WAZIRI MEMBE AWATAKA WAHITIMU WA CHUO KIKUU CHA KAMPALA KUTII SHERIA ZA NCHI
Brass Band ya Jeshi la Magereza ikiwaongoza Mkuu wa Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Kampala (KIU), Kampasi ya Dar es Salaam , Rais Mstaafu, Mhe. Ali Hassan Mwinyi, mgeni rasmi, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard K. Membe, Maafisa, Wahadhiri,Wahitimu pamoja na Wageni Waalikwa kuingia katika Viwanja vya Chuo Kikuu hicho katika sherehe za Mahafali ya Kumi na Moja ya chuo hicho yaliyofanyika tarehe 21.11.2014.
Mhe. Membe (mwenye joho la bluu) akiongozana na baadhi ya...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi17 Jul
Waziri Membe azungumza na wanafunzi kutoka Chuo Kikuu cha St. Thomas cha Marekani
10 years ago
MichuziMembe Mgeni Rasmi Mahafali Chuo cha Kampala (KIU)
Mhe. Membe, ambaye alikuwa akihutubia kwenye mahafali ya 11 ya Chuo Kikuu cha Kampala (KIU), Jijini Dar es Salaam leo, aliwataka wanawake kutumia kikamilifu fursa za elimu ya juu ili wajitegemee kiuchumi na kuondokana kabisa na unyanyasaji wa kijinsia.
Alielezea ...
9 years ago
MichuziMwinyi awaasa wanafunzi kuchangamkia fursa ya kupata taaluma Chuo Kikuu cha Kampala
Akiongea wakati wa mahafali ya tatu ya chuo hicho kwa upande wa Tanzania jana ambapo wahitimu walitunikiwa shahada ,stashahada na vyeti vya kufuzu fani mbalimbali alisema chuo hicho kinatoa elimu bora ...
9 years ago
MichuziWahitimu wa Chuo Kikuu cha Ardhi waliofanya Vizuri wanyakua Tuzo mbalimbali
11 years ago
MichuziChuo Kikuu cha Bagamoyo chawaasa wahitimu wa kozi ya Utetezi wa Haki za Binadamu
![](http://4.bp.blogspot.com/-8k4ptFIFvxs/U0z_KzmTcZI/AAAAAAAA9hU/jG6lyYKdnQI/s1600/15.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-A0Yl9nibPcw/U0vdn8uS6DI/AAAAAAAA9YQ/Bf277RFjRRs/s1600/002.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-KBNBifZ8BJ0/U0vlzjefnHI/AAAAAAAA9ZI/APN-45Y67lo/s1600/001.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-T-gPmz9DMsI/VnG4vzMBmNI/AAAAAAAIM60/D2ffte-FlNc/s72-c/ef9718f3-1235-456c-aec1-1a0620f9f677.jpg)
Watanzania wahitimu shahada ya uzamili kutoka taasisi ya kimataifa international institute of social studies ya chuo kikuu cha Erasmus cha nchini uholanzi.
![](http://3.bp.blogspot.com/-T-gPmz9DMsI/VnG4vzMBmNI/AAAAAAAIM60/D2ffte-FlNc/s640/ef9718f3-1235-456c-aec1-1a0620f9f677.jpg)
9 years ago
Dewji Blog22 Aug
Wasichana 22 waliokuwa katika mazingira magumu wahitimu Chuo Kikuu Huria cha Tanzania
Naibu Waziri wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na watoto Mhe. Dkt. Pindi H. Chana (Mb)akimpongeza Bi. Jane Malyi kiongozi wa wahitimu wa mafunzo ya ujasiriamali na urembo mara baada ya kutoa neno fupi kwa niaba ya wahitimu wa mafunzo hayo katika chuo Kikuu Huria cha Tanzania, jijini Dar es salaam
Na erasto Ching’oro
Wasichana 22 kutoka mazingira hatarishi wamehitimu mafunzo ya ujasiriamali, mawasiliano, ususi wa nywele na urembo katika Chuo Kikuu Huria cha Tanzania jijini Dar es...
10 years ago
Dewji Blog05 Dec
Wahitimu 130 wa Chuo Kikuu cha Ardhi (ARU), watunukiwa tuzo kwa kufanya vizuri kwenye masomo
Onesmo Charles ambaye ni mmoja wa wanafunzi 130 waliofanya vizuri katika masomo katika Chuo Kikuu cha Ardhi (ARU), akijaribu kifaa cha kisasa cha kupimia ardhi, viwanja na ramani za nyumba alichozawadiwa Kampuni ya Hightech Systems (T) Limited katika hafla ya kuwakabidhi zawadi na tuzo wanafunzi hao bora iliyofanyika katika chuo hicho leo ikiwa ni sehemu ya mahafali ya nane ya chuo hicho yatakayofikia kilele kesho kutwa Ukumbi wa Diamond Jubilee Dar es Salaam.
![](http://1.bp.blogspot.com/-_4HrcjA_NL0/VICM-xiwLmI/AAAAAAAAw6w/No_oLTrixks/s1600/02%2BOnesmo%2BCharles.jpg)
Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu...
9 years ago
Habarileo08 Sep
Vyama vya siasa vyatakiwa kutii sheria za nchi
MSAJILI wa Vyama vya Siasa nchini, amevitaka vyama vya siasa vinavyoshiriki uchaguzi mkuu, kuheshimu na kutii sheria za nchi hasa sheria ya usajili wa vyama na gharama za uchaguzi.