Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanafunzi Chuo Kikuu Kampala waendelea kugoma

KIUJonas Mushi na Tunu Nassoro, Dar es Salaam
WANAFUNZI wa Kitivo cha Sayansi ya Afya Chuo Kikuu cha Kampala (KIU) wameendelea kugoma kwa kufunga lango kuu la chuo hicho kuuzuia uongozi kuingia au kutoka hadi malalamiko yao yatakapopatiwa ufumbuzi.
Kwa mujibu wa wanafunzi hao, tangu waanze mgomo Aprili 10 mwaka huu, uongozi wa chuo hicho haujataka kuwasikiliza.
Wakizungumza na MTANZANIA jana, wanafunzi wa chuo hicho waliainisha madai takriban saba wakidai ni ya muda mrefu.
“Tumegoma kwa sababu...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

Mwinyi awaasa wanafunzi kuchangamkia fursa ya kupata taaluma Chuo Kikuu cha Kampala

Mkuu wa Chuo Kikuu cha Kampala International cha jijini Dar es Salaam,Rais Mstaafu wa Tanzania Mheshimiwa Ali Hasani Mwinyi amewataka watanzania kuchangamkia fursa za masomo ya taaluma mbalimbali nanayotolewa na Chuo Kikuu cha Kampala kilichopo eneo la Gongo la Mboto jijini Dar es Salaam.
Akiongea wakati wa mahafali ya tatu ya chuo hicho kwa upande wa Tanzania jana ambapo wahitimu walitunikiwa shahada ,stashahada na vyeti vya kufuzu fani mbalimbali alisema chuo hicho kinatoa elimu bora ...

 

11 years ago

KwanzaJamii

CHUO KIKUU IRINGA WAENDELEA NA MGOMO

Na Friday Simbaya, Iringa Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Iringa (zamani Chuo Kikuu cha Tumaini) kutoka vitivo vyote wamegoma kuingia madarasani kuushinikiza uongozi wa chuo hicho kutafuta njia mbadala ya kuwapatia fedha za kujikimu na chakula wakati wanaposubiri fedha zao kutoka Bodi ya Mikopo ambazo zimechelewa kutolewa. Wanafunzi hao wamesema hali yao ni mbaya na hawezi kusoma kutokana na mazingira waliyonayo kwa sasa kwani hata chakula kukipata kwao imekuwa ni changamoto kubwa. Tatizo la...

 

10 years ago

Vijimambo

WAZIRI MEMBE AWATAKA WAHITIMU WA CHUO KIKUU CHA KAMPALA KUTII SHERIA ZA NCHI

Brass Band ya Jeshi la Magereza ikiwaongoza Mkuu wa Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Kampala (KIU), Kampasi ya Dar es Salaam , Rais Mstaafu, Mhe. Ali Hassan Mwinyi, mgeni rasmi, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard K. Membe, Maafisa, Wahadhiri,Wahitimu pamoja na Wageni Waalikwa kuingia katika Viwanja vya Chuo Kikuu hicho katika sherehe za Mahafali ya Kumi na Moja ya chuo hicho yaliyofanyika tarehe 21.11.2014.Mhe. Membe (mwenye joho la bluu) akiongozana na baadhi ya...

 

10 years ago

Habarileo

Wanafunzi Chuo Kikuu St John’s wagoma

WANACHUO wa Chuo Kikuu cha St. John’s mjini hapa jana wamegoma kuingia madarasani, kushinikiza uongozi wa chuo hicho kutatua matatizo yao, ikiwemo madai ya chuo kuwa na sheria kandamizi.

 

11 years ago

Habarileo

Chuo Kikuu Mzumbe kuongeza wanafunzi

UONGOZI wa Chuo Kikuu Mzumbe Kampasi ya Mbeya umedhamiria kuendelea kuongeza idadi ya wanafunzi mwaka hadi mwaka, ili kutekeleza Sera ya Serikali ya kupanua elimu ya juu na kuchangia kufikia malengo ya mileniamu.

 

10 years ago

KwanzaJamii

Chuo Kikuu IMTU chafungiwa kudahili wanafunzi

Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU), imesitisha udahili wa wanafunzi wapya katika Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Tiba na Teknolojia  (IMTU),kwa mwaka wa masomo wa 2014/2015. Hatua hiyo imefuatia  chuo hicho  kujiendesha chini ya viwango vya udhibiti vilivyowekwa kwa mujibu wa sheria, hivyo  kimepewa  notisi ya miezi mitatu  kurekebisha mapungufu yake. Kaimu Katibu Mtendaji wa TCU, Frofesa Magishi Mgasa, alisema kwa kuzingatia kifungu namba 5(1) (b), (h), (j) na (l) cha Sheria ya vyuo ...

 

10 years ago

Habarileo

Wanafunzi 1,800 kulipiwa ada chuo kikuu

CHUO Kikuu cha Kimataifa cha Kampala (KIU) kimetangaza kutoa udhamini kwa wanafunzi 1,800 watakaojiunga kuanzia mwaka huu wa masomo kwa kuwalipia nusu ya ada.

 

10 years ago

Dewji Blog

Wanafunzi 1,044 wahitimu Chuo Kikuu Ardhi

01 IMG_4198

Wahitimu wa digrii ya  elimu jamii katika taaluma za maendeleo jamii wakishangilia baada ya Mkuu wa Chuo Kikuu Ardhi (ARU), Cleopa Msuya kuwatunuku katika mahafali ya 8 ya chuo hicho, kwenye Ukumbi wa Diamond Jubilee, Dar es Salaam jana.

Mkuu wa Chuo Kikuu Ardhi (ARU), Cleopa Msuya akimtunuku Digrii ya Uzamifu, Rigobert Buberwa, wakati wa mahafali ya 8 ya Chuo hicho, Dar es Salaam. Buberwa ametunukiwa  digrii hiyo baada ya kufanikiwa kufanya utafiti unaohusu “Kuelekea modeli ya mfumo wa...

 

10 years ago

Habarileo

Wanafunzi Chuo Kikuu KIU wavunja viti, vioo

Mkuu wa Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Kampala, Rais Mstaafu Ali Hassan Mwinyi.WANAFUNZI wa Chuo Kikuu cha Kampala International University kilichopo Gongo la Mboto jijini Dar es Salaam, wamefanya fujo na kuvunja viti, vioo na samani zingine za chuo hicho, ikiwa kama njia ya kushinikiza kutatuliwa kwa matatizo yanayowakabili.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani