Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mgeja: Tuwe makini na wawekezaji

KUKOSA usikivu kwa baadhi ya viongozi wa serikali waliopewa mamlaka pindi wanaposhauriwa kwa masuala mbalimbali yahusuyo mustakabali wa nchi, kumesababisha taifa kuzidi kukumbwa na majanga ya ujangili, kukithiri kwa usafirishaji...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Tuwe makini, tuzingatie nidhamu kwenye matumizi yetu

Kelele mbalimbali zinazohusu matumizi mabaya ya fedha za umma zimekuwa zikipigwa ndani na nje ya vikao vya Bunge.

 

11 years ago

Mwananchi

Tuwe makini Katiba Mpya isitupe shida kama Kenya

Tangu mjadala wa Katiba Mpya uanze, mengi yameandikwa na kusemwa lakini kwa kuwa bado hatujakamilisha ni vizuri tukawa waangalifu ili tusije kujiingiza kwenye matatizo.

 

9 years ago

Mwananchi

VIONJO VYA WIKI: Kampeni zimeanza, Watanzania tuwe makini

Ni dhahiri kuwa shughuli imeanza rasmi. Sasa ni wakati mwafaka wa kuona na kusikia ahadi lukuki za wagombea baada ya kuanza kwa kampeni za uchaguzi ambao umebakiza siku 61 kufanyika kote nchini.

 

10 years ago

Vijimambo

WATANZANIA LAZIMA TUWE MAKINI NA MATAJIRI WA NCHI HII KWA MUSTAKABALI WA TAIFA LETU NA USTAWI WA WATANZANIA MASKINI

Ni wazi kwamba ningependa siku moja watanzania waweze kujua ukweli wa nini kinafanywa na matajiri wa nchi hii.Matajiri waliojaa  ulafi wa kunufaika na rasilimali za nchi hii kwa manufaa yao na familia zao ukijumlisha wapambe wao na washirika wa ndani na nje ya nchi hii ya Tanzania. Ni katika vita hii ndio inayopelekea serekali yetu kuyumba na kuyumbishwa (STATE TO BE CAPTURED) na hawa matajiri pale wanapopigania maslahi yao na kudiriki kutumia utajiri wao na umiliki wao wa vyombo kama vya...

 

11 years ago

Habarileo

Membe: Tuwe wazalendo kwa nchi

KITENDO cha Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni kutetea Rwanda, kimeelezwa kuwa ni kukosa uzalendo. Pia, kitendo hicho kimeonekana ni uchonganishi wa nchi hizo mbili na kinaweza nchi hizo kukosa maelewano. Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe alisema hayo wakati akijibu hoja mbalimbali za wabunge, kuhusu bajeti ya wizara hiyo, bungeni mjini Dodoma jana.

 

9 years ago

Mwananchi

Watanzania tuwe watulivu kuyapokea matokeo

Tunachukua nafasi hii ya kipekee kuwapongeza Watanzania wote kwa kutumia vyema nafasi yao katika kupiga kura ili kuwachagua viongozi wao.

 

10 years ago

Mwananchi

Lazima tuwe na mipango endelevu-Kinana

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi(CCM), Abdulrahman Kinana amesema kuwa ili Tanzania iweze kujitegemea kiuchumi ni lazima iwe na mipango yake endelevu kwani hakuna nchi nyingine itakayokuja kuiendeleza.

 

5 years ago

Michuzi

Tuwe na uelewa wa Sheria ya Ushirika –Naibu Mrajis

Naibu Mrajis wa Vyama vya Ushirika Usimamizi na Udhibiti wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika Bw. Collins Nyakunga ametoa wito kwa Viongozi na Watendaji wa Vyama vya Akiba na Mikopo (SACCOS) kuwa na uelewa wa Sheria ya Vyama vya Ushirika Na.6 ya mwaka 2013, Sheria ya Huduma Ndogo za Fedha Na.10 ya mwaka 2018, miongozo na Kanuni husika za Ushirika.

Mrajis ametoa wito huo akiongea na Viongozi pamoja na Watendaji wa Vyama vya Akiba na Mikopo (SACCOS) wakati wa mafunzo ya Sheria Na.10 ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani