Membe: Tuwe wazalendo kwa nchi
KITENDO cha Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni kutetea Rwanda, kimeelezwa kuwa ni kukosa uzalendo. Pia, kitendo hicho kimeonekana ni uchonganishi wa nchi hizo mbili na kinaweza nchi hizo kukosa maelewano. Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe alisema hayo wakati akijibu hoja mbalimbali za wabunge, kuhusu bajeti ya wizara hiyo, bungeni mjini Dodoma jana.
habarileo
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-huOb9ZE0JCo/Xl1kq-7baXI/AAAAAAALgeE/0vV7kKWzcBAkHJ2p4Cbi_qgzfM73CvFZgCLcBGAsYHQ/s72-c/MEMBE.jpg)
WANAHARAKATI WAZALENDO WATUMA UJUMBE KWA WAPINZANI KUHUSU BERNARD MEMBE
![](https://1.bp.blogspot.com/-huOb9ZE0JCo/Xl1kq-7baXI/AAAAAAALgeE/0vV7kKWzcBAkHJ2p4Cbi_qgzfM73CvFZgCLcBGAsYHQ/s400/MEMBE.jpg)
MWENYEKITI wa Umoja wa Wanaharakati Wazalendo Siasa Tanzania(UWASAT) umevitaka vyama vya upinzani nchini kuwa makini na aliyekuwa kada wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) Bernard Membe ambaye kwa sasa amefukuzwa kwenye Chama hicho.
Kwa mujibu wa UWASAT ni kwamba huenda Membe ameondolewa CCM kama mtego kwa wapinzani na hivyo iwapo wataamua kumchukua inaweza kusababisha upinzani nchini kumalizwa kwa urahsi zaidi.
Akizungumza leo jijini Dar es Salaam Mwenyekiti wa Umoja huo...
10 years ago
Vijimambo24 Mar
WATANZANIA LAZIMA TUWE MAKINI NA MATAJIRI WA NCHI HII KWA MUSTAKABALI WA TAIFA LETU NA USTAWI WA WATANZANIA MASKINI
![](https://www.rafikifoundation.org/CMS/Images/tanzaniamap.png)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-a2AmfGQwHa8/VQwb5XCk48I/AAAAAAAAGo0/O4V4DkqAN-U/s72-c/IMG_5477.jpg)
WAFANYABIASHARA MANISPAA YA SUMBAWANGA WALALAMIKIA KODI MBALIMBALI SERIKALINI, MKUU WA MKOA WA RUKWA AWATAKA KUWA WAZALENDO KULIPA KODI KWA HIARI KUJENGA NCHI YAO
![](http://2.bp.blogspot.com/-a2AmfGQwHa8/VQwb5XCk48I/AAAAAAAAGo0/O4V4DkqAN-U/s1600/IMG_5477.jpg)
10 years ago
Habarileo08 Jun
Membe kupeleka nchi kwenye uchumi wa viwanda
WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe, ametangaza rasmi kuwania urais wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM}, huku akitamba ataipeleka nchi katika uchumi wa viwanda unaobebwa na kilimo na kuahidi kujenga serikali ya waadilifu.
9 years ago
MichuziWAZIRI MEMBE AWAUSIA MABALOZI WANAOWAKILISHA TANZANIA NCHI MBALIMBALI DUNIANI
10 years ago
Vijimambo22 Nov
WAZIRI MEMBE AWATAKA WAHITIMU WA CHUO KIKUU CHA KAMPALA KUTII SHERIA ZA NCHI
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-WUmgOd_zFgc/VUtSk2zDkKI/AAAAAAAHV6E/ASSGCEz5U84/s72-c/unnamed%2B(82).jpg)
Membe aongoza Mawaziri wa Nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki kwenye mazungumzo nchini Burundi
![](http://3.bp.blogspot.com/-WUmgOd_zFgc/VUtSk2zDkKI/AAAAAAAHV6E/ASSGCEz5U84/s640/unnamed%2B(82).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-cRpsY-bVow0/VJijru4Q_PI/AAAAAAAG5LE/OB2ZXDBallw/s72-c/CMAG-Meeting-3-1024x683.jpg)
Membe aongoza mkutano wa Kikosi Kazi cha Mawaziri wa Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Madola jijini London
![](http://2.bp.blogspot.com/-cRpsY-bVow0/VJijru4Q_PI/AAAAAAAG5LE/OB2ZXDBallw/s1600/CMAG-Meeting-3-1024x683.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-lee9sg-oppA/Uw8snuqk9MI/AAAAAAAASf8/ga0tafs7nDc/s72-c/MFAIC+China+with+VP+6.jpeg)
Mhe. Membe akutana na Makamu wa Rais wa China mjini Beijing,Pia afanya mazungumzo na baadhi ya Mawaziri wa nchi hiyo
![](http://4.bp.blogspot.com/-lee9sg-oppA/Uw8snuqk9MI/AAAAAAAASf8/ga0tafs7nDc/s1600/MFAIC+China+with+VP+6.jpeg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-CJt3mT3ajFc/Uw8swDiENDI/AAAAAAAASgM/FNggxpup1f4/s1600/MFAIC+China+with+VP+4.jpeg)