Waziri Membe azungumza na wanafunzi kutoka Chuo Kikuu cha St. Thomas cha Marekani
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard K. Membe (Mb.) akizungumza na kiongozi wa wanafunzi kutoka Chuo Kikuu cha St. Thomas, Fr. Jean-Piere Bongilo kilichopo Minessota nchini Marekani waliofika Wizarani kumsalimia. Chuo cha St. Thomas kilimtunuku Shahada ya Uzamivu wa Heshima, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete mwaka 2006.
Baadhi ya Wanafunzi hao wakimsikiliza Mhe. Membe alipozungumza nao.
Mkurugenzi wa Idara ya Ulaya na Amerika...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-pYeZQR03gkY/U7bUBLiEFPI/AAAAAAAFu9I/LWf9XwOJflQ/s72-c/unnamed+(7).jpg)
WANAFUNZI WANAOCHUKUA MASOMO YA SHAHADA YA UZAMILI NA UZAMIVU KATIKA RELI KUTOKA CHUO KIKUU CHA SOUTHWEST JIATONG CHA NCHINI CHINA WATEMBELEA WIZARA YA UCHUKUZI LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-pYeZQR03gkY/U7bUBLiEFPI/AAAAAAAFu9I/LWf9XwOJflQ/s1600/unnamed+(7).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-LcGVCc9x_lc/U7bUC5TjE1I/AAAAAAAFu9Y/RQ3JYVlEezw/s1600/unnamed+(8).jpg)
10 years ago
Vijimambo22 Nov
WAZIRI MEMBE AWATAKA WAHITIMU WA CHUO KIKUU CHA KAMPALA KUTII SHERIA ZA NCHI
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-TUD8BuQb41o/U8aUMZICkDI/AAAAAAAF2z4/c3jAY0_-YqI/s72-c/unnamed.jpg)
KATIBU MKUU KIONGOZI AKUTANA NA UJUMBE TOKA CHUO CHA ST THOMAS CHA MAREKANI
![](http://1.bp.blogspot.com/-TUD8BuQb41o/U8aUMZICkDI/AAAAAAAF2z4/c3jAY0_-YqI/s1600/unnamed.jpg)
Wanafunzi hao ambao kwa idadi yao ni wanafunzi 14 wanaochukua Shahada za Uzamivu na...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-er_KYZ2ljNs/VZoi5hN2h6I/AAAAAAAHnNU/rt6BKAPZoCg/s72-c/MBLE2-296x330.jpg)
MAJADILIANO KATI YA MANDELA PALLANGYO NA PROFESA JOSEPH MBELE WA CHUO KIKUU CHA OLAF CHA MAREKANI.
![](http://3.bp.blogspot.com/-er_KYZ2ljNs/VZoi5hN2h6I/AAAAAAAHnNU/rt6BKAPZoCg/s400/MBLE2-296x330.jpg)
PROF: JOSEPH MBELE
Mimi ni mwalimu na ninauona uandishi kama sehemu ya ufundishaji au aina ya ufundishaji. Ndio maana uandishi wangu unaelekea zaidi katika mambo yanayoelimisha. Kazi pekee niliyoitamani hata kabla sijaanza shule ilikuwa ni ualimu. Kwa hivyo, ninapenda kuandika kama ninavyopenda kufundisha darasani.
Uliwahi kukutana na maneno mabaya kama kukatishwa tamaa au kukashifiwa wakati...
10 years ago
MichuziMadaktari Diaspora kutoka Marekani wakitowa Huduma ya Elimu kwa Wanafunzi wa Chuo cha Eilimu ya Afya Kuhusiana na Saratani ya Matiti na Meno
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-T-gPmz9DMsI/VnG4vzMBmNI/AAAAAAAIM60/D2ffte-FlNc/s72-c/ef9718f3-1235-456c-aec1-1a0620f9f677.jpg)
Watanzania wahitimu shahada ya uzamili kutoka taasisi ya kimataifa international institute of social studies ya chuo kikuu cha Erasmus cha nchini uholanzi.
![](http://3.bp.blogspot.com/-T-gPmz9DMsI/VnG4vzMBmNI/AAAAAAAIM60/D2ffte-FlNc/s640/ef9718f3-1235-456c-aec1-1a0620f9f677.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-m8jqrV300f0/VoOnPQvxSfI/AAAAAAAIPTw/PWCBqZ8_1ak/s72-c/001.jpg)
WANAFUNZI WA KITIVO CHA BIASHARA CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM WANUFAIKA NA SEMINA MAALUM YA MASUALA YA BIASHARA ILIYOANDALIWA NA VODACOM TANZANIA
![](http://4.bp.blogspot.com/-m8jqrV300f0/VoOnPQvxSfI/AAAAAAAIPTw/PWCBqZ8_1ak/s640/001.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-9qGutUG9JVw/VoOnSMuWAfI/AAAAAAAIPT8/qMI2-9wi-ZU/s640/002.jpg)
10 years ago
VijimamboMadaktari Diaspora kutoka Marekani wakitowa Huduma ya Elimu kwa Wanafunzi wa Chuo cha Eilimu ya Afya Kuhusiana na Saratani ya Matiti na Meno.Wakiwa Zanzibar