NEC yakanusha maneno ya Mbowe
TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imesema kauli ya Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe kuwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimedai hakitakabidhi madaraka kwa upinzani hata ikishindwa katika uchaguzi mkuu kuwa ni potofu.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo12 Oct
NEC yakanusha tuhuma kuhusu BVR
TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imesema tuhuma zilizotolewa, zinazodai kuna uandikishaji wa wapiga kura kwa mashine za BVR, unaofanyika katika eneo la viwanda Mikocheni jijini Dar es Salaam, hazina ukweli.
9 years ago
MichuziCHADEMA tawi la MAREKANI yakanusha Taarifa kuhusu kuwapokea Dr Wilbroad Slaa na Mheshimiwa Freeman Mbowe hapa
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-gcKZahZiKRM/XuOUDTgnDpI/AAAAAAALtnU/VOcNld52jYsY00bNsDc39w9v6Nntw65xACLcBGAsYHQ/s72-c/index.jpg)
JESHI LA POLISI NCHINI WATHIBITISHA MBOWE ALIKUWA AMELEWA CHAKALI KIASI CHA KUSHINDWA KUTAMKA MANENO SIKU ANAYODAI KUSHAMBULIWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-gcKZahZiKRM/XuOUDTgnDpI/AAAAAAALtnU/VOcNld52jYsY00bNsDc39w9v6Nntw65xACLcBGAsYHQ/s320/index.jpg)
*Pia alikwenda kwa mzazi mwenzie Mbunge wa Viti Maalum Joyce Nkya
Na Said Mwishehe,Michuzi TV.
USHAHIDI wa awali wa Jeshi la Polisi nchini kuhusu madai ya Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA) ambaye pia ni Kiongozi wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni Freeman Mbowe umeonesh kuwa siku hiyo ya tukio Mbowe alikuwa amelewa chakali na alizunguka kwenye kumbi mbalimbali za starehe zinazouza vileo ikiwemo ya...
10 years ago
Mwananchi23 Mar
Maneno na Miundo ya maneno ya Kiswahili inayokanganya.
10 years ago
Habarileo24 Sep
'Maneno maneno' yamkera Waziri
WAZIRI wa Maji Profesa Jumanne Maghembe amekerwa na kauli ya kuwa Bahi hawautaki mradi wa maji wa bwawa la Farkwa na kutaka maoni ya watu wachache yasiwe sababu za kukwamisha mradi huo.
11 years ago
Habarileo02 Mar
Ikulu yakanusha nyongeza ya posho
RAIS Jakaya Kikwete hajaongeza posho kwa wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba kutoka Sh 300,000 za sasa na kueleza kuwa hajawahi kupokea maombi ya nyongeza ya posho hiyo.
10 years ago
BBCSwahili06 Nov
TZ yakanusha biashara ya pembe za ndovu
10 years ago
Tanzania Daima21 Oct
Shiuma yakanusha kujihusisha na siasa
SHIRIKA la Umoja wa Machinga Tanzania (Shiuma), lenye makao yake makuu mkoani hapa limekanusha uvumi wa kujihusisha na baadhi ya vyama vya siasa nchini. Kauli hiyo imetolewa jana na Mwenyekiti...
10 years ago
Mwananchi15 Jul
CUF yakanusha kujitoa Ukawa