Mwinyi awaasa wanafunzi kuchangamkia fursa ya kupata taaluma Chuo Kikuu cha Kampala
Mkuu wa Chuo Kikuu cha Kampala International cha jijini Dar es Salaam,Rais Mstaafu wa Tanzania Mheshimiwa Ali Hasani Mwinyi amewataka watanzania kuchangamkia fursa za masomo ya taaluma mbalimbali nanayotolewa na Chuo Kikuu cha Kampala kilichopo eneo la Gongo la Mboto jijini Dar es Salaam.
Akiongea wakati wa mahafali ya tatu ya chuo hicho kwa upande wa Tanzania jana ambapo wahitimu walitunikiwa shahada ,stashahada na vyeti vya kufuzu fani mbalimbali alisema chuo hicho kinatoa elimu bora ...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania15 Apr
Wanafunzi Chuo Kikuu Kampala waendelea kugoma
Jonas Mushi na Tunu Nassoro, Dar es Salaam
WANAFUNZI wa Kitivo cha Sayansi ya Afya Chuo Kikuu cha Kampala (KIU) wameendelea kugoma kwa kufunga lango kuu la chuo hicho kuuzuia uongozi kuingia au kutoka hadi malalamiko yao yatakapopatiwa ufumbuzi.
Kwa mujibu wa wanafunzi hao, tangu waanze mgomo Aprili 10 mwaka huu, uongozi wa chuo hicho haujataka kuwasikiliza.
Wakizungumza na MTANZANIA jana, wanafunzi wa chuo hicho waliainisha madai takriban saba wakidai ni ya muda mrefu.
“Tumegoma kwa sababu...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-jVJeAn74fa4/VJF_6KWDtAI/AAAAAAAG33c/qMk41-Pz3mY/s72-c/10891_medium%2B(1).jpg)
BALOZI DORA MSECHU AWASILISHA HATI ZAKE ZA UTAMBULISHO KWA RAIS WA ESTONIA,PIA ATEMBELEA CHUO KIKUU CHA Tallinn KUJADILI FURSA ZA MASOMO KWA WANAFUNZI WA TANZANIA
![](http://1.bp.blogspot.com/-jVJeAn74fa4/VJF_6KWDtAI/AAAAAAAG33c/qMk41-Pz3mY/s1600/10891_medium%2B(1).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-DKoZVXAS7GI/VJF_6FKTbdI/AAAAAAAG33g/ZNR9VxerPjs/s1600/IMG-20141216-WA0007.jpg)
10 years ago
Vijimambo22 Nov
WAZIRI MEMBE AWATAKA WAHITIMU WA CHUO KIKUU CHA KAMPALA KUTII SHERIA ZA NCHI
11 years ago
Michuzi17 Jul
Waziri Membe azungumza na wanafunzi kutoka Chuo Kikuu cha St. Thomas cha Marekani
11 years ago
MichuziNews Alert:WANAFUNZI 212 WA UASKARI CHUO CHA TAALUMA YA POLISI MOSHI WAFUKUZWA BAADA YA KUBAINIKA KUTUMIA VYETI FEKI
CHUO cha mafunzo ya taaluma ya Jeshi la polisi Moshi (MPA), kimewafukuzisha mafunzo jumla ya wanafunzi wa uaskari 212, kutokana na sababu za kughushi vyeti vya elimu ya sekondari..
Hayo yamesemwa leo na Mkuu wa Taaluma na Utumishi wa jeshi la Polisi, Kamishna wa Polisi Thobias Andengenye katika kikao na waandishi wa habari kilichofanyika kwenye ukumbi wa chuo cha mafunzo ya taluma ya Polisi mjini Moshi, mkoani Kilimanjaro.
Kamishna...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Q76Cvb47dK0/VZzvK5ETAeI/AAAAAAAHntk/cnqWEx2m8gs/s72-c/unnamed%2B%252862%2529.jpg)
Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Edinburgh wasaidia sekta ya Michezo
![](http://3.bp.blogspot.com/-Q76Cvb47dK0/VZzvK5ETAeI/AAAAAAAHntk/cnqWEx2m8gs/s640/unnamed%2B%252862%2529.jpg)
10 years ago
MichuziMaalim Seif afutari pamoja na wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Zanzibar
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/26rh2i2B5MblVFMJKkmKMcmSyeGBNryDrtHQQ9Rq7PZTO5pihwLl5g4CVlagW3qQa9ph5Kt*BkAvvIhEfVL-gnxqeIFSNnMy/IMG20140923WA0003.jpg)
CHUO KIKUU KISHIRIKI CHA USHIRIKA NA BIASHARA MOSHI (MUCCOBS) CHAWA CHUO KIKUU KAMILI
10 years ago
MichuziWANAFUNZI 1,044 WALAMBA NONDOZZZ ZAO CHUO KIKUU CHA ARDHI LEO