MAJADILIANO KATI YA MANDELA PALLANGYO NA PROFESA JOSEPH MBELE WA CHUO KIKUU CHA OLAF CHA MAREKANI.

Safari yako ya uandishi ilianza muda mrefu. Je ni kipi kinakutia moyo na kuzidi kufanya kazi hii ngumu?
PROF: JOSEPH MBELE
Mimi ni mwalimu na ninauona uandishi kama sehemu ya ufundishaji au aina ya ufundishaji. Ndio maana uandishi wangu unaelekea zaidi katika mambo yanayoelimisha. Kazi pekee niliyoitamani hata kabla sijaanza shule ilikuwa ni ualimu. Kwa hivyo, ninapenda kuandika kama ninavyopenda kufundisha darasani.
Uliwahi kukutana na maneno mabaya kama kukatishwa tamaa au kukashifiwa wakati...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi17 Jul
Waziri Membe azungumza na wanafunzi kutoka Chuo Kikuu cha St. Thomas cha Marekani
11 years ago
Mwananchi07 Dec
Jela ilivyokuwa ‘Chuo Kikuu’ cha Mandela
10 years ago
Habarileo30 Jan
Profesa Mbwette Rais Chuo Kikuu cha Afrika
MAKAMU Mkuu wa Chuo Kikuu Huria cha Tanzania (OUT), Profesa Tolly Mbwette amechaguliwa kuwa Rais wa Baraza la Chuo Kikuu cha Afrika (Pan African University).
10 years ago
Vijimambo31 Aug
TAARIFA YA NDUGU JOSEPH MUNGAI KUHUSU UJENZI WA SHULE ZA KATA NA CHUO KIKUU CHA UDOM. 5/3/2015:

Shule za sekondari za kata zilijengwa na nguvu za wananchi wenyewe serikali ya awamu ya Tatu chini ya Rais Benjamin W. Mkapa ndio ilihamazisha kila kata nchini nzima kuwe na sekondari waziri wa elimu nikiwa mimi Joseph Mungai.
Nikiwa waziri wa elimu na utamaduni wakati huo niliteua kikosi kazi...
10 years ago
Michuzi
CHUO KIKUU CHA NELSON MANDELA KUNUFAIKA NA USHIRIKIANO KUTOKA CHINA


11 years ago
Michuzi
Profesa Mark Mwandosya akutana uongozi wa Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia Mbeya leo


10 years ago
MichuziChuo Kikuu cha Nelson Mandela jijini Arusha chaingia mkataba na kampuni ya Huawei Tanzania
10 years ago
Michuzi.jpg)
Profesa Mwandosya mgeni rasmi katika Mahafali ya 16 ya Chuo Kikuu cha Mtakatifu Agustino (SAUT),Mwanza
.jpg)
.jpg)
.jpg)
.jpg)
.jpg)
11 years ago
GPL
CHUO KIKUU KISHIRIKI CHA USHIRIKA NA BIASHARA MOSHI (MUCCOBS) CHAWA CHUO KIKUU KAMILI