Maneno na Miundo ya maneno ya Kiswahili inayokanganya.
Baada ya kuandika juu ya Asili na Chimbuko la Kiswahili katika Afrika Mashariki, nitaeleza kwa muhtasari matatizo yanayoikumba lugha hii hasa katika tahajia, matamshi, maana na matumizi yake. Kwa maneno mengine, lugha ya Kiswahili hivi sasa inawakanganya watumiaji wake hasa wanafunzi wa ndani na nje ya Afrika Mashariki. Mkanganyiko huu unasababishwa na udhaifu uliopo katika taaluma ya lugha ya Kiswahili kama mofolojia, fonolojia, sintaksia na semantiki kwa waandishi na watangazaji wa...
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi25 Nov
Aina za maneno ya Kiswahili (hitimisho)
11 years ago
Mwananchi20 Apr
Tatizo la kufananisha maneno ya Kiswahili
10 years ago
Mwananchi11 Nov
Aina nane za maneno katika Kiswahili
10 years ago
Habarileo24 Sep
'Maneno maneno' yamkera Waziri
WAZIRI wa Maji Profesa Jumanne Maghembe amekerwa na kauli ya kuwa Bahi hawautaki mradi wa maji wa bwawa la Farkwa na kutaka maoni ya watu wachache yasiwe sababu za kukwamisha mradi huo.
10 years ago
Bongo Movies30 Dec
MZIGO MPYA: JB Akiwa “Location”Anammezesha Maneno ya Kiswahili Mzungu
Mwigizaji na mwogozaji wa filamu za Kitanzania, Jacob Stephen “JB” ameonekana akiwa “Location”akimuelezeka jamaa mwenye asili ya nchi za ng’ambo “Mzungu”ambae jina lake halijahamika, kwa kumsomea na kumakalilisha maneno ya kiswahili kwenye kipande cha filamu ambayo wanai-shoot katika eneo hilo.
Bado haijawekwa wazi, jina na lini itatoka filamu hii inayofanyika chini ya kampuni ya Jerusalem Film Campany, ambayo inaongozwa na JB mwenyewe.
Kuzungumzia kazi hii mpya ambayo mzungu ndani, JB...
9 years ago
Mzalendo Zanzibar28 Sep
Maneno mazima ya Mh Enzi Talib
Na Enzi T. Aboud KAMA aliyoyasema Balozi Seif Ali Iddi, Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa kampeni wa CCM Zanzibar, yalitoka moyoni mwake kuwa viongozi wa CUF na UKAWA kupitia cha CHADEMA, […]
The post Maneno mazima ya Mh Enzi Talib appeared first on Mzalendo.net.
9 years ago
Mwananchi15 Aug
Nape, Mgeja warushiana maneno
9 years ago
Habarileo25 Sep
NEC yakanusha maneno ya Mbowe
TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imesema kauli ya Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe kuwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimedai hakitakabidhi madaraka kwa upinzani hata ikishindwa katika uchaguzi mkuu kuwa ni potofu.
11 years ago
Mwananchi08 Jun
Kificho: Warioba alinilisha maneno