauli ambazo zina ishara mbaya kwenye uhusiano. Wakati mwingine unaweza kumsikia mpenzi wako akikuambia maneno ya ajabu sana, lakini usielewe maana yake ni nini. Ngoja nikuambie, kila kinachotoka kinywani mwa mpenzi wako kukuambia wewe kina maana yake. Lengo ni kujifunza;...

 

11 years ago

GPL

MPENZI WAKO AKIKUAMBIA MANENO HAYA, ZINDUKA!

UNAWEZA kuambiwa maneno mengi sana kutoka kwa mpenzi wako, mazuri na mabaya lakini yapo ambayo yanatoa taswira isiyo nzuri. Jambo la msingi ni kuwa makini kupambanua.
Pointi ya msingi hapa ni lugha zenye ishara mbaya kwa wapenzi. Umewahi kujiuliza kuhusu hili? Umewahi kutafakari juu ya kauli chafu anazotoa mpenzi wako dhidi yako? Kauli za maudhi, kashfa na hata matusi wakati mwingine, wewe unazichukuliaje? Rafiki zangu, kauli...

 

5 years ago

Raia Mwema

Kwanini Chipukizi haina maana tena

KIAPO CHA CHIPUKIZI WA ROMANIA

Ezekiel Kamwaga

 

10 years ago

Bongo Movies

Kwa Maneno Haya, Wolper Anajivunia Mpenzi Wake Aliempa ‘Ndinga’ Hili

Staa mrembo kutoka Bongo Movies, Jacqueline Wolper ametupia picha hizi kwenye ukurasa wake  mtandaoni na kuziandikia maneno kwa lugha ya “Malkia” ..

“Being with someone who won't give up on you”.  Akaandika tena  “Be with someone who is proud to have you. Thug life mentality”.

Kauli hizi zinaonyesha mrembo huyu kwasasa yupo kwenye mahusiano na mtu ambaye  anampenda na anaonyesha kumajali sana mrembo huyu na pengine kwa swaga za mitandaoni , naungana na wengi waliompongeza kwa kupewa ndinga...

 

9 years ago

Bongo5

Sitochora tena tattoo ya jina la mpenzi wangu – Shilole

shilole-2

Shilole ameapa kutorudia tena kuchora tattoo yenye jina la mpenzi wake.

SHISHI-tattoo-mpya

Hivi karibuni muimbaji huyo alilazimika kuifuta tattoo ya jina la aliyekuwa mpenzi wake, Nuh Mziwanda.

Shilole amesema kujichora tattoo ya jila Nuh kumemharibia issue kibao.

“Tattoo hapa ni empty,” aliambia 255 katika kipindi cha XXL cha Clouds FM Jumatatu hii.

“SiwezI tena kuchora tattoo kwaajili ya mapenzi. Nimeamua kama tutapendana tutapenda rohoni kwa sababu nishaona hakuna sababu ya kuchora tattoo. Unaweza...

 

11 years ago

Bongo5

Chris Brown apigwa chini tena na mpenzi wake Karrueche Tran kisa Rihanna!

Button ya uhusiano wa mwimbaji Chris Brown na mrembo wake Karrueche Tran imewekwa ‘Off’ kwa mara nyingine na sababu ni Rihanna. Siku chache zilizopita kuna shabiki mmoja alipost picha ya Chris Brown akiwa kitandani na Rihanna na kumtag Breezy ambaye naye ali ‘like’, kwa mujibu wa TMZ hiyo ni moja ya sababu ya Karrueche ku’switch […]

 

10 years ago

Mwananchi

Maneno na Miundo ya maneno ya Kiswahili inayokanganya.

Baada ya kuandika juu ya Asili na Chimbuko la Kiswahili katika Afrika Mashariki, nitaeleza kwa muhtasari matatizo yanayoikumba lugha hii hasa katika tahajia, matamshi, maana na matumizi yake. Kwa maneno mengine, lugha ya Kiswahili hivi sasa inawakanganya watumiaji wake hasa wanafunzi wa ndani na  nje ya Afrika Mashariki. Mkanganyiko huu unasababishwa na udhaifu uliopo katika taaluma ya lugha ya Kiswahili kama mofolojia, fonolojia, sintaksia na semantiki kwa waandishi na watangazaji wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani