Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nape, Mgeja warushiana maneno

Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye na aliyekuwa mwenyekiti wa chama hicho mkoa wa Shinyanga, Khamis Mgeja jana walirushiana maneno kutokana na kada huyo kutangaza kuhamia Chadema.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Wenger na Mourinho warushiana maneno

Kocha wa Chelsea Jose Mourinho amemjibu mwenzake wa Arsenal Arsene Wenger baada ya Wenger kuhoji kuhusu mbinu ya Chelsea kulinda lango lake.

 

10 years ago

Mwananchi

Maneno na Miundo ya maneno ya Kiswahili inayokanganya.

Baada ya kuandika juu ya Asili na Chimbuko la Kiswahili katika Afrika Mashariki, nitaeleza kwa muhtasari matatizo yanayoikumba lugha hii hasa katika tahajia, matamshi, maana na matumizi yake. Kwa maneno mengine, lugha ya Kiswahili hivi sasa inawakanganya watumiaji wake hasa wanafunzi wa ndani na  nje ya Afrika Mashariki. Mkanganyiko huu unasababishwa na udhaifu uliopo katika taaluma ya lugha ya Kiswahili kama mofolojia, fonolojia, sintaksia na semantiki kwa waandishi na watangazaji wa...

 

10 years ago

Bongo Movies

Shilole , Mziwanda Warushiana Vijembe Mtandaoni

Penzi la mastaa wa hapa Bongo, Shilole na Mziwanda linaonekana kupumulia  mashine kwa sasa hivi  baada ya wawili hao kuibuka mtandaoni na kurushiana maneno ya kejeli.
Alianza Shilole kwa kuandika haya;

"Mwanaume hata umfanyie nini haridhik lol! Pamoja na kukubali shida zake zote lakin mh! Nimejitahid nimehangaika'ila sasa kama gari limewaka'aka babu weeee kanikuta na maisha yangu wacha niendelee na maisha yangu'Mimi na yeye baaaaaaasi ...GaNdALaNdiZi"


Baada ya saa 2 Mziwanda alijibu mapigo...

 

10 years ago

Mwananchi

Viongozi warushiana mpira hofu ya kemikali Serengeti

Malalamiko ya wakazi wa Kijiji cha Majimoto, Tarafa ya Ngoreme wilayani Serengeti mkoani Mara ambako hatakati za uchimbaji wa dhahabu zinaendelea kushika kasi, yamesababisha baadhi ya viongozi katika ngazi mbalimbali kurushiana mpira kuhusu suala hilo.

 

10 years ago

Habarileo

'Maneno maneno' yamkera Waziri

WAZIRI wa Maji Profesa Jumanne Maghembe amekerwa na kauli ya kuwa Bahi hawautaki mradi wa maji wa bwawa la Farkwa na kutaka maoni ya watu wachache yasiwe sababu za kukwamisha mradi huo.

 

9 years ago

Mwananchi

Mgeja amlipua mkapa

Mjumbe wa Kamati ya Taifa ya Kampeni za mgombea Urais wa Chadema,Edward Lowassa,anayeungwa mkono na vyama vya Ukawa,Khamis Mgeja amesema, Rais Mstaafu Benjamin Mkapa, anastahili kufikishwa mahakamani kwa matumizi mabaya ya madaraka na kujimilikisha mali za umma akiwa Ikulu.

 

9 years ago

Mwananchi

CCM- Hatutetereki Mgeja kuondoka

Chama Cha Mapinduzi (CCM), mkoa wa Shinyanga kimesema hakitatetereka kwa kuondoka kwa mwenyekiti wake mkoani hapa, Khamis Mgeja badala yake kitazidi kuimarika kwa kuwa kina hazina ya wanachama na viongozi makini.

 

9 years ago

TheCitizen

Mgeja, Guninita ditch CCM

Shinyanga regional CCM chairman Khamis Mgeja and Mr John Guninita, the former party’s chairman for Dar es Salaam, yesterday quit the ruling party and announced to join the main opposition, Chadema.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mgeja: Tuwe makini na wawekezaji

KUKOSA usikivu kwa baadhi ya viongozi wa serikali waliopewa mamlaka pindi wanaposhauriwa kwa masuala mbalimbali yahusuyo mustakabali wa nchi, kumesababisha taifa kuzidi kukumbwa na majanga ya ujangili, kukithiri kwa usafirishaji...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani