Jela ilivyokuwa ‘Chuo Kikuu’ cha Mandela
Juni 12, 1964, Nelson Mandela alihukumiwa kifungo cha maisha jela baada ya kupatikana na hatia ya kufanya hujuma dhidi ya Serikali ya kibaguzi ya Makaburu
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi
MAJADILIANO KATI YA MANDELA PALLANGYO NA PROFESA JOSEPH MBELE WA CHUO KIKUU CHA OLAF CHA MAREKANI.
Safari yako ya uandishi ilianza muda mrefu. Je ni kipi kinakutia moyo na kuzidi kufanya kazi hii ngumu?

PROF: JOSEPH MBELE
Mimi ni mwalimu na ninauona uandishi kama sehemu ya ufundishaji au aina ya ufundishaji. Ndio maana uandishi wangu unaelekea zaidi katika mambo yanayoelimisha. Kazi pekee niliyoitamani hata kabla sijaanza shule ilikuwa ni ualimu. Kwa hivyo, ninapenda kuandika kama ninavyopenda kufundisha darasani.
Uliwahi kukutana na maneno mabaya kama kukatishwa tamaa au kukashifiwa wakati...

PROF: JOSEPH MBELE
Mimi ni mwalimu na ninauona uandishi kama sehemu ya ufundishaji au aina ya ufundishaji. Ndio maana uandishi wangu unaelekea zaidi katika mambo yanayoelimisha. Kazi pekee niliyoitamani hata kabla sijaanza shule ilikuwa ni ualimu. Kwa hivyo, ninapenda kuandika kama ninavyopenda kufundisha darasani.
Uliwahi kukutana na maneno mabaya kama kukatishwa tamaa au kukashifiwa wakati...
10 years ago
Michuzi
CHUO KIKUU CHA NELSON MANDELA KUNUFAIKA NA USHIRIKIANO KUTOKA CHINA


10 years ago
MichuziChuo Kikuu cha Nelson Mandela jijini Arusha chaingia mkataba na kampuni ya Huawei Tanzania
11 years ago
GPL
CHUO KIKUU KISHIRIKI CHA USHIRIKA NA BIASHARA MOSHI (MUCCOBS) CHAWA CHUO KIKUU KAMILI
Baadhi ya wahadhiri wa MoCU (MOSHI CO-OPETATIVE UNIVERSITY) wakiwa kwenye picha ya pamoja.. Mwenyekiti wa Bodi ya Chuo Kikuu cha Kilimo Sokoine (SUA), Mhe. Philemon Luhanjo (wa nne kulia waliokaa ) akiwa katika picha ya wajumbe wa bodi na wahadhiri wa chuo hicho. CHUO Kikuu Kishiriki cha Ushirika na Biashara Moshi (MUCCOBS), kimekuwa chuo kikuu rasmi ambapo kwa sasa kitaitwa Chuo Kikuu Cha Ushirika Moshi (MoCU). Taarifa hiyo...
10 years ago
Vijimambo
MAHAFALI YA 5 YA CHUO KIKUU KIKUU CHA ST, JOHN DODOMA YAFANA.




11 years ago
Michuzi
WAZIRI MKUU AKAGUA CHUO KIKUU DAR NA CHUO KIKUU HURIA

Ametoa kauli hiyo jana usiku (Ijumaa, Oktoba 10, 2014) wakati akizungumza na wahadhiri, wakufunzi, wanafunzi na wanajumuiya ya Chuo Kikuu Huria (OUT) mara baada ya kuzindua jengo la ghorofa 10 linalojulikana kama Ghorofa la Elimu ya Masafa ya Huria (Open Distance...
10 years ago
Michuzi
MAHAFALI YA 10 CHUO KIKUU CHA TAIFA CHA ZANZIBAR (SUZA) LEO

.jpg)
9 years ago
Michuzi
MAHAFARI YA NANE YA CHUO KIKUU CHA KIISLAMU CHA MOROGORO(MUM) YAFANA.
CHUO Kikuu cha Waislamu cha Morogoro (MUM) kimesherehekea miaka kumi (10) tangu kuanzishwa kwake mwaka 2005, (2005 - 2015). Maadhimisho hayo yameenda sambamba na mahafari ya Nane katika chuo hicho(2008 - 2015) mahafari yaliyofanyika katika chuo hicho Novemba 14,2015.
Mahafali hayo yalihudhuriwa na Mgeni rasmi, Profesa Dkt. Fadzil Adam, Mkurugenzi wa Chuo cha Kiislam cha Morogoro na mtafiti wa chuo kikuu cha Zanzibar (SZA),wa Nchini Malaysia Kuala Teregganu, Mkuu wa chuo hicho Hajjat Mwantum...
Mahafali hayo yalihudhuriwa na Mgeni rasmi, Profesa Dkt. Fadzil Adam, Mkurugenzi wa Chuo cha Kiislam cha Morogoro na mtafiti wa chuo kikuu cha Zanzibar (SZA),wa Nchini Malaysia Kuala Teregganu, Mkuu wa chuo hicho Hajjat Mwantum...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
06-May-2025 in Tanzania