Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Maneno mazima ya Mh Enzi Talib

Na Enzi T. Aboud KAMA aliyoyasema Balozi Seif Ali Iddi, Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa kampeni wa CCM Zanzibar, yalitoka moyoni mwake kuwa viongozi wa CUF na UKAWA kupitia cha CHADEMA, […]

The post Maneno mazima ya Mh Enzi Talib appeared first on Mzalendo.net.

Mzalendo Zanzibar

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Global Publishers

Kumbe Aliens wamekuwepo enzi na enzi!

AliensILIPOISHIA WIKI ILIYOPITA:
Mpenzi msomaji wangu wiki iliyopita tuliona ni kwa jinsi gani hawa viumbe wa ajabu waishio angani wa Aliens walivyo na tabia zinazoaminika ni za majini japokuwa wana utofauti kidogo. Tuliona kuwa tofauti kubwa iliyopo kati ya Aliens na majini ni kwamba majini wana maumbile maalum na uwezo wa kujibadilisha japo wote wana uwezo wa kusafiri kwa kasi ya upepo. SASA ENDELEA…

Kama nilivyoeleza awali katika matoleo ya simulizi hii huko nyuma, kuna filamu na tamthiliya...

 

10 years ago

Mwananchi

Maneno na Miundo ya maneno ya Kiswahili inayokanganya.

Baada ya kuandika juu ya Asili na Chimbuko la Kiswahili katika Afrika Mashariki, nitaeleza kwa muhtasari matatizo yanayoikumba lugha hii hasa katika tahajia, matamshi, maana na matumizi yake. Kwa maneno mengine, lugha ya Kiswahili hivi sasa inawakanganya watumiaji wake hasa wanafunzi wa ndani na  nje ya Afrika Mashariki. Mkanganyiko huu unasababishwa na udhaifu uliopo katika taaluma ya lugha ya Kiswahili kama mofolojia, fonolojia, sintaksia na semantiki kwa waandishi na watangazaji wa...

 

9 years ago

GPL

MARIAH CAREY AHAMIA ‘MAZIMA’ KWA BILIONEA JAMES PACKER

Staa wa muziki wa R&B duniani , Ma riah Carey. New York, Marekani
MAHABA! STAA wa muziki wa R&B duniani , Ma riah Carey ameamua kuhamia moja kwa moja (mazima) kwa mchumba wake mpya ambaye ni bilionea kutoka nchini Australia, James Packer. Mariah Carey akiwa na mpenzi wake James Packer. Chanzo kinapenyeza ‘ubuyu’kuwa, Mariah ambaye ni mama wa watoto mapacha aliyezaa na Nick Canno na alifikia uamuzi wa kuhamia kwa bilionea...

 

10 years ago

Michuzi

HUYU NA YULE........Mahojiano na Dr Talib Ali

Karibu katika kipindi cha HUYU NA YULE ambapo wiki hii tumeongea na Dk Talib AliYeye ni mwanzilishi wa Avatar Dental Care iliyopo Leesburg Virginia.Ameeleza mengi kuhusu kazi zake na mikakati aliyonayo baadae Pia, ametoa punguzo la 50% kwa waTanzania watakaoenda kutiiwa kwake, pamoja na mpango wa malipo ya awamu kuwzesha watu kumudu gharama hizoKaribu Huyu na Yule ni kipindi kinachotayarishwa na Vijimambo Blog na kuzalishwa na Kwanza ProductionKwa mawasiliano, maoni ama ushauri, tafadhali...

 

10 years ago

Habarileo

'Maneno maneno' yamkera Waziri

WAZIRI wa Maji Profesa Jumanne Maghembe amekerwa na kauli ya kuwa Bahi hawautaki mradi wa maji wa bwawa la Farkwa na kutaka maoni ya watu wachache yasiwe sababu za kukwamisha mradi huo.

 

10 years ago

Vijimambo

HUYU NA YULE Jumatatu ijayo....... Dr Talib Ali

Katika HUYU NA YULE Jumatatu ijayo tunakuletea mahojiano yetu na Dr Talib Ali.
Kwa ufupi........

 

10 years ago

Michuzi

HUYU NA YULE Jumatatu ijayo....... DK. Talib Ali

Katika HUYU NA YULE Jumatatu ijayo tunakuletea mahojiano yetu na Dr Talib Ali.

 

10 years ago

Michuzi

Tanzanian Dentist Dr. Talib Ali on the TOP Doctors Interviews - Sedation Dentistry

Dr. Talib Ali, a top dentist from Avatar Dental Care in Leesburg, Virginia, discusses the benefits of Sedation Dentistry on the TOP Doctors Interviews which are seen on CNN Headline News, CNBC, FOX News and other networks. Call Avatar Dental Care Today and set your consultation with Dr. Talib Ali at 703-669-8600 or visit http://www.avatardental.com/ or his office at:Avatar Dental Care545 G. East Market StreetLeesburg, VA 20176

 

10 years ago

Michuzi

usafiri enzi hizo....

 Tiketi na bei ya nauli za jiji la Dar es salaam enzi hizo. Wenye data tunaomba kumbukumbu zenu. Mjadala ruksa mradi usichafue hali ya hewa....

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani